mahakama ya kazi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 1,520
- 243
Kweli kabisaStori nyingine wadau waongo Sana yaani unasoma hadi unaisi ni keroooh.. mimi nishakula sana matunda kimasihara, na wakuu tuseme UKWELI tu gemu la kimasihara wanangu halinaga muda wa kukojoleshana wala nini..
Gemu la masihara kwanza hakunaga kujiandaa, wanangu humu wanasema jinsi walivyokula mademu zao siku ya kwanza ndo wanasema alimla kimasihara wakati ni demu wako ulishamtongoza huko.
Na kubwa zaidi watu hamjui Gemu la Masihara ni lile gemu ulilokula Kwenye Mazingira Hatarishi yaani pale ndo umekula kimasihara sababu ata Mazingira ayaruhusu kabisa.
Wakuu tuache Uongo tu, Demu akishakuja hadi kwako hapo hakuna masihara, sababu akija mpaka kwako tayari akili umesha andaa wat next.
Masihara ni Hapo kwa Hapo, Kama Radi vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app