Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sijajua una umri gani ila kwa kifupi wewe uko nyumba sana katika gani hii. Mwanamke ukimla vizuri nakuapia haiwezi liwa kimasihala.

Kufupisha story ukikuta mtu kakiwa kimasihara hiyo atakuwa na nyege million I +
Sasa kama unamkuna mkeo vizuri haiwezi liwa kimasihara.

God save us
Kwa hiyo una maanisha kuwa sababu ya wanawake walioolewa kuliwa kimasihara ni kutokutoshelezwa na waume zao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachoamini mimi kwenye mazingira hatarishi au kimasihara ndomu mara nyingi hazipo eneo husika, labda kwa wale wanaotembeanazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa bingwa sana wakutembea na hizo. Kitu mfukoni sasa siku moja nilikwenda kula lunch kwa sister wakati wakuondoka ile nasimama tu toka kwenye Sofa zikaanguka paaa.

Tukio la pili nilienda makao makuu ya wizara fulani nafika getini nikawakuta askari wa like na kiume. Askari wa kike akaamua kunikagua na kale ka mashine. Cha ajabu kila kikifika kny mfuko wa kondom kinapiga kelele. Ilinilazimu nizitoe tu watu waliokuwa nyuma yangu mimacho hiyo.

Toka siku hiyo niliacha kutemvea nazo

God save us
 
Comment Bora kabisaaa
Huu uzi ni wa kuheshimu sana na usione watu wanahadithia huku wamekula kimasihara ukajua ni watu wadogo..... kuna waheshimiwa pia wamemwagika stori humu...

Unaweza kukuta mtu ameweka stori huku alikula kimasihara huku huko 90+ akampa mtoto mimba na ww unakomenti... kumbe ww ndio ulizaliwa na aliyekula kimasihara ni mdingi wako....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachoamini mimi kwenye mazingira hatarishi au kimasihara ndomu mara nyingi hazipo eneo husika, labda kwa wale wanaotembeanazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi nilikuwa nakula matunda kimasihara na nilikuwa sitembei na kondom , Every step I make, nilikuwa napata manzi mmoja wa kumpiga miti.

Nikapata wazo la kutembea na kondom matunda yote ya kula kimasihara nikawa siyaoni Tena. Mademu wote wakayeyuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha ha ha ha we jamaa mnazi sana watoto wako watapata tabu sana labda uwalishe falsafa zako wakuelewe
Kwa nini? Mimi home mtu wa kuwapa good time sana watoto.

Kuna dogo mmoja alimwambia dogo wa home wewe baba yako lazima ni milionea.

Akaulizwa kwa nini? Akasema anakununulia video games nyingi sana halafu huchelewi kuzipata, zikitoka tu umeshapata.

Kwa hivyo unaweza kuniona mnazi hapa wakati nyumbani kibalozi kwa sana.

Hizi hapa ni dhana za kifalsafa kwa vibweka vya walami tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wazee maisha na yale tunayoweza kuyapata katika maisha ni imani tu na kujiamini.... Ukisoma huu uzi na kupitia story zote kiufasaha na maoni ya wadau.... Unapata ujasiri mkubwa sana na mbinu 200+ za kumsoma demu na kujua silaha gani itumike kumuangamiza....

Baada ya somo hili kuntu sijui kama kuna baharia hapa anaweza kusafiri na kukaa siti moja na demu na akadhamiria kumpata asimpate......

Kiuhalisia mm nikipanda hata daladala naona kama kila mwanamke aliyekaa kwenye hiyo daladala analika.... tena kimasihara..
 
B


Hahahahaaaa.....Sasa mkuu hakuwa hata demu Wangu wa kudumu...ni kademu tu niliamua kupooza nyege tu

Ebu nipe pair ya next week jombaaa...nipo na GBPNZD short kwa account moja. ila kuna account nyingine sina pair....nipe pair mkuu..
GJ nimepanga nishuke nayo muamala bembea
 
Usisahau hela pia lkn.
Tutafte hela jamani
Sijajua una umri gani ila kwa kifupi wewe uko nyumba sana katika gani hii. Mwanamke ukimla vizuri nakuapia haiwezi liwa kimasihala.

Kufupisha story ukikuta mtu kakiwa kimasihara hiyo atakuwa na nyege million I +
Sasa kama unamkuna mkeo vizuri haiwezi liwa kimasihara.

God save us

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom