Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Nawaza sijui nije kivingine maana siku NNE zilizopita nimekula runda la kimataifa kinasihara

God save us
 
Huu uzi ni wa kuheshimu sana na usione watu wanahadithia huku wamekula kimasihara ukajua ni watu wadogo..... kuna waheshimiwa pia wamemwagika stori humu...

Unaweza kukuta mtu ameweka stori huku alikula kimasihara huku huko 90+ akampa mtoto mimba na ww unakomenti... kumbe ww ndio ulizaliwa na aliyekula kimasihara ni mdingi wako....
 
Huu uzi ni wa kuheshimu sana na usione watu wanahadithia huku wamekula kimasihara ukajua ni watu wadogo..... kuna waheshimiwa pia wamemwagika stori humu...

Unaweza kukuta mtu ameweka stori huku alikula kimasihara huku huko 90+ akampa mtoto mimba na ww unakomenti... kumbe ww ndio ulizaliwa na aliyekula kimasihara ni mdingi wako....
Comment ya sku hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi ni wa kuheshimu sana na usione watu wanahadithia huku wamekula kimasihara ukajua ni watu wadogo..... kuna waheshimiwa pia wamemwagika stori humu...

Unaweza kukuta mtu ameweka stori huku alikula kimasihara huku huko 90+ akampa mtoto mimba na ww unakomenti... kumbe ww ndio ulizaliwa na aliyekula kimasihara ni mdingi wako....
Kubabake....we jamaaa unawaza nini???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi ni wa kuheshimu sana na usione watu wanahadithia huku wamekula kimasihara ukajua ni watu wadogo..... kuna waheshimiwa pia wamemwagika stori humu...

Unaweza kukuta mtu ameweka stori huku alikula kimasihara huku huko 90+ akampa mtoto mimba na ww unakomenti... kumbe ww ndio ulizaliwa na aliyekula kimasihara ni mdingi wako....
Vijana mnazingua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sumbai, Hahahaha nikajua enzi zile za Magamba Boyz( Gambian Bulls) dah hapo ni St. Marry Mazinde Juu au Kifungilo Girls.....dah sema nilikua Padre! Ila nilikua naishi maisha mazuri sana, Mimi kikristo changu kilikua kizuri kwahio nilikua napewa sukari, mikate, blueband na mavitu kibao ili niwaandikie Love Letters kwenda kwa mademu zao Kifungilo na Mazinde Juu....

Yaani hadi Cards nilikua naaminiwa napewa pesa naenda kununua naandika ninayoyajua kisha napost huko huko! Jama a wakija wanafurahi sana.

Siku moja mshkaji akanizingua, nikasema wala sina haraka, nitalipiza tu! Akajifanya kusahau basi siku ya siku akanituma ninunue kadi nzuri kama kawaida kisha niitume....

nikaenda nikanunua Kadi imeandikwa "If you think I miss you, you are wrong, I miss you only when I think of you"!!! Yule mchaga kikristo hakikua kinapanda vizuri sana, basi akawa na mashaka na Yale maneno ila nikamdanganya kuwa Yale maneno ni Babu kubwa, ngoma tukaituma Kifungilo Girls hhahaahaha naomba niiishie hapa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msomaji mzuri na member wa muda kidogo hapa jamii forum na nimekuwa nikifuatilia matukio , habari na makala mbalimbali humu, bila kusahau nyuzi zinazoanzishwa.

Miongoni mwa nyuzi ambayo napenda kuifuatilia kila siku ni hii hii ya kula tunda kimasihara. Inafahamika wazi kuwa wanaume ndio wanaopenda au kwa hulka wanaamimiwa kuwa hawawezi kubaki au kuwa na mwanamke mmoja. Sina uhakika sana na hoja hiyo lakini pia siwezi kupingana na hoja hiyo bila kuwa na ushahidi madhubiti.

Wakati naufuatilia hoja ya mwanamke kuliwa kimasihara hasa mke wa mtu napata ukakasi na kujiuliza maswali pasi majibu

1 Je manawake nao hawawezi kutulia na mume mmoja?

2. Kama mwanamke ana mume wake ambaye wakati mwingine anamsemea kuwa anampenda Sana,kwa nini sasa mwanamke huyo anachepuka?

3. Je kumpa mwanamke kila kitu anachokitaka itamzuia mwanamke huyo asichepuke?
4. Mwanake uliyeolewa kuliwa kimasihara maana yake kuwa huridhishwi na mume wako au niamini kuwa mwanamke naye anapenda kujaribu?

Najua kuliwa mke ni jambo ambalo mwanaume huwezi kulizuia ila mwanamke mwenyewe anaweza akiamua.Lakini pia kuliwa kumauma.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom