Kuna mwanangu mmoja hivi kanitambulisha kwa demu wake. Akania huyu ndio shemeji yako yako mbele ya yule demu, Mwana akiniangalia mimi demu anaonesha ishara kama ya kukataa kuwa sio kweli.

Basi siku moja nikakutana na yule manzi akiwa peke yake nikamuuliza vipi siwaelewi wewe na mwenzio akasema siwezi kuwa na yule mtu ana utoto mwingi sana mpaka leo bado ananisumbua tu ila sijamkubalia.

Nikaona isiwe case nikamwambia kama hautojali naomba weekend hii twende South beach akasema nitakujulisha akachukua namba yangu ya simu.

Picha linaa hiyo siku ilikuwa friday namuona amevaa baibui hivyo nikajua hapa hawezi kutoka huyu. Basi ilipofika midaa ya saa nane akanitext "Mbuna am ready "

Nikamabia chukua Uber utanikuta nipo huku ila kiukweli sikuwa huko. Niliwasha ndinga fasta nikawahi eneo la tukio ila nafika na yeye ndio anaingia uber hakupata alikuja na bajaji.

Kushuka tu kwenye bajaji akatoa ile baibui kudadeki nilipagawa kwa ile nguo aliyovaa na shape yake nilipata ganzi kidogo ila nilijikaza.

Tukaingia pale beach kama vile mtu na mpenzi wake nilimshika kiuno naye akanishika tukaa beach for sometime as yeye hanywi kilevi na mimi ndio hivyo pia situmii gambe .

Ilipofika saa tatu nikamwambia nikupeleke kwako akaniambia leo nahitajia kuumaliza usiku nikiwa nawe. Nikamwambia nina mke na watoto hivyo siwezi kulala nje ya nyumba yangu if it is possible tukaspend then saa tano nakurudisha kwako na mimi naenda home.

Alikubali tukaenda lodge moja hivi maeneo ya airport, kuingia tu binti kaenda maliwato kujisafisha then akaja kwa bed then akanipa blowjob ya kutosha nagusa nakuta njia ipo tayari kwa ajili ya kutumika.

Nikapiga sana mashine usiku ule nakuja kustuka ni saa tisa yaani saa kumi kasoro. Dah! Nikamwambia mimi nasepa hapo nakuta missed calls za kutosha za wife na sms zake till felt bad maana sms moja ilisomeka" baba umekwama wapi mbona sio kawaida hata simu haupokei mwenzio nakosa amani huku hata usingizi hauji".

Niliondoka nikamuachia na ile simu nilipofika home nikamdanganya kuna gari ilizidi mizani hapo Vigwaza hivyo nilienda kusimamia kupanga mzigo na simu hata sijui niliiacha wapi tukajaribu kuipiga ikawa haipatikani tena. Kesho yake nikajifanya nimeenda kurenew line nikanunua na simu mpya ila simu yangu iliniuma kuihonga kwa ajili ya papuchi.

Mwanangu naye mpaka leo hajui kama nilishakula ule mzigo na mpaka leo nikihitaji tu nakula ila sina ukaribu naye kiviile ingawa yeye anataka kuniganda na kuonesha kwa kila mtu ila nazuia hiyo hali isijulikane.

Story tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha mbali kipindi niko JKT nilirukishwa kichurachura na demu baada ya kutufuma kwenye kagiza nikiwa nimekumbatia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu ukiwatambulisha tayari umewarahisishia kazi wao ni kumaliza tu[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂eti imeniuma kuhonga phone kisa papuchi
 
Mkuu 96 paka 2000's ulikuwa ushaanza hayo mambo.

Dah legend
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umekula wifi wa bi mkubwa ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aise hufai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yangu ni hii mwaka 2007 nikiwa chuo flani hivi dodoma wakaja watoto wa 1st year sasa bwana mimi nilikiwaga maarufu sana hapo chuoni ni kwasababu ya kipaji cha mpira yaani nilikuwaga naupiga mwingi sana , sasa bwana sikumoja tumetoka club 84 tumerudi alfajili na muda wa saa 0800 ilikuwa kuna pindi class so tukajilaza kidogo kuja kushtuka ni saa 0830 tukakurupuka tukajiandaa faster tukaanza mbio sasa kwenda pindi nilikuwa na rafikiyangu mmoja hivi ile kushuka ngazi speed nikampamia mtoto mmoja wa 1st year akadondosha kipochi chake dah nilirudi nikakiokota nikamuomba na msamaha mkononi alikuwa kavaa vile vi urembo vyaki ras nikamuomba akanipa nikachukua na nambayake ya simu nikasepa zangu kula pindi,jioni nikamcheki kwaajili ya chakula tukenda kula sasa ikawa ndio ratiba kila mlo nipo nayr sikumoja nikaomba game nikapewa aiseee sikuwahi kusex na mwanamke bila kondom sikuhiyo nilikuwa mzigo mbichi kabisa yaani nilimfumua mpaka namaliza shoo mtoto hajielewi ikawa ndio tabia yetu sasa ila namshukuru sana Mungu maana sahv ndio mama wa watoto wangu wawili na ndoa takatifu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasababisha mvua zinanyesha sana jijini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah MTU wangu wa karibu sana sana ilimtokea hii kitu! Au ni wewe?? Ila mshkaji ilimtokea Mara mbili tena kwa mademu tofauti! Kwenye Event ya kwanza nilimsaidia Mimi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukwl ilikuwa ni moja kati ya moments zng mby sn ktk u playboy nlokiwa naufnya kipindi iko na naweza sema pia ilinipunguza speed ya u upuuz, ilinipa somo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran mkuu, kiukwl Baadae niliwaadisia wana walinicheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bazazi mkubwa we[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah pongezi mkuu
 
Mwoe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…