ZALI LA MENTALI
Siku moja nilienda kumtembelea shemeji yenu nyumbani kwao. Wakati tumekaa tunapiga story iliingia text katika simu yangu ikisema hivi "We (___) umeshafika ulipokua unaenda. Namba ilikua ngeni hivyo niliamua kumpigia ili nimfahamu kabla sijamjibu.
Basi nikasogea mbali kidogo nikampigia maongezi yalikua hivi.
Mimi: Hallo! Samahani nimekuta text yako ila sijakufahamu
Yeye: We si (___)
Mimi: Hapana Mimi naitwa Fulani kwani wewe unaishi wapi.
Yeye: Naishi Moro wewe je.
Mimi: Mi pia naishi moro Ila uliekua unamtafuta sio Mimi
Basi baada ya stori za awali nikachomekea na vistory vya kumfurahisha alicheka Sana kwakua nilikua naweka utani Sana katika maongezi mwisho tukamaliza mazungumzo nikakata simu nikamuaga shemeji yenu huyo nikarudi home.
Yule binti sikumtafuta usiku kwakua aliniambia yeye ni mwenyeji wa Dar es salaam na alikuja kuwasalimu wazazi wake tu. Sasa Kama unavyojua ukishasikia Dem ni mwenyeji wa Dar picha inayokujia ni wajanjawajanja, Wanajua Mambo mengi pia ni wa uswazini Sana maana haiwezekani mtu humjua afu ukachangamka namna ile.
Kesho yake mida ya saa 2 usiku alinicheki " Mambo" nikasema oohoo! Kanicheki emu ngoja nifanye jitihada nimuone tu ndo tuendelee kuchat usije kuta nachat na Ebitoke

Basi nikamwambia naweza kukuona muda huu. Akauliza tuonane sehemu gani. Nikamwambia Sasa skia apa sasahivi ninaenda kazini kuwapangia Askari lindo theni nirudi nyumbani kwahiyo uje kazini kwangu (KITUO CHA POLISI). Akajibu " He Sasa nakujaje hapo usiku mi naogopa . Aya Basi njoo kwangu. Hapana wewe ndo uje.
Nikamueleza kua kwa Sasa sitoweza kuja wewe chukua boda njoo apa kituoni utanikuta mlangoni.
Kweli akachukua boda. Mimi fasta nikachukua usafiri wangu mpk karibu na kile kituo Cha polisi Ila nilikaa mbali kidogo maana kwa muda ule hapakua na mtu yeyote anaekatiza eneo lile.
Baada ya dakika 10 naona boda anateremka dada kwa kumtizama alikua mkubwa kuliko Mimi Ila kwa muonekano mi mtu mwenye hadhi kapigilia mkoba , mtoto mweupe halafu kapendeza Sana. Ila baada ya kuagana na boda naona anaelekea upande wa kituo Cha police.
Nikajiuliza au ndo yule mgeni wangu nikanyanyua simu haraka kupiga akapokea yeye dah! Sasa nikaanza kuwaza mbona siendani nae Yani yupo upper class kuanzia kimuonekano na pia alikua ameolewa na mtu maarufu sana kule jijini Dar.
Basi moyoni nikajisemea ngoja tu nimrudishe kwao hawezi nielewa. Kweli tukaonana Ila alionesha mshangao nahisi matarajio yake alijua anakuja kuonana na mtu mwenye hadhi Kama yake kumbe dogo tu wa kawaida. So dizaini flani Kama akawa disappointed. Basi nikampakia wakati tupo njiani nampeleka kwao wazo likanijia.
Niliwaza moyoni kwakua Nina geto Kali na la kisasa huyu manzi ninauhakika akiliona tu lazima adate kwakuwa huu mkoa hakua na mwenyeji hivyo naweza kua mwenyeji wake na akawa anakuja kupumzika kwangu. Basi nikamwambia bibie naomba tupitie home nikachukue simu kubwa hapa nimetembea na ndogo. Akakataa et " Oh! We nipeleke nyumbani Ayo mengine utafanya kwa muda wako.
Dah! Hasira zikanipanda nikamwambia "Mama Kama unaweza kuruka we ruka tu " nikapiga Kona kuelekea hom Apo manzi anawaka Sana mie simjibu chochote. Kufika hom hataki kuingia ndani bembeleza wapi. Nikamwambia wewe njoo umsalimie wifi yako kwanza lah! Sivyo utarudi kwenu kwa mguu.
Akakubali kuingia ndani Wala hapakua na mtu Ila nafikiri alifurahia Sana kuona kwamba ninageto Kali namna ile. Kaka kwenye sofa anaanza kuchatchat nikampola simu nikakuta anachati na wasanii ambao nimekua nikiwasikia tu Ila sikuwahi kuwaona akiwemo BARNABA, CYRIL KAMIKAZE, MB DOG na KIFESI wakati ule akiwa official cameraman wa DIAMOND. Dah nilimpandisha vyeo ghafla Ila nikasema hapa sidhani Kama nitakula mzigo.
Basi bana mpaka kufikia saa 5 usiku hajadai Kama anataka kwenda kwao. Basi kidume nikashusha pumzi kua uyu leo analala Wala Sina haja ya kumpapatikia. Muda ukawa unaenda nikavuta shuka kulala ananiamsha, kila nikijifanya nalala ananiamsha. Nikajisemea moyoni kazi ndo inaanza.
Eh! Basi nikamtoa kilakitu chukua condom nikamfumua Ila nilichogundua alikua na stress za kugombana na bwana wake ndo akaja Moro kwa wazazi Kama kupumzika. Basi akalala mpaka asubuh nikampeleka kwao. Baadae kupiga simu akasema amepanda gari anarudi dar aisee roho iliniuma kwakua nilikua bado ninahamu nae Sana.
Basi nilipata safari ya Dar kikazi nikamcheki dah kumbe alikua mtu mwenye hadhi yake kaja nibeba na ndinga yake tukaenda Miman city wakati wa kurudi si nikaomba Tena kamchezo. Nilishukia hapohapo mpaka leo hajawahi kunijibu vizuri mpaka nikafuta namba zake zote.
ILA NIMEMUWEKA KATIKA KUMBUKUMBU KUA NDO MDADA PEKEE MWENYE HADHI YA INTERNATIONAL NIMEMKULA HAIJAWAH TOKEA MPAKA LEO