Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mkuu hamna fix hapo...Mimi mwenyewe nimeshuhudia kwa macho yangu...tulikuwa sehemu tunafanya Kazi Fulani...Jamaa yetu Mmoja akachukua demu short time...alimwingiza kama saa moja hivi chumbani kwake(lodge) akapiga mzigo mpaka Kwenye SAA tatu hivi...yule demu alikuwa analia mpaka lodge nzima ikawa kero.

Kwenye chumba opposite na yule Jamaa alikuwepo demu Mmoja hivi..baada ya yule demu aliyekuwa analia balaa kuondoka yule demu wa chumba opposite alienda kumgongea Jamaa akamwambia siwezi kulala na mimi Nataka nijue kilichokuwa kinamliza mwenzangu. Jamaa alimgonga yule demu, demu alikuwa anasafiri akahahirisha safari...Jamaa akamla siku tatu ndo demu akaondoka.
Ukimkuna dem vizuri atakupa mpaka ukinai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeeee
Wakati mwingine unaweza ukadhani ni mama yake kumbe wana laini mbili ,

Hiyo mm ilinikuta nilikwapua demu huko badoo tumeingia room anadai hoo nyumbani kuna kikao halafu hamna mahitaji sasa nataka umtumie kwenye mpesa !

Nikamuuliza umenipa hiyo hela ya kumtumia akaanza bona uko hivyo ....basi tuache siku nyingine sasa

Nikamwambia basi poa .....ondoka akaghuna mmh njoo basi akashuka mpk sh 15000/- tuma kwanza nikatuma

Nikala mzigo halafu nikaomba kuirudisha ile hela demu ameshaondoka

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua n mikakati y ushindi mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuoa unakuchukulia poa kiasi hiki, JF mnafurahisha sana, alafu wengine mmekomaa jamaa atume laki,
Yaani mnaona laki kama buku,

Kumbe humu ndani kuna watu wanamapesa ya kumwaga.

Sema jamaa nae alizingua kuomba mzigo kwa kutumia pesa direct Tena pesa nyingi kiasi hicho.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaenda kituo chochote cha Afya unawaelekeza ulichokifanya wanakupima ukiwa négative wanakupa PEP unameza kwa mwezi mmoja then unapima unakaa miezi mitatu tena unapima..... Taratibu uende na uliyefanya nae uzinzi ili wote muwe tested ili kama wote wazima kusiwe n haja y kutumia PEP ila kama mmoja yuko HIV+ upewe huduma hiyo.
Hizo pep zina patikana maduka ya dawa au ndo mpaka uende vct sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliweka ahadi unatakiwa uitimize,, .
Najua mtaniona mm mkatili kwa kutotaka kutuma ela, yule dada alitaka nimtumie kwanza ndio anipe mzigo akijua nitamzingua, na nina uhakika baada ya pale angempigia simu mama yake ili wapigiane pasu ile ela maana demu mwenyewe nilikuwa namjua before ya kumgegeda, baba ake ni famous sana kwenye federation za michezo na alishawai kushika nafasi ya juu, mama yake ni mfanyakazi wa serikali. Siyo kuwa ametoka familia ya kipato cha chini, sema demu anatamaa ya ela

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine unaweza ukadhani ni mama yake kumbe wana laini mbili ,

Hiyo mm ilinikuta nilikwapua demu huko badoo tumeingia room anadai hoo nyumbani kuna kikao halafu hamna mahitaji sasa nataka umtumie kwenye mpesa !

Nikamuuliza umenipa hiyo hela ya kumtumia akaanza bona uko hivyo ....basi tuache siku nyingine sasa

Nikamwambia basi poa .....ondoka akaghuna mmh njoo basi akashuka mpk sh 15000/- tuma kwanza nikatuma

Nikala mzigo halafu nikaomba kuirudisha ile hela demu ameshaondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
wizi mtupu.....
 
Nyingine hii,
Mwaka 2013 kuna sehemu nilienda kufanya kazi kwenye sector binafsi.
Wakanipa nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala jiko na sebule/sitting room.
Wakati huo sijao na nooikuwa napenda sana mademu kwa kweli sasa mbaya zaidi kule ni njee kidogo na mjini, nikapiga moyo konde.
Kuna siku mida ya saa mbili hivi nilikuwa sijisikii kupika nikasema ngoje niende barabarani nikangalie msosi, ile njia ina majani marefu sana.
Nikakutana na Dada anarudi, nikamsemesha pale akatoa ushirikiano mzuri mm nikahirisha safari mpaka ndani, nikaaza kuomba mzigo mwazoni alizingua lkn baadae akaachia.
Hii siku huwa sipendi kuikumbuka kabisa, ktk ya game demu alizimia.
Na alikuwa anatoka nyumba ya jirani tu pale.
Niliwaza vitu vingi sana kwa mda ule lkn bahati nzuri alizinduka. Hapo nikamuambia avae haraka sana, nikampitisha mlango wa nyuma akasepa sikutaka kurudia tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho yake ikawaje baharia je hukupasha kiporo tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom