rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 6,108
- 7,788
Oya hapa hatujakusoma mzee baba, huyo dem umemzingua knoma alafu sio fresh wala nini. Mpe hiyo hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nimekula mademu wawili kimasihara. Kuna mama mmoja tupo nae ofisini, kama wiki hivi amekuja kutembelewa na mwanae maana now tupo government city idodomya. Yule bi mkubwa alikuwa na mzigo wangu ivyo akanielekeza nikauchukue kwake ila akanipa angalizo nisije nikamlamba mwanae maana anajua tabia yangu. Nikazama ndani kuchukua mzigo namkuta mwanae tukapiga piga story mbili tatu huku namshika, nafika kifuani dogo katulia, piga denda katulia tuu, nikapima oil dogo kaanza kulegea. Mzee baba nikainamisha sebuleni nikapiga bao langu moja nikasepa maana mida ya kurudi bi mkubwa ilikuwa ishakalibia. Nafika home nijiandae kuja dar kwa ajili ya kula xmas kuna demu mmoja jirani yangu ila nae yupo ofisi flani ya serikali akawa anataka lift ya kuja dar, akaja na best ake, si nikawa namtania amuache mwenzake, kimasihara akamuacha kweli nikazama nae chumbani maana nilikuwa na taulo tuu baada ya kutoka kuoga, nikaanza kubembeleza demu aachie mzigo akawa anagoma ikabidi mzee baba niahidi zawadi, dogo akapanda dau anataka nimtumie mama yake laki moja, nikakubali kumpa ila cash, dogo akagoma akataka nitume kwenye simu na mm nakomaa tutapitia atm nitoe nimpe cash, badae dogo kukubali nikala mzigo na ela sikumpa kaishia kulalamika kwa nilichomfanyia
Sent using Jamii Forums mobile app
