DanbyHR
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 286
- 394
Baada ya kutoswa na mwanamke mmoja humu ndani, nkasema isiwe case maisha yaendelee. Jana nkiwa mtaa na mawazo ya kutoswa si kamvua kaanza kupiga, watu wa Daslam wanaelewa vizuri...
Katika kuangaza angaza kwa mbele nkaona binti mmoja yuko njema, kakamatia mwamvuli freshi, nkasema isiwe tabu nkaenda kujikinga na yule binti. Bila maneno akaniruhusu safari ikaendelea na mvua ikazidi, yule manzi akafika alipokuwa amepanga, mi bado safari ndefu. Nkamwomba kama inawezekana nikatulia pale mpaka mvua ikakata.
Nkakaribishwa mpaka bafuni, mara kitandani sijakaa sawa mzigo umezama najimegea tunda, sebene likapigwa kiutani utani. Na saivi napoandika nshaletewa supu ya maana na chapati zangu kadhaa (2), cuz nilijikuta tumelala wote.
Hivi nko kupoozwa machungu ya yule mwanamke kuniacha, kisa comment yangu huko nyuma ya kula tunda kimasihara, na kuwa online muda wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kuangaza angaza kwa mbele nkaona binti mmoja yuko njema, kakamatia mwamvuli freshi, nkasema isiwe tabu nkaenda kujikinga na yule binti. Bila maneno akaniruhusu safari ikaendelea na mvua ikazidi, yule manzi akafika alipokuwa amepanga, mi bado safari ndefu. Nkamwomba kama inawezekana nikatulia pale mpaka mvua ikakata.
Nkakaribishwa mpaka bafuni, mara kitandani sijakaa sawa mzigo umezama najimegea tunda, sebene likapigwa kiutani utani. Na saivi napoandika nshaletewa supu ya maana na chapati zangu kadhaa (2), cuz nilijikuta tumelala wote.
Hivi nko kupoozwa machungu ya yule mwanamke kuniacha, kisa comment yangu huko nyuma ya kula tunda kimasihara, na kuwa online muda wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah mimi ni aina ya mtu ambae hua niko free...nimeumbwa hivyo hata ikitokea nimechukia au kukwazika naongea au nalia baada ya hapo nikisema yameisha ndio yameisha....siwez kukaa na kitu rohoni ht cku 1...ndoa yetu km nyingine ina vijimakwazo kidogo ila tunajitahidi kuipa furaha pale tunapoona shida inataka kua endelevu....

