Amina niombee t's ma timeMungu ni mwema ikawe heri kwako upate mtu sahihi na wa kuendana na wewe!
Ulifanikiwa kumaliza ile diploma yako NIT ambayo ulianza kusoma 2016 baada ya kushindwa kukidhi vigezo ambavyo vingekuwezeaha kwenda degree moja kwa moja?
Huyo dada anataka umle kimasihara bado hujamsoma tu mkuu.Mr Fukunyuku kasome vzr utaelewa nilikua namuombea nani ushauri na maoni hlf yawezekana ukajijibu huko maana km umerukia treni kwa mbele kidogo[emoji4]
[emoji23]Haoo wanakujaaNaogopa kuleta story yangu maana najua nitawanyegesha/kuwaroanisha mod alafu wanipige ban. Maana nasikia ukiwanyegesha2 ban inakuhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana Nae Huyo CcMr Fukunyuku kasome vzr utaelewa nilikua namuombea nani ushauri na maoni hlf yawezekana ukajijibu huko maana km umerukia treni kwa mbele kidogo[emoji4]
Sijui na wangu atakuja kua mke mana na yeye alikuja kimasihara tu nilianza kumwambia neno nakupenda baada ya kugegedana mara kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh aiseee sijui namwanamke wangu ataniacha dizain kama ulivyomuacha mshkaji wako maana nampiga sana matukio namavurugu kama yoteee
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh jamaa alikuonjesha asali ambayo ukuipata awaliItategemea yy atakua na mapokeo gani mimi nilivumilia sababu nilimpenda ila nlivyoexperience upendo wa dhati tu nikamkimbia jamani[emoji28]
Achana Nae Huyo Cc
Tunamjua Hana Mishe Kula Kwa Mama
Kazi Yake Kushinda Jf Na Kutaka Kiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona kama unafanya kazi ya kumoderate huu uzi? Acha watu waandike wanavyojisikia usiharibu uzi bwana aah!Ni makosa kisheria kujisifu una lundo la Ids.
BTW kama una malalamiko nenda ukaanzishe uzi kwenye lile jukwaa la malalamiko ila zingatia lugha nzuri.
Ahsante.
Nikweli naulichagua njia iliyo njema nandiomana Kawa Mr wakoEeh bwana mtu unampenda mtu lkn anakuchukulia kawaida hlf unakutana na mtu anakuweka priority ht ungekua ww kaka yng ungeshift kwa kweli[emoji16]