Back in days agaiiiiin..
Pande fulani mkoani nilkua nimeriport kuanza kazi nina mda kama miezi miwili cjala mzigooo.
Cku moja anakuja dogo mmoja ananiambia "nimeiona pisi moja hatare kitaa, nimefight nimepewa namba so nataka nimcheki nisafishe nyota na mm"....nikamwambia ss dogo nipe namba ake kwanza Kuna vitu nataka muuliza..
Kunipa nikamcheki ananiuliza ww nani nikamwambia mimi fulani japo najua hunifaham, kaniuliza unashida gani nikamwambia ucjar nitakuambia...
Nimempotezea kama cku mbili hivi akanitext vipi ulkua unashida gani mbona kimya....nikamwambia njoo home nikuambie.
Bas nikamuelekeza pale kaja gheto mtt...kufka gheto mtt mkali hatare maana nilkua cjawahi muona hata cku moja....ila nikakomaa nishawahi muona kabla...
So nikamuagizia kinywaji pale mtt anapiga huku anaona aibu kidizain flani ananiambia nimwambie ss nilicho muitia,..
Nikamusogelea karbu namshika kiuno mtt kajaa kifuani, nataka kula mate mtt anajifanya kugoma anataka nimuambie kwanza.....
Kumshika naona analegea,,,basi nikamvutia chumbani nikapiga sana dg anakomaa bado tu anataka nimuambie, mm namwambia ucjari nitakuambia....
Baada ya mechi mtt bado anataka nimuambie nikamwambia nitakuambia cku nyingne ucjariii...
Mpaka leo cjawahi mwambia anachokitaka na mazoea nishakata baada ya kuona hakuna nilichokitegemea kukipata.....OVEEER
Sent using
Jamii Forums mobile app