Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,228
- 85,165
Ndio kuna shida?Mishangazi ya jf
Ndio kuna shida?Mishangazi ya jf
Nyie ndio mnanileta huku jehanumUnazunguka tu kwenye uzi wa watu wenye bahati
Toa ushuhuda wako nawewe mbele ya madhabauNyie ndio mnanileta huku jehanum
Mimi nazunguka kufanya nini?
Mnanilipa au mnakusanya taarifa za kujidhalilisha tu?Toa ushuhuda wako nawewe mbele ya madhabau
Weka lipa namba watoto wadogo wanapenda chai jioni hii na ubaridiMnanilipa au mnakusanya taarifa za kujidhalilisha tu?
Mtandao gani?Weka lipa namba watoto wadogo wanapenda chai jioni hii na ubaridi
Wowote tuMtandao gani?
3___Wowote tu
Vijana ifike mahali wajue Kula tunda kimasihara ni sawa na kufutia taulo kwenye maka.li.o na kujifutia tena usoni...Hizo zilikuwa ashiki za ujana na mlochafuana tuu.. Show za kujivunia huwa na maandalizi yake na location zake
vitambaa sem nakutaman siku moja nisafr nawewe hautachomoaninyi ndo mnasabaisha magari yawe na harufu mbaya plus hewa nzito,, kwahiyo mlipomaliza mlijipangusia tiketi au?
😂😂ninyi ndo mnasabaisha magari yawe na harufu mbaya plus hewa nzito,, kwahiyo mlipomaliza mlijipangusia tiketi au?
Lakini tunda alikula..Teacher akakimbiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mimba ilitoka muda sana, nikawa nahudumia hewa..Nilitoboka sana, mpaka rafiki yake karibu kabisa alivyokuja kunipa ukweli..Nikafuatilia na kugundua kanyaboya na nikasitisha huduma kwa ghafla kama mwanga wa radi..Ilikuaje mkuu?
Nyege sio kitu kizuri..Hasa zikiwa juunimecheka sana😅😅😅😅 watu ni wachafu mno asee
Hii ni chaiNina mshikaji yuko moro.
So kila nikitoka a-town huwa nafikia maghettoni kwakwe tunakula bata siku mbili tatu nasepa. Week iliyopita nimedondoka maghettoni kwake bila taarifa. Ghetto limefungwa. Nikampigia simu. Funguo kauchomeka juu mlango wa kati.
Nikautafuta sijaupata. Kila akinielekeza naona atuelewani. Purukushani za kutafuta funguo kakatiza mpangaji mwenzie(kavaa kanga tupu sura ya kawaida tako kama lote rangi ya mtume).Tukasalimiana fresh. Akaniambia mshikaji hayupo. Nikamwambia nimeongea nae kanielekeza funguo ipo hapo juu lakini sijaiona. Mdada akasema sio hapo ni juu zaidi kwenye ilo mbao namwonaga anaweka. Nikamjibu inabidi nipate stuli ama kigoda. Akasema hana vyote hivo hajanunua ndio anaanza maisha.
Akili ya harakahara nikamwambia njoo nikubebe begani labda utaifikia. Akakubali ila nimsubiri mpaka akavae. Nikamwambia mbona hapo ni dakika moja haina haja ya kwenda kuvaa. Nisaidie chapchap wala usiwe na shaka mi mtu mwema. Alikuabali.
Nilivyombeba tu walai mtoto mlaini huyo mashalah! Akautoa funguo. Nikafungua mlango mimi nikamvutia ndani...Asanteni
Nimekuja kutalii Mtwara nikahisi hamu ya tendo, nikafanya maarifa huko badoo na tinder nikapata toto la kimakonde.
Tukakubaliana tendo lichukue muda mfupi tu (round 2 ) halafu anaondoka, mtoto akataja bei nikamwambia aje.
Amekuja kama ametumwa vile, anakatikia mkuyenge kidogo uchomoke, 2 zikaisha nikamlipa akaniambia tulale kabisa kwa pesa hiyohiyo.
Usiku kanionesha ufuska wote, yani nilijua na dhambi kumbe bado mtakatifu sana😂
Sahivi mkuyenge umechoka vibaya mno.
Kwa mtindo huu, mkoa hauta endelea kamwe licha ya utajiri wa korosho na gesi.
Mtwara kuchele.