Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Hongera sana mwamba, yaani wewe ni kamanda kapteni la kwenda, huyo usimuache mwanamke kwanza ushasema ni mtamu, halafu huyo fala wake atajua mwenyewe wewe piga mzigo baharia bahati hizo haziji mara mbili, inaonekana wewe handsome sana afu unaenda raundi za kutosha, mbegu zako adimu mumewe hana, komaa jeshi langu mwendo ni huo tu yaani 2025 kama vipi mwambie amtose huyo fala wake ahamie kwako mazima ili marehemu mama yako afurahi zaidi
Si umesikia yule jamaa aliemchoma mkewe na magunia ya mkaa? hatutaki lijitokeze tena. ashapita hapo imetosha basi aache familia ya watu asiiharibu

Tamaa mbaya.
 
UDOM 2011/2012 First college education alikuja demu rafk kunisalimia tukaliga story adi sa tatu anataka kuondoka kwenda block kwao ...jamaa mmoja tunaishi nae akamwambia Baki ulale usiku huu unaenda wapi jamaa akatupisha kitandan yeye akasema Mimi ntalala kitandan Cha juu dekani nyie laleni apo hahaha demu kakubali kulala usiku nikapiga show Kali...sikula tena adi tumemaliza chuo
 
Back
Top Bottom