Nyingine,
Mwaka jana nikiwa nimepumzika nje ya geto barabarani kama saa 2 ndani ya Bukoba. Napiga story na rafiki yangu mmoja.
Akapita dada mzuri wa kinyarwanda, mrefu mnene kiasi alafu maji ya kunde! Mnawajua walivyo umbika. Sikujizuia nikamwita, akaja kunisikia nikamweleza machache tu. Akanambia nisubirie niingie hapo lodge narudi sasa hivi. Nikasema poa ila usichelewe nakusubiria.
Mawazo yangu nikajua huyu kaitwa lodge na mtu. Baada ya dakika kama 5 akarudi, nikamsemesha kwa swaga za kibaharia.
Sikupenda tuongelee nje, nikampeleka geto kwangu. Maana si mbali na barabarani.
Akanambia nisubirie nikachukue begi langu. Nikamwambia au ndiyo unakwenda jumla? Akasema hapana; ngoja niache hili begi dogo.
Baada ya dakika 7 akarudi na mabegi 2 makubwa! Nikajisemea moyoni! Yamenikuta Baharia! Akanambia anavuka kwenda Kigali (Rwanda ).
Baada ya msosi tukaoga, baada ya kuoga tukaanza maandalizi! Tachi za maana kila kona ya mwili, tukadendeka vya kutosha, mtoto akalegea kama mlenda! Yuko chepe chepe! Nikachukua kitambaa nikamfuta!
Nikashuka dimbani kuichezea team yangu ya Uvinza FC.
Nilimnyonya hadi akabaki anatetema miguu na tumbo. Naona alitamani kichwa chote kizame ndani! Kumbe ameshapizi mara kibao tu. Maana siyo kwa kubanwa kule kichwa changu!
Tulipiga show ya kibabe usiku kucha. Maongezi mengi, show kwa sana!
Kila tukiongea au tukiwa kimya alikuwa anatokwa na machozi tu. Akanambia haamini nilichomfanyia! Alikuwa anasikia tu kwa watu wengine! Hivyo analia kwa furaha!
Asubuhi nikajua ataondoka! Akasema hawezi kwenda kirahisi! Nikawaza kimoyo moyo, inamaana ndiyo nimeoa kimasihara?
Mchana tena tukapiga show na usiku wake tena. Mtoto alikuwa ananyegeka ajabu alafu mzuri wa umbo na sura anavutia balaa! Yaani ilikuwa kama vile tuko honey-moon. Ilikuwa tunawaza kula na ngono tu.
Mtoto alikaa siku 8 hadi ndugu zake wa Rwanda wakashtuka! Ila wakimpigia simu anawaambia yuko salama, anawaambia bado anawatembelea ndugu!
Kimasihara zipo nyingi mno.
Sent using
Jamii Forums mobile app