Ujinga ni Ile hali yakutokujua mambo kwa kiingereza ignorance, is a lack of awareness about side effects and advantages of performing certain issue around the society.
Kuna baadhi ya watu bado niwajinga sana , ubongo hakuna kbs, just imagine mtu hamfahamiani afu unataka Ile kavukavu tena kidada kinasema unatumia ndimu au mafuta aiseee.
Mtu kama huyu anaobongo kweli?? Mafuta toka lini yakazuia maambukizi ya VVU.
Serikali na wadau wa maswala ya AIDS bado jamii ipo gizani kuhusu hili janga kubwa linaloua watu kila kukicha.
Aisee hali ni mbaya sana