Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Sidhani kama ni sifa au ujanja kulala na wake za watu.
Ukiwekwa mtu kati ndo utajua haujui.
Mwenzio alirekodiwa analawitiwa kisha akauliwa kwa kuchinjwa akirekodiwa kisha clip zote akatumiwa mkewe hadi leo mke na watoto wake hawapo sawa kwa kuona unyama aliofanyiwa baba yao kisa tu nyege
 
Mi sipendagi haya mambo ya kusalimiana salimiana mara nyingi huwa yanaleta umbea.

Twendeni kwenye mada

Kama nilivyoeleza yeye ni mke wa mtu huwa namtafuna kimasihara tu, siku moja tumemaliza kunjunjana nikamwambia "yani kwa huu utamu wako natamani unizalie mtoto wa kike ili nimuite jina la marehemu mama yangu", tukacheka ikawa kama yameishia hapo.

Kumbe mwenzangu kayabeba, siku moja kanipigia anataka tukutane pale pale pa siku zote, ikawa ivo bana.....tulivyokutana aisee garagazana vibaya sana, lowanisha mashuka ya gesti, vunja glasi za wine zilikuwa mezani, yani ilikuwa kama tumetoka jela jinsi tulivyokuwa na upwiru 🤣🤣......

Baada ya hapo akanionesha mkononi amebandikwa ka plasta, nikamuuliza amefanyaje, ananijibu eti ametoka hospital kutolewa njiti na yuko tayari kwa ujauzito.

Akanionesha kwenye simu yake kanisevu Baba M......(jina la marehemu mama yangu), nilimuuliza mambo mengi sana kuhusu jambo hilo akanijibu tu hayo yote nimuachie yeye atajua namna ya kudili nayo.

Hivi wanawake wa aina hii si ndio wanaizidi kuwapa point timu kataa ndoa.

NB:- WAPWA......HUYU MWANAMKE NI MTAMU SANA SITAKI KUMUACHA NA SINA WAZO LA KUZAA NAE.
..unazawadiwa mimba ya mume wake ili kupata uhakika wa malezi ya mtoto I.e resources diversification
 
Adhabu huwa ni Fidia, kipigo, kuuwawa au kuingiliwa kinyume.

Adhabu unayoitamani inajulikana ila sisemi.
 
wanawake wengi wa wanaume wenye vipato duni wanachepuka mno mradi tu wapate hela .

mwanaume ukiwa maskini una mke halafu upo mjini mfano dar na dodoma mjini kazi unayo
Wavijijini pia wanachepuka sana tu.
Mchawi pesa tu.
Wapo wanawake wanachepuka bila kufuata pesa, wao ndiyo wanatoa pesa na vitu.
 
wanawake wengi wa wanaume wenye vipato duni wanachepuka mno mradi tu wapate hela .

mwanaume ukiwa maskini una mke halafu upo mjini mfano dar na dodoma mjini kazi unayo
Si kweli,kachunguze vyema,fuatilia vizuri.Hii kitu inakula upande wote kwa wote tusjipe moyo.
Binamu yangu alikuwa na ukwasi ,shemeji akawa anatembea na Dereva wake ,wote marehemu sasa toka 2004.
Namaanisha Dereva,Shem na Binamu.
 
Mi sipendagi haya mambo ya kusalimiana salimiana mara nyingi huwa yanaleta umbea.

Twendeni kwenye mada

Kama nilivyoeleza yeye ni mke wa mtu huwa namtafuna kimasihara tu, siku moja tumemaliza kunjunjana nikamwambia "yani kwa huu utamu wako natamani unizalie mtoto wa kike ili nimuite jina la marehemu mama yangu", tukacheka ikawa kama yameishia hapo.

Kumbe mwenzangu kayabeba, siku moja kanipigia anataka tukutane pale pale pa siku zote, ikawa ivo bana.....tulivyokutana aisee garagazana vibaya sana, lowanisha mashuka ya gesti, vunja glasi za wine zilikuwa mezani, yani ilikuwa kama tumetoka jela jinsi tulivyokuwa na upwiru 🤣🤣......

Baada ya hapo akanionesha mkononi amebandikwa ka plasta, nikamuuliza amefanyaje, ananijibu eti ametoka hospital kutolewa njiti na yuko tayari kwa ujauzito.

Akanionesha kwenye simu yake kanisevu Baba M......(jina la marehemu mama yangu), nilimuuliza mambo mengi sana kuhusu jambo hilo akanijibu tu hayo yote nimuachie yeye atajua namna ya kudili nayo.

Hivi wanawake wa aina hii si ndio wanaizidi kuwapa point timu kataa ndoa.

NB:- WAPWA......HUYU MWANAMKE NI MTAMU SANA SITAKI KUMUACHA NA SINA WAZO LA KUZAA NAE.
Single Maza kakuingiza kwenye mfumo ukajaa mazima.
 
Si kweli,kachunguze vyema,fuatilia vizuri.Hii kitu inakula upande wote kwa wote tusjipe moyo.
Binamu yangu alikuwa na ukwasi ,shemeji akawa anatembea na Dereva wake ,wote marehemu sasa toka 2004.
Namaanisha Dereva,Shem na Binamu.
What a tragedy
 
Mi sipendagi haya mambo ya kusalimiana salimiana mara nyingi huwa yanaleta umbea.

Twendeni kwenye mada

Kama nilivyoeleza yeye ni mke wa mtu huwa namtafuna kimasihara tu, siku moja tumemaliza kunjunjana nikamwambia "yani kwa huu utamu wako natamani unizalie mtoto wa kike ili nimuite jina la marehemu mama yangu", tukacheka ikawa kama yameishia hapo.

Kumbe mwenzangu kayabeba, siku moja kanipigia anataka tukutane pale pale pa siku zote, ikawa ivo bana.....tulivyokutana aisee garagazana vibaya sana, lowanisha mashuka ya gesti, vunja glasi za wine zilikuwa mezani, yani ilikuwa kama tumetoka jela jinsi tulivyokuwa na upwiru 🤣🤣......

Baada ya hapo akanionesha mkononi amebandikwa ka plasta, nikamuuliza amefanyaje, ananijibu eti ametoka hospital kutolewa njiti na yuko tayari kwa ujauzito.

Akanionesha kwenye simu yake kanisevu Baba M......(jina la marehemu mama yangu), nilimuuliza mambo mengi sana kuhusu jambo hilo akanijibu tu hayo yote nimuachie yeye atajua namna ya kudili nayo.

Hivi wanawake wa aina hii si ndio wanaizidi kuwapa point timu kataa ndoa.

NB:- WAPWA......HUYU MWANAMKE NI MTAMU SANA SITAKI KUMUACHA NA SINA WAZO LA KUZAA NAE.
Tutaonana tenaaa aah tutaonana tutaonana tena aah tutaonana
Mbinguni
 
wanawake wengi wa wanaume wenye vipato duni wanachepuka mno mradi tu wapate hela .

mwanaume ukiwa maskini una mke halafu upo mjini mfano dar na dodoma mjini kazi unayo
Wote wanachepuka dhama zimebadilika tatizo ni binadamu tunataka kushindana na ukweli ...ukweli ni kama ifuatavyo
1)hakuna mke wa peke yako
2)starehe ya sex siyo kwa mwanamke mmoja au mwanaume mmoja
3)uhitaji wa mwanamke ni wanaume 6 kwa wakati mmoja,
Uhitaji wa mwanaume ni wanawake 3 kwa wakati mmoja
4)msingi wa ndoa ni kulea watoto zaidi kuliko kulindana na kuchungana na kuviziana kama magaidi na majambazi na mapolisi.
5)kuamini kuwa mke wako anatosheka na wewe tu ni kujidanganya na kuukataa ukweli na kushindana na ukweli kwa kiwango kikubwa.
6)kuamini kuwa mume wako anatosheka na wewe tu ni kujidanganya na kuukataa ukweli na kushindana na ukweli.
7)kudhani kuwa mke wako na watoto wako ni watumwa wako ni kujidanganya na kushindana na ukweli.
8)kudhani kuwa mume wako na watoto wako ni watumwa wako ni kujidanganya na kushindana na ukweli.
Kudhani kuwa ukiwa na fedha kutamfanya mwanamke asitake wala asitamani mwanaume mwingine zaidi yako ni kujidanganya na kushindana na ukweli.
 
Back
Top Bottom