Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Huu uzi ndio umekuwa dili kwa content creators wa huko twitter. Jf kubwa hii
Screenshot_20250303_184957_X.jpg
🤔
 
Mi sipendagi haya mambo ya kusalimiana salimiana mara nyingi huwa yanaleta umbea.

Twendeni kwenye mada

Kama nilivyoeleza yeye ni mke wa mtu huwa namtafuna kimasihara tu, siku moja tumemaliza kunjunjana nikamwambia "yani kwa huu utamu wako natamani unizalie mtoto wa kike ili nimuite jina la marehemu mama yangu", tukacheka ikawa kama yameishia hapo.

Kumbe mwenzangu kayabeba, siku moja kanipigia anataka tukutane pale pale pa siku zote, ikawa ivo bana.....tulivyokutana aisee garagazana vibaya sana, lowanisha mashuka ya gesti, vunja glasi za wine zilikuwa mezani, yani ilikuwa kama tumetoka jela jinsi tulivyokuwa na upwiru 🤣🤣......

Baada ya hapo akanionesha mkononi amebandikwa ka plasta, nikamuuliza amefanyaje, ananijibu eti ametoka hospital kutolewa njiti na yuko tayari kwa ujauzito.

Akanionesha kwenye simu yake kanisevu Baba M......(jina la marehemu mama yangu), nilimuuliza mambo mengi sana kuhusu jambo hilo akanijibu tu hayo yote nimuachie yeye atajua namna ya kudili nayo.

Hivi wanawake wa aina hii si ndio wanaizidi kuwapa point timu kataa ndoa.

NB:- WAPWA......HUYU MWANAMKE NI MTAMU SANA SITAKI KUMUACHA NA SINA WAZO LA KUZAA NAE.
 
Back
Top Bottom