Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kuna watu wa kula ila sio nyie ...mpo desperate sana na mbunye yaani mnapapatika hadi manzi anawaona uchuro. Mbona wenzenu mbunye zinatuata nyie mnakwama wapi.....?

punguza uvulana mwamba, be a MAN, aya mambo achia watoto wa kike si kila k2 ni cha kujibu na kupandishia kifua mtandaoni, ukivuliwa nguo chutama kama muungwana.
 
punguza uvulana mwamba, be a MAN, aya mambo achia watoto wa kike si kila k2 ni cha kujibu na kupandishia kifua mtandaoni, ukivuliwa nguo chutama kama muungwana.
Tena inavyo onesha wewe ndio wale majamaa wa mavideo call [emoji23][emoji23]

Miles is over everything mzee tena viwatu kama nyie nawapenda kichizi yani hasa mkiingia kwenye 18 zangu.

Mnajifanya hapa mnajielewa kumbe mafala tu ....ila kwenda kusumbua watu ndio uungwana eti eee ....njoo nikufundishe kutongoza achana na mavideo call wanawake hawapendi
 
Tena inavyo onesha wewe ndio wale majamaa wa mavideo call [emoji23][emoji23]

Miles is over everything mzee tena viwatu kama nyie nawapenda kichizi yani hasa mkiingia kwenye 18 zangu.

Mnajifanya hapa mnajielewa kumbe mafala tu ....ila kwenda kusumbua watu ndio uungwana eti eee ....njoo nikufundishe kutongoza achana na mavideo call wanawake hawapendi

[emoji1][emoji1][emoji1] poa poa legend wa kutongoza
 
Tena inavyo onesha wewe ndio wale majamaa wa mavideo call [emoji23][emoji23]

Miles is over everything mzee tena viwatu kama nyie nawapenda kichizi yani hasa mkiingia kwenye 18 zangu.

Mnajifanya hapa mnajielewa kumbe mafala tu ....ila kwenda kusumbua watu ndio uungwana eti eee ....njoo nikufundishe kutongoza achana na mavideo call wanawake hawapendi
Mzee hapa ni kimasihara tu si habari za kuchambana, tunaomba hayo mashindano yako upeleke kule chitchat. Umaku hautakiwi humu
 
Tena inavyo onesha wewe ndio wale majamaa wa mavideo call [emoji23][emoji23]

Miles is over everything mzee tena viwatu kama nyie nawapenda kichizi yani hasa mkiingia kwenye 18 zangu.

Mnajifanya hapa mnajielewa kumbe mafala tu ....ila kwenda kusumbua watu ndio uungwana eti eee ....njoo nikufundishe kutongoza achana na mavideo call wanawake hawapendi
Oyaa deny mwenyewe ndio huyo hapo kwenye dp??
 
Mimi napendaga kwanza nikute yuko na wateja wengi haswa haswa wakike Naropoka kwa Nguvu Naomba Condom!

Hapo lazima aniulize ipi? Huwa namjibu kwa Kumuuliza ipi ni nzuri. Huwa hawajibu wanaishia kukushangaa na hapo hapo Nachomekea kwa wale walioko pale eti Condom ipi ni nzuri jamani ambayo haina shida nikaitumie. Wataishia kucheka na Mwisho wa siku najua ntafanya Mbinu yeyote nimwachie yeyote namba.

Kama yuko Muhudumu wa kike pekee na ni Pisi huwa namuuliza ipi nzuri. Wengine huwa wanaamua kukuchagulia au mwambie ambayo hata ww huwa unaweza kuitumia na Mtu wako. Halaf chukua Pakiti kama 3 ivi Muulize kiutani Mbona huniandikii matumizi yake, Mwambie wewe hujui kiutani; Ataishia kucheka tu au atakwambia tumia Moja kwa kila Tendo. Mwambie nikishindwa kuzimaliza zote Ntakutafuta niangalie namna ya kuzirejesha au kuzitumia. Niandikie namba zako ili nikitaka maelezo zaidi nikuulize Dokta.

Huko mbeleni namna ya kuja kuzitumia naye sikufundishi mimi nimemaliza[emoji114]
Kweli huu uzi umekaa kimasihara, taka usitake demu lazima uliwe.

Mkuu umetunukiwa shahada ya juu kabisa ya ubaharia.
 
Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
Tatizo uliingiza upepo, ungejiamini tuu hakika ungemla .

Mijimama mingi ipo hivyo ila inalika ukikaza nakujiamini
 
Kuna msiba huku kwetu. Wanasafirisha kuelekea mikoani..
Wife kachaguliwa kati ya wanaotakiwa kusindikiza msiba. Thrn kaja kunambia eti anasafiri kusindikiza msiba. Na huko watakaa siku 4. From jana jmos hadi j4..

Nikakumbuka uzi huu wa kula kimasihara.. Nmeona visa humu watu wameliwa kimasihara trip za misibani kama hii.
Kwa hisani ya huu uzi nmemkataza wife kwenda huko... Tutaomboleza hapa hapa
 
Kuna msiba huku kwetu. Wanasafirisha kuelekea mikoani..
Wife kachaguliwa kati ya wanaotakiwa kusindikiza msiba. Thrn kaja kunambia eti anasafiri kusindikiza msiba. Na huko watakaa siku 4. From jana jmos hadi j4..

Nikakumbuka uzi huu wa kula kimasihara.. Nmeona visa humu watu wameliwa kimasihara trip za misibani kama hii.
Kwa hisani ya huu uzi nmemkataza wife kwenda huko... Tutaomboleza hapa hapa
Nakubar rikiboy upewe maua kwa kuanzisha uzi
 
Kuna msiba huku kwetu. Wanasafirisha kuelekea mikoani..
Wife kachaguliwa kati ya wanaotakiwa kusindikiza msiba. Thrn kaja kunambia eti anasafiri kusindikiza msiba. Na huko watakaa siku 4. From jana jmos hadi j4..

Nikakumbuka uzi huu wa kula kimasihara.. Nmeona visa humu watu wameliwa kimasihara trip za misibani kama hii.
Kwa hisani ya huu uzi nmemkataza wife kwenda huko... Tutaomboleza hapa hapa
Mambo yasiwe mengi[emoji1]
 
Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
😂😂😂😂 ase
 
Kuna msiba huku kwetu. Wanasafirisha kuelekea mikoani..
Wife kachaguliwa kati ya wanaotakiwa kusindikiza msiba. Thrn kaja kunambia eti anasafiri kusindikiza msiba. Na huko watakaa siku 4. From jana jmos hadi j4..

Nikakumbuka uzi huu wa kula kimasihara.. Nmeona visa humu watu wameliwa kimasihara trip za misibani kama hii.
Kwa hisani ya huu uzi nmemkataza wife kwenda huko... Tutaomboleza hapa hapa
Safi sana...ndugu wa karibu saaana watasindikiza!
 
Back
Top Bottom