Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
 
Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
[emoji23] mkuu usikate tamaa
 
NILIVYOMLA DEMU MUCH KNOW KIZEMBE SANA


Siku moja nipo zangu Road natoka mihangaikoni namuona dada mrembo nikamsalimia akakausha ...so ikapita kama week hivi nikakutana nae maeneo karibu na ninapoishi ,sasa nikamkaushia na sikushoboka kabisa .
Sasa yeye akanipa hi mi nikatingisha tu kichwa..sasa jioni yake naenda zoezi nikqkutana na mdada tumuite Paula .namjua nikampa hi nikqmtania pale akafurahi sasa nafika uwanjani naona simu inaita kucheki Paula nikapokea akasema unamjua Nai (code) nikamwambia hapana aka sema eti ameniuliza kumbe wewe unaongea na unachekaga?? Nikamwambia mpe namba yangu
Nimepigq zoezi nikarudi home nikapika ugali na samaki sasa nimekula ukabaki na kesho nina mishe mingi nikasema subili nitoke nje nikikuta madogo niwaite wale ugali sasa ghafra nikapata wazo nimpigie Paula anipe namba ya yule dada Nai....
Paula akasema namba yangu alimpa labda amkumbushe ili anipigie nikasema poa ...sasa after five minutes namba mpya inaingia ..nikapoke
MIMI.. nani wewe

YEYE..nai rafiki yake Paula

MIMI ...Upo wapi

YEYE... nipo sinza nimefqta chakula

MIMI ...chakula tena ??njoo ule basi hapa geto ugali samaki mi umenishinda ..chukka boda nitalipa....
YEYE poa

MIMI .....nikamielekeza akatimba


Waungwana mtoto ni mtamu balaa na hapa tunavyongea ameendq kwao kucheki mazingira ili aje mazima night yote hiiiiiii......Chakuchekesha anasema naonekana Mpole sana harafu naringa Sanaa...ninadhqrau na najisikia sana....

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Chai
 
,,,Nilikula kimasihara pisi moja juzi weekend. Niliikuta kitambaa cheupe.

Inafanya kazi benki moja maarufu hapa nchini.

Niliikuta imekaa yenyewe inakula zake savannah. Nikaomba kama naweza join meza. Ikanikaribisha.

Kula zangu Bia laini laini. Kaka nusu saa hivi kila mmoja na simu na vinywaji vyake. Basi nikakata ukimya... Vipi mbona mrembo hivi uko mwenyewe? Hujaja na Shemeji? Alichonijibu sasa,, Shemeji? Wooi!.

Basi nikajua yupo mwenyewe, nikamwambia I'll pay your bill tonight, siyo vizuri binti kama wewe ujilipie mwenyewe na mimi nipo.

Story mbili tatu akanifungukia kuwa msela wake haeleweki, na ameanza kubadilika baada tu ya kupata kazi nono. Before dem ndo alikua akimbeba mwana coz hakuwa na job.

Vyombo hadi sita kasoro akasema anataka ondoka. Nikamwambia nihakikishe amefika home maana alikua amelewa lewa. Basi ita Uber pale nenda hadi **** anapoishi.

Shuka kwenye gari, nikaisindikiza hadi mlangoni... Kabla haijaingia ndani, nikaiambia "can I hug you?" Akakubali, and i hugged her very tight kama sekunde kadhaa hivi. Akili za kimasihara zikanijia, nikasema ngoja nifanye jambo. Nikashika t*ko hakupinga, kiss shingo akashtuka. Akachomoka kwenye hug. Akaniambia Goodnight Mjina. Nikaitikia kishingo upande.

Akafungua mlango kuingia ndani nami nikafata nyuma...

Itaendelea....
Bongo muvi
 
Watu wa jf mna maisha magumu yaliyo jaa gundu sana ndio maana kila kitu kizuri kwenu kinatatizo......na upwuru wenu shenzi nyie
utani tu chief na kama umeshindwa kung'amua jambo kama hili...(your sense of humor) ipo chini sana..
nilikua nakutania ila ngja niwe serious sasaa yan mm niwe na chuki na ww kisa ww kufanya uzinzi are you serious bro?
ninakaribia miaka 30 na sijawah mchukia mtu despite ya wao kunitendea ubaya na kunisengenya..sasa iweje niwe na wivu na mtu ambaye simjui
jifunze kua na hekima kijana.
 
Leo tarehe 19/8, saa 9:21 Usiku nimefika mwisho wa uzi wa Kula Tunda Kimasihara rasmi....Sasa ni muda muafaka namm nianze kutumia mbinu kutafuta kimasihara zang nikianza na binamu..
Me au Ke?
 
Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
We utakuwa ulitanguliza utoto mwingi 😂
 
Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
Akili za kuambiwa....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom