Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kalia sana.. nilihisi ananifia lodge.. anasema yeye ajijui na mara ya mwisho kupima mwezi wa 6 Mwaka jana
Basi nyie wote bado ni watoto,JE ulishamwanda kisaikolojia kabla ya kupima endapo mngekuta majibu ni tofauti na mlivyotarajia?
 
Piga PEP zikuokoee.

Ngono ya Tigo, inaongoza sana kusababisha maambukizi ya VVU .


Mie Niko Fresh, Jana nmechek
Screenshot_20230618_225723~2.jpg
 
NIMESEMWA SANA NA MADOKTA YAANI NIMESEMWA KAMA MTOTO AISEE WANACHO NILAUMU KWA NINI UPIME BAADA YA TENDO WAKATI ILITAKIWA KABLA YA TENDO.

KIJISAHAU KUPO NDO NILICHOJITETEA NAJUTA AISEE UNASEMWA HUKU UNAPEWA NA ELIMU YA DAWA PEP HAHAH NAONDOKA NACHEKA ILA MOYONI SINA AMANI KABISA WAKUU.

NIMETOKA KUOSHA UUME NA SPIRIT NASUBILI MUDA UFIKE NILE NINYWE PEP YANGU NILALE.

ASANTE WOTE MNAONIPA MOYO AJALI KAZINI... PIA ASANTENI WOTE MNAOKEBEI HILI ATA MIMI NILIKEBEI HIVYO HIVYO ILA MUNGU LEO KANIPA FUNDISHO MOJA KUU SANA.

NACHO WASISITIZA WATAALAM TUPIMENI AFYA, HAWA MADEMU WADOGO WADOGO WENGI WAMEUNGUA SABABU WENGI WAO WANATEMBEA NA WAZEE WALIOTANGULIA KULIONA JUA KABLA YAO HIVYO WANAAMBUKIZWA TU BILA WAO KUJIJUA.

NAWAPENDA SANA KESHO NITATOA MREJESHO WA MAUDHI YA PEP BAADA YA KUNYWA LEO.

ASANTE
 
Back
Top Bottom