Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,789
- 4,820
Dah! Na gari ya watu ukapanda kabisa? Mhhh. Una roho ngumu sanaWana masihara inakuwaje?
Mwaka jana nilienda dodoma kwenye ishu ya kikazi lakini nilienda pia kwenye mahafali ya professional flani ambapo mtoto wa sister yangu alikuwa nayeye anahitimu sababu ilikuwa weekend na nimemaliza kazi zangu ikabidi niende, nilifika eneo la tukio kwa kuchelewa so nikakuta jam ikabidi nibaki nje mpaka pale watakapomaliza.
Baada ya kama nusu saa hivi ikaja gari kali ya kupanda ikafunga break jirani na nilipokuwa nimesimama kwenye gari alikwepo jamaa na manzi then yule jamaa akamuaga yule dada na kumwambia kesho atampitia mida ya jioni(nilijua ni wapenzi sababu ya maneno yao).So yule dada akashuka ni mweusi, mrefu kiasi na ana"kitako flani hivi"(sio shabiki wa mambo ya sheikh kipozeo).
Kwa namna ilivyokuwa mtu wa kwanza kuonana nae nilikuwa mimi na lazima tu angenisemesha. Alipofika akasalimia then akaniuliza kuhusu ratiba ya pale nikamuelezea japo nkamwambia kuna jam sana ndani mule. Ili kusoma mazingira ikabidi ageuke na hapo ndo nkajichukulia point 3 muhimu, nkamwambia "dada hilo tako lote ni lako, na mahips kama pistol ni yako pia" akacheeka akasema sina kitu bhana.
Nkamsifia na rangi yake na macho nkaona anacheka tu, nikaanza kumwambia najua hujapata pa kulala ila utalala lodge nnayolala mimi akacheeka akasema ntapigwa risasi nkamwambia sawa tu, nikampa namba nkamwambia anicheki akimaliza sherehe.
Mida kama ya saa 10 walimaliza nkamchkua mtoto wa sister mpaka home kulkuwa na sherehe pale, ila saa 11 nikapata meseji kuwa nipo wapi nkamwelekeza lodge niliyopo. Manzi kweli akafika tukaingia ndani, hatukuchukua time nikamshika tako nikadaka shingoo yule mtoto ana ukelele wa kimahaba na anavurugu balaa, doggy anaijua sana yule dada ni kama anakuwa anaisiginia ahahaha. Nikampe viwili kwanza(sikuunganisha😀). Tuliagiza chakula mida ya saa 2 then tukaemdelea tulipoishiaa. Tulipiga sana story kuwa jamaake anafanya kazi kwenye mambo fulani yanapesa sana.
Asubuhi nikapiga kimoja then kwa sababu mimi ninapoishi ni njiani kuelekea wanapoishi akasema jamaake atatubeba, kweli midaa ya saa 10 jamaa akatupitia tukiwa kama hatujuani na nilipofika wakaniacha.
Yule dada akasema anatamani rematch ila siwezi hatarisha uhai mara 2.





