Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mabaharia wenzangu huu uzi utakuwa umepigwa ambush maana kuna id mpya zinatoa story za kutisha za ngoma wakati baharia never die.. naona sasa wame ingia ki mkakati wa kijasusi zaidi kutokomeza au ku slow down huu uzi.mpaka rikiboy utoke kifungoni sidhani kama huu uzi utakuwa na nguvu tena...God wabariki mabaharia wote duniani.

....Baharia never die....
Never Die
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Kuna taarifa zinazagaa kuwa uliwahi kula dushe la mwanaJF kimasihara, kuna ukweli hapo?[emoji30][emoji30][emoji30]
Hahhahahaha alafu wewe ngoja nikupangie mkakati utakuja kutoa ushuhuda.mmeenda juzi na RRONDO kula ktimoto na mademu zenu mkafikiri taarifa hazijamfikia priscilla mwenye chain yake
 
Basi bwana 2004 nafanya Bsc (Military Science) ndani ya University of Stellenbosch huko bondeni. Kwenye module ya Technical Intelligence nilikuwa nimepangwa kundi na mrembo wa kisomali ni Exchange Programme kutoka Mogadishu Military Academy (MMA) kabla haijawa TURKSOM..assignment ilikuwa kutengeneza draft ya Commander's Estimates (makadirio ya resources zitakazotumika vitani eg lita za mafuta ya vifaru, ndege, idadi ya frontiers, risasi, mabomu, aina ya silaha, wingi wa chakula etc) tuchague moja ya nchi tunazotoka na mifano iwe inakaribia uhalisia. Basi bwana, mimi nikamshawishi tutumie Somalia (sikutaka kutumia TZ sababu tumekula kiapo kutotoa details nyingi). Kwake haikuwa shida kutumia nchiyake nadhani hakuna restrictions...akaniomba niandae 'sketch' (war skeleton) alafu atakuja kutia nyama mwishoni...ingawa alikuwa mdogo kuliko wote kwenye hiyo course, pia alikuwa smart kuliko wote ingawa hakuwa vizuri sana kwenye power point presentation)... huo usiku sikulala, kidume nikaingia google nikatafuta location za kambi zao kubwa zilizo chiniyao na zinazosimamiwa na Wamarekani, intelligence reports za wamerekani zinazoelezea idadi na aina ya ndege za kivita, aina ya vifaru, ukubwa wa jeshi lao na baadhi ya sehemu zao nyeti (makao makuu ya jeshi, vyanzo vya ufuaji wa umeme, vyanzo vya maji, bunge, airport, madaraja makubwa yanayounganisha miji etc....anyway nisiwachoshe sana.....keshoyake nikamwambia aje jioni nimuonyeshe draft plan..akaja na pedopusha na top ya bakabaka imembana kiuno nyigu, mtoto kabinuka vizuri kama anataka kutaga huku chuchu konzi...
Nikaanza kushuka data jinsigani tutaanza ku "advance" vikosi kutoka Somalia kuelekea KE na jinsigani tutalinda strategic spots zetu kama vyanzo vya maji, Parliament etc...mamamamama, mtoto akaanza kutetemeka, ananiambia how on earth did you come up with all this just overnight?? nikawa natabasamu tu huku kimoyomoyo nasema akirogwa akachukua computer kuangalia history ya web browser imekula kwangu! Akawa ananiambia "you are very smart" na jinsigani angepata sifa kama angetengeneza plan kama hiyo huko kwao kwenye kambi iliyo chini ya uangalizi wa wamerekani..basi bwana, alikuwa amekaa wakati nafanya demonstration, akanyanyuka akanishika kiuno na mikono yote miwili taratibu akaniambia "i want you to 'advance' between my legs"...(kijeshi 'advancing' inatumika kumaanisha kusonga mbele wakati mnashambulia)..sikuchelewa, nikang'ata shingo mtoto akatoa sauti moja sijawai isikia toka nimezaliwa..nikaongeza sauti kidogo (code of conduct za chuo haziruhusu hizi mambo za mahusiano baina ya Military Officers wanaotoka nchi tofauti)...anyways, nikala mzigo mtoto yuko tight mbaya na anajua gymnastics sijawai kuona..sababu ya mnato, usiku huo nikambatiza jina la Sub Machine Gun (SMG) naye akanibatiza jina la Large Machine Gun (LMG). Kuanzia sikuhiyo hadi leo tunaitana SMG na LMG...

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Umebugii na umeharibu kazi.
 
Kuna binti aliwai fanya field ofisin kwetu.Kalikua na maringo sana.Sababu alikua na uzuri wake kiasi.Tatizo kimwonekano kama katumika sana(baadae niligundua teyari yuko na watoto wawili)Kilichomwongezea maringo ni mazingira ya kampuni yetu kuna wanaume wengi sana.Wanawake wachache.So kila siku anatongozwa.Akazidi panda chati.Afu masela wanaonga kama vile pesa wanaokota.Kiukweli mi sikuaga na habari nae hata salam sikua nampa.

Nifupishe habari.Mwisho wa siku akawa mshikaji sana.Akaniambia lazima nikupe mdogo wangu.Aisee mdogo wake ni kisu hatari.Tatizo anaomba sana pesa so misheni ilifeli nikamkosa.

Si tuliendelea na ushikaj wetu kama kawa.Juzi ijumaa kaning'ang'aniza "njoo ghetto njoo ghetto".Nimejichokea makazi ya kutumwa.Nikagoma kata kata.Halafu mida ilikua imesogea kama saa tatu.Kakomaa we njoo.Nikaona sio kesi wacha nimuibukie then nageuka mana jmos off day sio kesi.

Nimefika napokelewa napelekwa mpaka maghettoni kwake.Yuko na ka room kamoja godoro chini.Ebhana kulikua na shoga yake.Sio siri anaeleweka sana.Kasimamia ukucha.Anacheki movie kwenye ki laptop.Nikampa hi.Nikatambulishwa pale nikaona nisikae sana nisepe mida ilikwenda.

Huyo best angu akaniambia usiondoke dondosha hapa hapa si tunakwenda club na washikaji zetu haturudi leo.Nikajishauri nafsi yang ikagoma kabisa.
Kwa kuwa mida mibovu wakaniambia nisubir usafir wa mabasha zao watanipeleka.Nikakubali sio tatizo.

Maandalizi ya kwenda club.Best yangu kaenda kuoga kabadilishia huko huko bafuni room kaja kujiremba.Sasa hio pini imeenda kuoga ila kurudi ina kanga ikabadilisha nguo mbele yangu japo anajifunika na kanga.Kiaibu inaniambia kaka usinichungulie..

Ndani ya kanga matako malaini.Chuchu hazijasimama wima ila hazijalala ila zinashawishi.Udenda ulinimwagika...Nisichoshe sana...

Nilala palepale na huko club hawakukawia.Walitibuana na mabasha zao.Saa tisa wakarudi nikawafungulia.Best angu alilala mwanzo.Pini katikati.Mimi mwisho.Best alivaa jeans na sweata na mkanda akalala.Pini alivaa blauzi,kanga na chupi akalala.

Nimepapasa usiku kucha huku mapigo ya moyo yakiwa juu sana kwa woga mpaka natetemeka.Nawaza akishtuka akiniamshia dude nitaonekana mnyambi,Bhas akishtuka natolewa mkono,Anajizungushia shuka.Nam namvizia akilala nalivuta taratibu mpaka anabaki na chupi tu.Najifunika nae afu natoa mb*oo namgusishia matakoni taratiibu.Hapo mapigo ya moyo yako juu.Akashtuka akasonya kwa nguvu(***** zake) Nimepata sana tabu usiku wa juzi sikulala ub*oo umenidinda usiku kucha.Ila bahari baharia tu.Nimekomaa nyama nimekuja kupewa asubuh saa kumi na mbili(sasa sijui nimepewa kimasihara?)

Nikapiga kimoja cha faster.Cha Upandeupande.Hapo dhana haikutumika.Sema alikua wet sana.

Saivi hapa yupo kalala pembeni yangu nishampiga vitatu.Nitaendelea kumla hakuna namna.Afu yule basha yake kapiga simu zaid ya mara 18 haipokelewi.
 
Ngoja na mimi nilete kisa nilivyokuwa naliwa kimasihara



Baada ya kuona maisha magumu na sina lolote la kufanya mimi kama mwanamke mrembo na mwenye mvuto niliamua kutafuta njia rahisi zaidi ya kujipatia kipitano nilifikiria njia nyingi sana ambazo zingeweza kunipatia angalau mlo na mavazi katika siku zangu za maisha zilizobakia baada ya kugundulika nina virusi vya ukimwi



Nikaanza kutafuta sehemu ambazo naweza kuuza mwili wangu kwa pesa za chapchap niweze kuendeleza maisha yangu ya kila siku , nilikuwa na ramani yangu kwanza pale OHIO , JOLLY , MACHENI , BILLS NA LATAVERNA hizo ni sehemu 5 kuu za starehe jijini dare s salaam kwahiyo huko naweza kufanya kazi za kujiuza kwa wiki nzima kila siku bila kuchoka .



Ohio ilikuwa nzuri ila tatizo lake ni kwamba kila anayepita pale anakujua halafu unatakiwa uonyeshe maungo yako hazarani mimi sikuzoea tabia hizo na sikuwa na mhemko huo kwahiyo nilivaa miwani yangu na kuacha mapaja nje tu waangalie wenyewe kama wanapenda watakuja . Kule macheni tatizo lake ni mashoga wengi sana , yaani mwanaume anaweza akaja kutafuta Malaya akakuchanganya wewe ni shoga , wale mashoga wanaojiuza hawana tofauti na sisi wanawake tunaojiuza wakati Fulani ulitokea ugomvi mkubwa watu waliamulia tulimgombea mwanaume .



Billa nako kuzuri ila vijana wengi sana halafu hawana pesa , na vitoto vidogo vingi , nilikuwa naogopa matatizo na vijana wa kule sikupenda kufanya mchezo na watoto wadogo waliokuwa wananitaka hata kwa dau gani nilingoja wanaume wenye pesa zao tu sio zaidi .



Basi nilianza safari za kuelekea jolly club kwa ajili ya kujiuza mwili wangu nipate angalau chochote cha kula na kufanya katika maisha yangu , pale jolly club nilikutana na dada mmoja anaitwa Aisha , huyu dada nae ni kahaba mzoefu akaanza kunionyesha mambo kadhaa wa kadha kuhusu biashara ya ukahaba na kadhalika . Hapa ndio nilijufunza kwamba sio makahaba wote ni masikini au hawajiwezi kuna wengine wanajiweza na wanazo fedha ila wanapenda kufanya ukahaba yaani wamechoka na dunia wengine walikuwa na wanaume wao wakaachika wakaamua kuja huku kwenda na mwanaume wowote yule anayekuja .



Wengine wana matatizo katika ndoa zao kupigwa na kadhalika wanaamua kuja huku kujiuza au kukaa huku ili kuepuka matatizo katika ndoa zao au mahusiano yao , wengine ndio kama hivyo waume zao hawana nguvu za kutosha kufanya nao tendo la ndoa wanaamua kuwa makahaba kila mtu na lake na mambo yake pia .



Wengine wanafanya huu ukabaha kwa ajili ya kupeleleza yaani ni wapelelezi wa polisi au watu Fulani katika serikali wako katika mitaa hii kuzuga tu , ili wafanikishe kazi zao za uchunguzi kama polisi wa usalama sehemu walizoko .



Mwisho wa yote siku hizi kuna vita kubwa katika biashara hii ya ukabaha mjini dare s salaam , mfano kule jolly kuna wazungu na wahindi wanakuja kufanya biashara ya ukahaba kwahiyo wewe mwamfrika unakazi ngumu kuwapita wale wazungu na wahindi au wachina .



Siku hizi wanaume wengi wanapenda kitu kinaitwa JICHO yaani kufanya mapenzi kinyume na maumbile , hii nayo ni soko kuu , mfano mwingine anaweza kuja kwako anataka jicho na wewe hutoi jicho maana yake unakosa soko suluhicho ni kujitoa mhanga na kufanya mapenzi kwa kuwa mteja ni mfalme ...wanachuo wa MUHAS walioenda sana Tigo



Mbaya zaidi kuna wanaume wengine wanakuja wanaweza kukuchukua uende nao kufanya ngono kumbe wanakupiga filamu za ngono wakati unafanya kitendo hicho haswa wazungu wengine wanakupa ufanye mapenzi na mbwa wao au wanyama wao wengine mambo yanaenda hivyo .



Biashara hii ya ukahaba ilinichanganyia sana kwa miaka 2 niliyoifanya na kwa kweli hakuna aliyenijua kama nimeadhirika na ugonjwa wa ukimwi nilikuwa najitunza na kutuza siri zangu hizi kuu na sikupenda kuzoeana na watu sana hadi waniulize hivyo

Siwezi kuhesabu ni watu wangapi nimefanya nao ngono lakini ni zaidi ya 300 siku zingine nafanya kazi na watu zaidi ya 3 kwa siku moja kwahiyo mambo yanaendelea halafu wengi hawakupenda kutumia mipira ya kiume yaani kondo walipenda kuja hivi hivi tu bila kinga chochote kile...na wengine naamini wako humu jf

Na mimi nilikuwa nimeshaadhirika nilichokuwa natafuta ni fedha za kuendeleza maisha yangu kwahiyo hata kama nikifanya ngono zembe bila kinga mimi hainiumi sana kwa kuwwa nilishajua hali yangu sikuweza kuitengua siku wa chochote cha kufanya zaidi ya hichi .


Hii ilikuwa ni kulipiza kisasi kwa maasi ambayo yule kijana alinifanyia kuniambukiza UKIMWI kwa makusudi huku akijua kabisa ameadhirika siku nyingi ,kwakuwa yeye ameamua kuniuwa mimi basi na mimi nauwa wengi zaidi na sijali kuhusu dhambi hizi nilizozifanya na sijutii kabisa ......

Kwa leo nakomea hapa next time nitaleta story nilivyoliwa na mwanachuo kimasihara bila kujua kama mimi kahaba
Mbona una mwandiko wa kiume?
 
Ngoja na mie mabaharia niwape jinsi nilivyokula tunda kimasihara, twende kazi sasa. Mwaka 2007 nilihitimu kidato cha sita nilikuwa nasomea Mahenge mkoani Morogoro, baada ya pepa nikarudi home Dar, sasa kuna binti mmoja wa nyumba ya jirani alikuwa amehitimu kidato cha nne anasubiri kwenda five alikuwa na mazoea ya kuja home kufuata moto, sikuwahi kuwa na mazoea nae zaidi ya salamu tu. Baada ya kukaa home nikaamua kwenda kutafuta tempo na Mungu si Athumani nikapata tempo kiwanda cha Mukwano Soap kilikuwa kipo Keko hivyo nikawa si mtu wa kushinda home tena. Sasa siku moja ilikuwa Jumanne siku hiyo sikwenda job nilikuwa off. Siku hiyo nyumbani nilikuwepo mimi tu madogo walikuwa shuleni na wazee walikuwa job. Sasa mida ya saa saba mchana ikaanza kunyesha mvua na ilikuwa ni bonge la mvua, nyumbani kwetu pale kulikuwa na kingio la maji na kwa kuwa nilikuwa peke yangu home nikaamua nikinge maji ya mvua mpaka nikajaza vyombo karibu vyote. Wakati naendelea kukinga yule binti naye yupo kwao anakinga nikawa na muona kwa kuwa nyumba zetu zinatazamana baada ya mimi kumaliza kukinga vyombo vyetu yule binti akaja kukingia pale baadhi ya vyombo vyao. Alivyokuwa anakinga mvua ikaongezeka na kuwa kubwa zaidi na radi zinapiga akaja sebuleni kwetu kujikinga. Kama ujuavyo tena mtoto kuingia ndani alikuwa kavaa gauni na kujifunga kanga nguo zote zimelowa chapa chapa, mtoto akawa analalamika baridi ikabidi nimwambie nenda jikoni kaote moto upunguze baridi, basi akaenda mie nikaenda zangu chumbani. Baada ya kama dakika saba nikasikia hodi mlangoni nikaenda kufungua. Kufungua nikamkuta yule binti akaniambia eti kule yuko boadi na hivyo niende nikampe kampani, basi mzee baba nikaenda, lakini nikamuangalia mtoto naona bado kalowa na chuchu zake saa tatu na nusu asubuhi zinaonekana na mapaja yake meupe nikayaona coz kagauni alikovaa kalikuwa kafupi, kufika jikoni kila mtu akakaa kwenye kigoda chake mara nashangaa mtoto ananiambia eti baridi imekuwa kali sana, nikajisemea kimoyomoyo huyu anataka muhogo, nikamwambia kimasihara sogea basi nikupe joto, mara tii! naona mtoto kasogea kweli. sikulaza damu nikamkumbatia nikaanza kumpiga denda, mtoto alikuwa na ulimu mtamu we acha tu. Mle jikoni kulikuwa na likabati bovu nikamwambia shika hapo akashika nikampiga choma mboga baada ya kumpima oil nikakuta uterezi. Baada ya kumaliza cha kwanza tukapumzika kidogo mara mvua ndo ikazidi kuwa kubwa nikamwambia twende chumbani kwangu. Kule chumbani Mtoto nilimpiga bao 2 za maana mpaka akarudi kwao anachechemea, ugwadu wote wa advance nikawa nimeutoa kwa binti yule. Baadae tuliendelea na game za hapa na pale mpaka baba yake ambaye alikuwa ni mwanajeshi alipohamishiwa Songea ndo ikawa mwisho wa kumla.
Mkuu umesoma Kwiro Boy's??
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fiesta,hakuna aliekula au kuliwa mzigo kimasihara huko..tuleteen mrejesho bc
 
Kunam mwamba fulani ni muimba kwaya Huko kwenye mji niliopo amekula waimba kwaya wenzake karibia wote .

Huku mtaani amechafuchafua mtaa Hadi wanafunzi (SEMA wanafunzi kaacha baada ya awamu hi kushika hatamu)

Ana more na mtoto ila anawachakaza tu
 
Back
Top Bottom