Aisee nakumbuka kulikuwa na kasichana kana jipendekeza, pendekeza, siku moja kakajiroga mwenyewe kakaniletea tunda nikasema Leo lazima nitafune, nikambembeleza kama dakika tano hivi, ghafla mtoto kakubali,
Nikaanza kutafuna, nikatafunaa kama dakika 10 hivi, mtoto akaanza kuona aibu, nikamwambia aibu ya nini ngoja nikuoneshe watu tunavyojua Kula, kwa utamu nikajitupa kwenye sofa huku nikiendelea kutafuna baada ya dakika kama 20 hivi nikamaliza, nakumbuka yalimwagika maji mengi sana
Yule msichana akafuta yale maji, alafu akachuka vyombo akaondoka
Sikuweza Kula chakula siku hiyo, yaani tumbo lilijaa maji,
sitosahau jinsi nilivyotafuna lile tikiti maji.