Nilivyomla shemeji yangu(Demu wa Rafiki Yangu)
Acha nami leo nitoe kisa hiki kwa maana wahusika sio wadau wa jf, hivyo nitaweka codes nyepesi tu.
Ilikuwa mwaka 2013/2014 wakati tupo chuo tunaingia mwaka wa tatu(mihula ilianza mwezi October), Jamaa na huyu manzi walizinguana wakati wakiwa likizo(huko field), baada ya kufungua chuo Demu amerudi akiwa na stress za kutosha za Jamaa, na walikuwa wanasoma vyuo tofauti na mikoa tofauti, Mimi nilikuwa chuo kimoja na huyu manzi ila faculty/vitivo tofauti.
Sasa tangu kitambo huyu manzi alikuwa na maisha ya uzungu flan hv akija kunitembelea hostel atanihug, mara atake nimpakate, nimkiss, na hata Mimi nikienda kwake Ni hivyo hivyo. Na tulikiwa na kawaida ya kufanya Outing siku ya ijumaa jioni au jmos tunatafuta sehemu tulivu tunavuta msosi wa nguvu then ki-usiku usiku hivi tunarudi.
MASIHARA
Siku moja nilipatwa na ugonjwa ambao mpaka hii leo sijajua ulikuwa Ni ugonjwa gani na haujajirudia tena(huenda ulikuwa mpango maalum wa shetani wa kula tunda la shemeji), ilikuwa naweza nikawa normal tu alafu baada ya muda inanijaa baridi mwili mzima natetemeka kiasi kwamba nasikia baridi Kali sana.
Siku moja nilimjulisha juu ya kuyumba kwa afya, hivyo alikuja kuniangalia, nakumbuka ilikuwa weekend. Amefika rum nilikuwa na mshikaji mmoja roommate napiga naye stori, wengine walikuwa kwenye mishemishe town(room tukiishi wanne).
Baada ya kufika na kupiga stori mbili tatu, nikaenda kujisaidia haja ndogo, kwa bahati mbaya baridi ikanivamia, nikajivuta huku nimejikunyata mpk rum then nikapanda kitandani hata kuongea nilikuwa siwezi, nikavuta blanket nikajivunika, manzi kuona vile na kupitia maneno ya mshikaji akamwambia shem Jamaa anabaridi panda kitandani umpe joto, dem kweli akapanda kitandani akafunua blanket akaingia, nikapitisha mkono wangu mbavuni mwake wakati natandaza blanket vzr. Kumbe niligusa ziwa lake bhn, daaah ... Nikaja kusikia naitwa kwa sauti ya Chini sana Kamarah alafu akatulia... Nami nikaitika kinyonge, ghafla naona mtu anauvuta mkono wangu na kuuelekeza ktk maziwa yake, basi nikawa nayaminya minya nikaona anaanza kubadilisha upumuaji, nami baridi ikakata na ghafla kijoto kwa mbali kinakuja. Kwa kuwa kulikuwa na yule Jamaa nikavuta simu nikamtext Jamaa "Exile" , mwamba fasta akaaga alikuwa na funguo yake akatoka na kufunga mlango. Daaah mazee acheni kabisa, she was so hooot na ile hali ambayo nilikuwa nayo ikawa murua kabisa, hatukua na mambo mengi, nililala chali ye akakaa kwa juu, chupi ikasogezwa kwa pambeni dushe hilooo imooooo... Baada ya mauno km dk 2 akaachia maji, nami nikamaliza kazi. Baada ya hapo Sasa kazi rasmi ikaanza, tukasaula nguo zote mpini ukaa kazi, nilimsugua yule manzi, na alikuwa na hamu haswaaa, baadae nkaenda naye bafuni nikamsubiria aoge, mana block ilikuwa ya hostel za me tupu.
Baada ya hapo ikawa najilia tu, na akaniganda kiasi nikawa naogopa Jamaa akijua itakuaje. Mana ilifika wakati nikienda hostel kwake wenzake wakitoka kidogo tu anadai mpini, na kuna siku nilimgonga(alikuwa analala kitanda cha juu na alizungushia mashuka kuzuia mwanga na wale wadudu wanaitwa narrow-bee fly sijui nimeandika sahihi) wenzake wakiwepo lkn hakuna aliyejua mana aliikalia kwa ufundi wa hali ya juu na hiakuzidi hata dk nikaachia mzigo(sjui alifanyaje mmakonde yule)
Kwa Sasa ameolewa na tunawasiliana kwa nadra sana haizidi mara 3 kwa mwaka.
"Tunda la shemeji Ni Tamu"