sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Yale yale mambo ya kukaribisha mtu alafu unatoka anakufanyia ushenziBado sijaamka mkuu, Ila hii story imeamsha waliolala.
Yale yale mambo ya kukaribisha mtu alafu unatoka anakufanyia ushenziBado sijaamka mkuu, Ila hii story imeamsha waliolala.
kaka nimependa hilo jina .."Msukuma kizazi" hahahaaaaUlikuwa bonge la boya. Unamkwepa demu!!
Tuwe makini sana na watu tunaowakaribisha, story za kimasihara zina mafunzo mengi sana. Unamleta dogo anakuchapia mke au watoto.Yale yale mambo ya kukaribisha mtu alafu unatoka anakufanyia ushenzi
hongera kwa kufaulu, naamini na huo ujinga wako wa kukimbia pussy ushaachadomo zege tena wakati yeye ndo alikua ananitaka manzi sikumuelewa tu na manzi yangu alikua mkali kuliko huyo niliyemla kimasihara plus form four nilifaulu with flying colours![]()

Hichi kijiwe cha kusukumia muda![]()




kuna watu wanaiga wanaishia kuhama mitaa, km yule wa mke wa mjumbe lolHiki kijiwe njoo na akili zako zote ukijichanganya utaaibika mtaani.anavyowajaza wenzie sasa, kumbe ni uongo mtupuuu.
NakaziaTuwe makini sana na watu tunaowakaribisha, story za kimasihara zina mafunzo mengi sana. Unamleta dogo anakuchapia mke au watoto.
Nimekusoma mkuu mambo ya kuchagua nilishaachaga saiv nachomeka utambi tu sibagui mimihongera kwa kufaulu, naamini na huo ujinga wako wa kukimbia pussy ushaacha
vipi huyo manzi wako mkali umeshamuoa
Acha tabia ya kuchagua papuchi, kwahiyo ww ukitaka kula Grade A tu hizi Grade za mwisho azitombe nani, nawewe ndiye unayeishi nazo ndo maana mnakutana
watu wanaishi Ufilipino huku na wanakula wafilipino daily lakini wakirud Buza huko akipewa na demu anatomba, sembuse wewe,wabongo bhana, asipande kwenye gari tu kabadilisha Class![]()


Kwan ugumu na uongo uko wapi kwa nyuzi za jamaa, sema unaogopa mademu kwa hiyo unaona mambo hayawezekaniki. Chief ita mwanamke with confidence mwangalie usoni bila wasi wasi muombe namba, mwambie nataka kutoka na ww kwa vile nimevutiwa na ww, amini kati ya wanawake 12 wawili tu watadengua ila hukosi 8 kuwapelekea moto.Hiki kijiwe njoo na akili zako zote ukijichanganya utaaibika mtaani.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hiki kijiwe njoo na akili zako zote ukijichanganya utaaibika mtaani.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app





khaaah.Kufukuzia thamani it cost energy mpaka uwe una uhakika wa mwisho wa mwezi Kama wewe hapo daktari hivi mkuu.Mmelala??
Kuna Mmoja kaniambia kesho.
Mwingine Kesho kutwa.
Mwingine jumatano .
Mwingine kasema akipata nafasi .
Mwingine Tena kasema akipata nafasi.
Uuúwiii .
Hawa Wanawake, msihangaike kuwafukuzia, fukuzieni Thamani, Ishi kifalme , wenyeweee watakufukuziaa, yaan ni kugusa tuu wamejaa ...
Je weee ni mwanaume wa "Baby naomba unitembelee jamaan nmekumis sana mwanamke wangu???
Au wee ni mwanaume unayeambiwa " Baby nimemis sana kukuona ,vipi una muda nije kesho????".
Hao ni watu wawili tofauti Mzee!!.
Ilaa wee Jamaa inabdi upewe tuzo yani uko straight sanaaHuyu demu tunasali naye , wiki 3 nyuma ivi alinioa namba yake
Basi nikamuomba Kumayake , Demu akajifanya kunilaani.
Nikawa kimyaaaa, nukampotezea, anyway, Mimi Huwa Sina kasumba ya Kubembeleza mwanamke wakati najua muda wowote napata mwanamke .
Jana kanisani Mimi baada ya Ibada, nikajiondokea zangu.
Sasa yeye ndo akaona GIA yakunianza .
View attachment 2173687




Kama umechomeka utambi kulikuwa na haja gani kukataa tangu mwanzo? Shetani kakuzidi ujanja tena unakula mbususu ndani ya eneo takatifu, na wazee wako umewatia uchafu. Hebu assume wanapata picha kuwa ulikula mbususu ndani ya gari na wao wametoka mazabahuni?Muhimu nimechomeka utambi
Kuna dada mmoja mzuri rafiki yake na mke wangu! Huyu dada alikuwa karibu mno na mke wangu, shughuli zote za kifamilia nyumbani kwangu alikuwa hakosi kuja kumsaidia kazi mke wangu. Yeye kasomea mambo ya hoteli na alikuwa kaajiliwa ktk moja ya hoteli kubwa hapa mjini kwetu!
Jumapili moja, mida ya saa tano hivi, nikiwa na mchepuko wangu, tulienda ktk hoteli moja kujiliwaza. Baada ya kupata chumba, tuliamua kukaa kwanza kwenye mgahawa tule ndio tuzame room! Wakati tukiendelea kupata kinywaji huku tukisubiria oda yetu ya chakula, alipita Supervisor kuhakikisha kama wateja tumepata huduma nzuri! Nusura roho initoke, Supervisor ni yule rafiki wa mke wangu! Kumbe kahamia katika hoteli hii! Alinisalimia kwa uchangamfu na mimi huku nikiwa na mashaka nikajikaza kuweka tabasamu nikujua hakika "nimekinukisha" nyumbani. Alihakikisha oda yetu ya chakula inaletwa mapema.
Nilivaa ujasiri nikamuomba namba yake akanipatia. Pale pale nikamtumia sms nikamwambia "Shemeji haya ndio mambo ya wanaume, nisitiri". Baada ya muda alinijibu USIJALI SHEMEJI. Nikaandika SMS nyingine, "Lini upo OFF? akanijibu. Basi kuanzia hapo tulianza mtindo wa kuchart naye.
Bahati nzuri siku aliyokuwa Off ilikuwa Jmosi, nikampanga tukaenda mji jirani nikamchinjia huko. Niliendelea kumgonga hadi pale alipoanzisha tabia ya wivu na kutaka kunimiliki 100% nikaona hii sasa itanifanya niisambaratishe familia yangu na sio haki. NIKAMTEMA! Ilikuwa ngumu kwake kukubali lakini baadae aliendelea na maisha yake. Mke wangu hakujua kitu!