Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mkuu kuna wengne mashine zikishawakolea hata sauti zao znakuwa kama mademu,

kuna wakat nilikuw sehem flani kuna dogo jiran (miaka kama 17-19 hivi) sijui alipata wapi namba yangu akawa ananisumbua kutaka nikamgonge

Na kikukweli ukiongea nae kwenye simu huwez jua kama ni mwanaume na baada ya kugundua mwanaume nikamblock japo akawa anapiga kweny namba zingne nikawa naendelea kublock kila namba atakaenipigia
kijana alikua anawashwa vibayaa lol.
 
ila vocha zake ulikulaaa??

Hivi kuna bottoms wanahonga wanaume? Ni kwamba hawana mvuto, wamekosa soko, wamezidiwa na upwekee au? Mbna haingii akilini kabisaa.

Hata awe wa kishua bas kuna sehemu amekwama na kufail. Uwiiih
Ww ni bottom
 
Huoni anavyoshobokea hiyo topic, inaonekana kaguswa kwenye hitaji lake, yani mnaboa watu wanaotaka kutoa matukio humu
Si watoe hayo matukio yao, kwan nani kakatazaaa??
Hebu wakae kwa password, kila mtu yuko huru humu.

Au hao wanao toa huwa wanatafuta attention? Watoe hvyo visa vyao wasomaji wapooo.

Kwan wanakwamaa wapi?
 
Sabato Njema

Waweza hudhuria kanisa lolote la SDA lililo karibu yako

Au

Ukasikiliza Radio Morning Star 105.3FM

Au

Hope Channel Tz


Au Youtube Channels za Magomeni SDA, Mwenge SDA, Ushindi SDA, Mzizima SDA, etc
 
Yaani hizi msg kaka hutakiwi hata kujisifia kwa sababu msg tu zinaonyesha ni wanawake wa aina gani unao deal nao. Mi ni mwanaume mwenzako ila kuna muda naona aibu mimi, hasa hao wake za watu sioni kama unawafanyia fair
Mwanamke akitaka kucheat anacheat tu sio lazima hadi akutane na Carlos hapo, hivyo haya maswala ya wake za watu sjui nini,As a Man angalia watu mnaotaka kuwafanya wake zenu,mnapotezea red flags kisa mpo obsessed.

If your wife cheats on you,mshukuru huyo jamaa aliecheat nae,kakuonyesha una mke wa aina gani.
 
Carlos The Jackal punguza utoto usidhani wewe unaishi dunia yako nachoona hujiheshimu na huwaheshimu hao wanawake au ni wale wanawake wasiojielewa kwa mujibu ya sms zako.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mzee hao unaowatetea ndio wanavyopenda hivyo ,hawapo kama unavyo dhani ww mkuu dah,Someni hata psychology za wanawake mtaelewa haya mambo.
 
Back
Top Bottom