sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mdomo mzito ukiona hiviSa ni nini hiki?
Mdomo mzito ukiona hiviSa ni nini hiki?
Jaman naelekea Morogoro nipo kwa BM ya saa kumi na mbili jioni hiii Nikifika Moro nitalala Logde , sasa naomba conection ya Moro nisilale mpweke jaman.



Chukua pisi za TIA Mzumbe au cucomnipo hapa mwailubi..wazee wa kimasihara najua mpo humu.. tujuane tuonanee
Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app

Usikute hajui kusoma,,,, mpigie.Nimekaa kimya mda mrefu hapa
Juzi wakati natokea mtwara basi saa nne nikifika stend na kukaa siti yangu namba 13 nilimkuta mkaka amekaa nikamwambia siti yangu akanyanyuka akanipisha
Sasa akaja kukaa mdada mmoja hivi sikumpenda nikawa naonyesha kiburi nipo bize na jf nacheka commnet kumbe nyuma ya siti kaka mdada pia ananichora mda mwingi sana
Tukafika sehemu ya chakula nikaenda kununua nikaludi kwenye gar yule dada ananichora tu nikasema ngoja nimchokoze
Nikamwambia unaweza nichajia smu yangu akaitikia kwa furaha ndio nikampa akaweka mimi nikawa nachezea simu nasoma jf uku nacheka
Akaza kuniuliza mkuranga hivi bado hatujafika nikamjibu yah uku nampotezea akawa analeta mazoea nikasema ngoja nimpe ushirikiano basi nikampa
Tuliongea wew mpaka kufika temeke nikampa simu aka andika namba nikashuka akaenda zake na mm zangu sasa cha ajabu mpaka leo hajibuu sms
Nimemaliza kuwasilisha
Vijana wanasema UnyamaUNA LI ANKO LAKO UNALIHESHIMU, ETI NI KIONGOZI WA FAMILIA KUMBE NALO KATI YA WANAOANDIKA UPUPU HAPA![]()


Niwie radhi mie sio mwandishi mzuri nina visa vingi kidogo ila uandishi kikwazo sanaUmenipa shida sana kusoma aisee
Keshavurugwa Huyu Bajaji kataka Buku 3 tu....,Bajaji anataka buku 3 ukampa 25k...???


Axa. Yeye kamzidishia mahela kibaooo Daah...
25kNasNakadori
NasNakadori
Mambo ya #Kisenge# Hatupendi Fata muongozo... Huwez piga kimya....Nimekaa kimya mda mrefu hapa
Juzi wakati natokea mtwara basi saa nne nikifika stend na kukaa siti yangu namba 13 nilimkuta mkaka amekaa nikamwambia siti yangu akanyanyuka akanipisha
Sasa akaja kukaa mdada mmoja hivi sikumpenda nikawa naonyesha kiburi nipo bize na jf nacheka commnet kumbe nyuma ya siti kaka mdada pia ananichora mda mwingi sana
Tukafika sehemu ya chakula nikaenda kununua nikaludi kwenye gar yule dada ananichora tu nikasema ngoja nimchokoze
Nikamwambia unaweza nichajia smu yangu akaitikia kwa furaha ndio nikampa akaweka mimi nikawa nachezea simu nasoma jf uku nacheka
Akaza kuniuliza mkuranga hivi bado hatujafika nikamjibu yah uku nampotezea akawa analeta mazoea nikasema ngoja nimpe ushirikiano basi nikampa
Tuliongea wew mpaka kufika temeke nikampa simu aka andika namba nikashuka akaenda zake na mm zangu sasa cha ajabu mpaka leo hajibuu sms
Nimemaliza kuwasilisha
Mambo ya #Kisenge# Hatupendi Fata muongozo... Huwez piga kimya....Nimekaa kimya mda mrefu hapa
Juzi wakati natokea mtwara basi saa nne nikifika stend na kukaa siti yangu namba 13 nilimkuta mkaka amekaa nikamwambia siti yangu akanyanyuka akanipisha
Sasa akaja kukaa mdada mmoja hivi sikumpenda nikawa naonyesha kiburi nipo bize na jf nacheka commnet kumbe nyuma ya siti kaka mdada pia ananichora mda mwingi sana
Tukafika sehemu ya chakula nikaenda kununua nikaludi kwenye gar yule dada ananichora tu nikasema ngoja nimchokoze
Nikamwambia unaweza nichajia smu yangu akaitikia kwa furaha ndio nikampa akaweka mimi nikawa nachezea simu nasoma jf uku nacheka
Akaza kuniuliza mkuranga hivi bado hatujafika nikamjibu yah uku nampotezea akawa analeta mazoea nikasema ngoja nimpe ushirikiano basi nikampa
Tuliongea wew mpaka kufika temeke nikampa simu aka andika namba nikashuka akaenda zake na mm zangu sasa cha ajabu mpaka leo hajibuu sms
Nimemaliza kuwasilisha
Hivi mtu unaweza kuzungumza bila kituo?Habari wakuu ngoja na mimi niweke kisa changu cha boxing day.
Siku ya boxing day nimetoka job night mida kama ya saa tano hivi kuna beer moja ilibaki ghetto nikajisemea ngoja nimalize ili panya asije akapita na kuiangusha chupa akavunja na beer nikaikosa ile Naendelea kuinywa kuna mwana akanipugia simu kuwa yupo vways bar ya kinondoni makaburini akaniambia yuko na demu wake na marafiki wa demu wake kwa vile nilikuwa bored chukua boda fast kufika akanipiga beer mbili hapo nimemsalimia mshikaji na demu wake tu pembeni kuna mademu wawili sijawasalimia maana walikua busy na story zao wenyewe zile beer mbili zimeisha ikabidi nikaenda nunua beer mbili moja ya mwana moja yangu sasa yule demu mwenzie alikuwa anaenda kuongea na mshikaji mmoja halafu anarudi baadae akaondoka peke yake yule mshikaji aliyekuwa akiongea nae alibaki pale mwanzo wa kuongea na yule demu ni mvua maana alivyoenda msalani anarudi analalamika mvua inanyesha mimi nikamkatalia then tukabishana mpaka mvua ilipokasirika ikanyesha ile ya sifa tukawa tunapiga story ila hakuna anayemjua mwenzie hapo hata majina hatujatajiana mida kama ya saa nane mziki ukazimwa hapo sina hata mawazo ya kumtia yule mwanangu yupo na demu wake huku demu ambaye niko nae anataka aondoke akalale hawezi kukaa sehemu ambapo hakuna mziki, sikumbuki nani alitoa wazo ka kwenda small planet sinza nikapinga nikawaambia tunaenda Las carinyo kinondoni nikawainua nikaenda kwenye bajaj mpaka carinyo, kwenye bajaj ndio shetani akanishawishi baada ya kumpakata ndio maesabu nikaanza kuyapiga namtafuna vipi sasa kufika carinyo nikaanza kugombana na dereva bajaj anataka buku tatu nikapigishana nae kelele mwishowe nikampa 25k tu kaingia ndani nakutaka wamekaa meza ya Mariooo vijana wanaotaka mtelezo wa bure, nikawahamisha meza maana niliona vita itakuwa kubwa, tumekaa huku shetani a kizidisha mashambulizi kula monde pale nikaanza kumnawa mara kula mate mara mtoto anataka kwenda kulala kesha choka nilikua sina cash maana nilitokana elfu 28 nayo ilishakata imebaki 3000 nikaaaga naenda chooni nikampa kasi alinde kinywaji changu fast mpaka home kwa boda nikachukua cash then huyo narudi analalamika nimechelewa yeye alitaka kuondoka nikampa uongo nikamwambia ngoja nikusindikize akamuaga mwenzie mimj hata mwana sikuwa na habar nae nikamuonesha ishara kuwa nitakupigia, hao kutafuta bajaj nje hakuna chukua boda nikamuelekeza lodge demu katulia hao mpaka lodge piga show nikafunga goli mbili za Mbappe mida ya saa nne nikamwitia bolt akasepa hakuna mtu aliyemuuliza mwenzie jina wala number ya simu.
Mniwie radhi kwa uandishi mbovu.
Nawewe aunti umeandika hapa. Any way bado heshima yangu IPO kwako saaana.UNA LI ANKO LAKO UNALIHESHIMU, ETI NI KIONGOZI WA FAMILIA KUMBE NALO KATI YA WANAOANDIKA UPUPU HAPA![]()
Aisee. Ngoja nikaifanyie majaribioZawad ya chupi hii, nimeshakula wengi sana
Sijaandika matusiNawewe aunti umeandika hapa. Any way bado heshima yangu IPO kwako saaana.
Hujambo lakini....Sijaandika matusi