Aisee ngoja na mimi leo nishushe kisa kimoja hapa
Aisee kuna siku nipo mkoa fulani nimekaa hivi mgahawani mara paaap kakaja kabinti kapole nyuma kavaa bag kama kwamba yupo safarini
Basi eebwanaa sjui ilikua kuaje mara iblisu alinishika nikasema ngoja nimzingue huyu dada
Basi nikakusogelea na kuanza kukaongelesha vipi safari ya wapi hio
ooh naenda sehem flani ila aah simu yangu imeisha chaji hapa na huko mm mgeni
Nikamuambia basi tuende hapo mm nimefikia lodge pia ni mpita njia utachaji simu na kuoga then utasepa zako
Akanipiga jicho hilo hatari snaaaaa..
Nikambia make your choice dada.....aisee mara huyo sawa tuende ila naenda kuchaji kidg nakuondoka nikamuambia sawa
Kufika lodge hamna chaji wala nini nikaanza kukashika nikatoa vipimo vyangu nikakapima ngoma kako sawa...
Nikaanza kukipelekea moto
Piga sna pump miguno ya 4g piga pump piga pump
Baada ya kumaliza tu nikamuambia dada we baki hapa uchaji mm nachelewa sehemu
Basi akanipa namba yake ili nimchek kwa vile simh yake imezima chaji nikaichkua namba kutoka tu nje nikaifuta
Sikumtafuta wala nini
Naamini alijilaumu sna kuliwa na mtu mpita nia....yaani ile hafla bin vuu ashaliwa