Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,977
- 136,865
Niko poa,Hujambo lakini....
Happy new year in advance
Ila uwe makini usije MLA MTU kimasikhara
Ahsante,
Naanzaje kula??
Niko poa,Hujambo lakini....
Happy new year in advance
Ila uwe makini usije MLA MTU kimasikhara
Unaanza tuu. Kuna vijana wajanja janja tuu hawakawiii kujirengeshaNiko poa,
Ahsante,
Naanzaje kula??
Atakuwa hata shule alimaliza kimasihara bila ku Master writing skillsHivi mtu unaweza kuzungumza bila kituo?
Huo ni uandishi wa Eminem.Atakuwa hata shule alimaliza kimasihara bila ku Master writing skills
Hawaogopi ukimwi???Unaanza tuu. Kuna vijana wajanja janja tuu hawakawiii kujirengesha
Ulichokosea ulivyofika pale Nanguruku kuru ungetakiwa umnunulue chakul ya Bei mbaya kbsaa😄😄😄😄Nimekaa kimya mda mrefu hapa
Juzi wakati natokea mtwara basi saa nne nikifika stend na kukaa siti yangu namba 13 nilimkuta mkaka amekaa nikamwambia siti yangu akanyanyuka akanipisha
Sasa akaja kukaa mdada mmoja hivi sikumpenda nikawa naonyesha kiburi nipo bize na jf nacheka commnet kumbe nyuma ya siti kaka mdada pia ananichora mda mwingi sana
Tukafika sehemu ya chakula nikaenda kununua nikaludi kwenye gar yule dada ananichora tu nikasema ngoja nimchokoze
Nikamwambia unaweza nichajia smu yangu akaitikia kwa furaha ndio nikampa akaweka mimi nikawa nachezea simu nasoma jf uku nacheka
Akaza kuniuliza mkuranga hivi bado hatujafika nikamjibu yah uku nampotezea akawa analeta mazoea nikasema ngoja nimpe ushirikiano basi nikampa
Tuliongea wew mpaka kufika temeke nikampa simu aka andika namba nikashuka akaenda zake na mm zangu sasa cha ajabu mpaka leo hajibuu sms
Nimemaliza kuwasilisha
Unatuharibia uzi mkuuNimekaa kimya mda mrefu hapa
Juzi wakati natokea mtwara basi saa nne nikifika stend na kukaa siti yangu namba 13 nilimkuta mkaka amekaa nikamwambia siti yangu akanyanyuka akanipisha
Sasa akaja kukaa mdada mmoja hivi sikumpenda nikawa naonyesha kiburi nipo bize na jf nacheka commnet kumbe nyuma ya siti kaka mdada pia ananichora mda mwingi sana
Tukafika sehemu ya chakula nikaenda kununua nikaludi kwenye gar yule dada ananichora tu nikasema ngoja nimchokoze
Nikamwambia unaweza nichajia smu yangu akaitikia kwa furaha ndio nikampa akaweka mimi nikawa nachezea simu nasoma jf uku nacheka
Akaza kuniuliza mkuranga hivi bado hatujafika nikamjibu yah uku nampotezea akawa analeta mazoea nikasema ngoja nimpe ushirikiano basi nikampa
Tuliongea wew mpaka kufika temeke nikampa simu aka andika namba nikashuka akaenda zake na mm zangu sasa cha ajabu mpaka leo hajibuu sms
Nimemaliza kuwasilisha
Ila Kuna watu wanafiki kha!UNA LI ANKO LAKO UNALIHESHIMU, ETI NI KIONGOZI WA FAMILIA KUMBE NALO KATI YA WANAOANDIKA UPUPU HAPA![]()
"Nimetoka job night mida ya sa tano............Nikafunga goli mbili za Mbappe mida ya saa Nne nikamwitia Bolt aksepa"!Habari wakuu ngoja na mimi niweke kisa changu cha boxing day.
Siku ya boxing day nimetoka job night mida kama ya saa tano hivi kuna beer moja ilibaki ghetto nikajisemea ngoja nimalize ili panya asije akapita na kuiangusha chupa akavunja na beer nikaikosa ile Naendelea kuinywa kuna mwana akanipugia simu kuwa yupo vways bar ya kinondoni makaburini akaniambia yuko na demu wake na marafiki wa demu wake kwa vile nilikuwa bored chukua boda fast kufika akanipiga beer mbili hapo nimemsalimia mshikaji na demu wake tu pembeni kuna mademu wawili sijawasalimia maana walikua busy na story zao wenyewe zile beer mbili zimeisha ikabidi nikaenda nunua beer mbili moja ya mwana moja yangu sasa yule demu mwenzie alikuwa anaenda kuongea na mshikaji mmoja halafu anarudi baadae akaondoka peke yake yule mshikaji aliyekuwa akiongea nae alibaki pale mwanzo wa kuongea na yule demu ni mvua maana alivyoenda msalani anarudi analalamika mvua inanyesha mimi nikamkatalia then tukabishana mpaka mvua ilipokasirika ikanyesha ile ya sifa tukawa tunapiga story ila hakuna anayemjua mwenzie hapo hata majina hatujatajiana mida kama ya saa nane mziki ukazimwa hapo sina hata mawazo ya kumtia yule mwanangu yupo na demu wake huku demu ambaye niko nae anataka aondoke akalale hawezi kukaa sehemu ambapo hakuna mziki, sikumbuki nani alitoa wazo ka kwenda small planet sinza nikapinga nikawaambia tunaenda Las carinyo kinondoni nikawainua nikaenda kwenye bajaj mpaka carinyo, kwenye bajaj ndio shetani akanishawishi baada ya kumpakata ndio maesabu nikaanza kuyapiga namtafuna vipi sasa kufika carinyo nikaanza kugombana na dereva bajaj anataka buku tatu nikapigishana nae kelele mwishowe nikampa 25k tu kaingia ndani nakutaka wamekaa meza ya Mariooo vijana wanaotaka mtelezo wa bure, nikawahamisha meza maana niliona vita itakuwa kubwa, tumekaa huku shetani a kizidisha mashambulizi kula monde pale nikaanza kumnawa mara kula mate mara mtoto anataka kwenda kulala kesha choka nilikua sina cash maana nilitokana elfu 28 nayo ilishakata imebaki 3000 nikaaaga naenda chooni nikampa kasi alinde kinywaji changu fast mpaka home kwa boda nikachukua cash then huyo narudi analalamika nimechelewa yeye alitaka kuondoka nikampa uongo nikamwambia ngoja nikusindikize akamuaga mwenzie mimj hata mwana sikuwa na habar nae nikamuonesha ishara kuwa nitakupigia, hao kutafuta bajaj nje hakuna chukua boda nikamuelekeza lodge demu katulia hao mpaka lodge piga show nikafunga goli mbili za Mbappe mida ya saa nne nikamwitia bolt akasepa hakuna mtu aliyemuuliza mwenzie jina wala number ya simu.
Mniwie radhi kwa uandishi mbovu.
Usikute hajui kusoma,,,, mpigie.
Mambo ya #Kisenge# Hatupendi Fata muongozo... Huwez piga kimya....





Na nikaja kuowa aiseeYani kila nikifungua huu uzi hamu ya kuowa ndo inavyozidi kuniisha kabisa.Eeh mwenyezi Mungu niongoze
Sent using Jamii Forums mobile app



Away team to score a goalHivi ukitongozwa na mwanamke na ukamla siku hiyo hiyo hii kitaalam tunaiitaje????
Okay nikajua ni both team to scoreAway team to score a goal
Kwani umeambiwa wote humu ni waalimu wa mwandiko kama wewe.....? Humu kuna hadi raia wa kigenihuu uandsh nmecheka kchz, kchwa ndo kna nukta mwanzon na mwsho wa stor, hakuna koma wal nn, mkuu kpnd unaandka haukuvuta pumz au...
km ulivuta pumz bas sku nyngne uwe unavuta pumz ktk maandsh yako pia
ungeenda jukwaa la story huu umepost ni utumboStory
ungeenda jukwaa la story huu umepost ni utumbo