Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,789
- 4,820
🤣 🤣 🤣 🤣 Mkuu mimi sijui ni bahati mbaya. Zote huwa ninazifanyia harakati. Ngoja tuone msimu huu wa siku kuu utakacholeta.Ebu weka yako basi![]()
🤣 🤣 🤣 🤣 Mkuu mimi sijui ni bahati mbaya. Zote huwa ninazifanyia harakati. Ngoja tuone msimu huu wa siku kuu utakacholeta.Ebu weka yako basi![]()
Nakuombea ufanikiwe na nipo kusubiri mrejesho![]()
![]()
![]()
Mkuu mimi sijui ni bahati mbaya. Zote huwa ninazifanyia harakati. Ngoja tuone msimu huu wa siku kuu utakacholeta.


Chisomeko wewe ni mtu wa mpwapwa??Yaani acha tu, na eti walienda Bukoba wakaongea yakaisha wakageuza Dar! Wiki ya pili sasa mambo yameshindikana tena! Pisi sasa nawasiliana nayo kwa ukaribu zaidi kuelekea kwenye uchakataji![]()
Ninashukuru Mkuu. Au tuifanikishe pamoja tuone experience yake. WNakuombea ufanikiwe na nipo kusubiri mrejesho![]()
Umejuaje aliuza mechi? Haya mambo ndio kuna group moja walikua wanakataa,hakuna mtoto mdogo humu wa kumwambia mwenzie kauza mechi,hakuna asiejua magonjwa ,wote watu wazima,so comments za kuuza mechi wekeni kapuni.Hakuna mtoto mdogo humu wakuu.



Shunie tupe kisa chako ulicholiwa kimasikharaNakuombea ufanikiwe na nipo kusubiri mrejesho![]()
Kila nikikumbuka naona sijawahi kuliwa kimasihara yaani naona kuliwa kote nimeridhia tu mwenyeweShunie tupe kisa chako ulicholiwa kimasikhara
Ninashukuru Mkuu. Au tuifanikishe pamoja tuone experience yake. W
Au sio mkuu?


Weeeh ebu niache itakuwa sio kimasihara hii ni kupangaSema kweli akii!Kila nikikumbuka naona sijawahi kuliwa kimasihara yaani naona kuliwa kote nimeridhia tu mwenyewe
Dah! Sasa itakuaje? Ngoja tuendelee kufikiria namna ya kuifanya iwe kimasikhara.Weeeh ebu niache itakuwa sio kimasihara hii ni kupanga
HatariiiUmejuaje aliuza mechi? Haya mambo ndio kuna group moja walikua wanakataa,hakuna mtoto mdogo humu wa kumwambia mwenzie kauza mechi,hakuna asiejua magonjwa ,wote watu wazima,so comments za kuuza mechi wekeni kapuni.Hakuna mtoto mdogo humu wakuu.
Kwani ilifungwa? Maana sometimes imekuwa kama movie za xKatika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.
Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.
Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.
Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
===========
TAKE NOTE:
===========
Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Chisomeko wewe ni mtu wa mpwapwa??
Wanasagana? Kama hawasagani, maana yake wanaume tunahusika kwenye uzinzi wao, hence SISI WOTE WAZINZI UKIWEMO WEWEZERO IQ,
SINA MUDA WA KUANDIKA, LAKINI HAYO UNAYOSEMA YAKO SANA MAOFISINI.
KWA SASA WANAWAKE NDIO WAZINZI KULIKO SISI WANAUME.
Kwa lugha hii, hakuna mwanamke mrahisi wala malaya..!!Kauli ya kuingilia December.....
Kumla kimasihara mwanamke haimaanishi yeye ni mrahisi... mwanamke uliyemkula kuna wadau wanamfukuzia karibu mwaka na hawajaambulia kitu.... so tuwaheshimu sana wanawake wanaotutunuku na kamwe tusiwatumie kama kigezo cha kusema wanawake ni warahisi........
M nadhani wote wapoKwa lugha hii, hakuna mwanamke mrahisi wala malaya..!!
Hapana, maana huyo huyo anaweza akawa malaya kwako, lakini wengine wanamfukuzia na hawampati ngóo..!!! Kwa mujibu wa mtoa hoja bwana @mnesopotamia, mwenye tabia hiyo hapo juu si malayaM nadhani wote wapo
Nipasie basi aloohh uyo bata nile hata kipapatiloNgoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...
Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"
Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...
Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)
Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...
Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...
(Anonymous...)
Sindio hapo sasaVijana wa hovyo kwel,dk5 umekuwa kuku?
Kweli mkuu duh ulifaidi hiyo tigo.Ngoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...
Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"
Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...
Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)
Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...
Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...
(Anonymous...)