Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Umejuaje aliuza mechi? Haya mambo ndio kuna group moja walikua wanakataa,hakuna mtoto mdogo humu wa kumwambia mwenzie kauza mechi,hakuna asiejua magonjwa ,wote watu wazima,so comments za kuuza mechi wekeni kapuni.Hakuna mtoto mdogo humu wakuu.
 
Umejuaje aliuza mechi? Haya mambo ndio kuna group moja walikua wanakataa,hakuna mtoto mdogo humu wa kumwambia mwenzie kauza mechi,hakuna asiejua magonjwa ,wote watu wazima,so comments za kuuza mechi wekeni kapuni.Hakuna mtoto mdogo humu wakuu.
Hatariii
 
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?

===========

TAKE NOTE:

===========

Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Kwani ilifungwa? Maana sometimes imekuwa kama movie za x
 
ZERO IQ,
SINA MUDA WA KUANDIKA, LAKINI HAYO UNAYOSEMA YAKO SANA MAOFISINI.
KWA SASA WANAWAKE NDIO WAZINZI KULIKO SISI WANAUME.
Wanasagana? Kama hawasagani, maana yake wanaume tunahusika kwenye uzinzi wao, hence SISI WOTE WAZINZI UKIWEMO WEWE
 
Kauli ya kuingilia December.....

Kumla kimasihara mwanamke haimaanishi yeye ni mrahisi... mwanamke uliyemkula kuna wadau wanamfukuzia karibu mwaka na hawajaambulia kitu.... so tuwaheshimu sana wanawake wanaotutunuku na kamwe tusiwatumie kama kigezo cha kusema wanawake ni warahisi........
Kwa lugha hii, hakuna mwanamke mrahisi wala malaya..!!
 
M nadhani wote wapo
Hapana, maana huyo huyo anaweza akawa malaya kwako, lakini wengine wanamfukuzia na hawampati ngóo..!!! Kwa mujibu wa mtoa hoja bwana @mnesopotamia, mwenye tabia hiyo hapo juu si malaya
 
Ngoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...

Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"

Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...

Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)

Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...

Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...

(Anonymous...)
Nipasie basi aloohh uyo bata nile hata kipapatilo
 
Ngoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...

Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"

Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...

Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)

Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...

Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...

(Anonymous...)
Kweli mkuu duh ulifaidi hiyo tigo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom