Hao wanaojifanya wageni sehemu wanazoenda ni gear ya kukuseti wewe udhani umepata kumbe umepatwa!Wajuzi wa mambo **** loose ball moja pembeni yangu hapa inaelekwa dodoma inasema yeye mgeni huko. Nipeni mbinu za kumaloza mchezo. Tupo chalinze hapa so nataka moaka tunafika kibaigwa mambo yawe yameeleweka
Cha msingi sii alike tuu basiHao wanaojifanya wageni sehemu wanazoenda ni gear ya kukuseti wewe udhani umepata kumbe umepatwa!
Hawana tofauti na wale ambao huwa wanajifanya ni wanachuo.
Mzee wewe ndio wa kupewa mbinu kweli? Hem fanya kununua hata bites kama korosho na take away juice umkaribishe bidada, mazungumzo yote yanaanzia hapo..ukishindwa basi mbususu tuachie sieWajuzi wa mambo **** loose ball moja pembeni yangu hapa inaelekwa dodoma inasema yeye mgeni huko. Nipeni mbinu za kumaloza mchezo. Tupo chalinze hapa so nataka moaka tunafika kibaigwa mambo yawe yameeleweka


Mie sijawahi kula kimasikhara....ebu ngoja niende na hiyo ice breaker yakoMzee wewe ndio wa kupewa mbinu kweli? Hem fanya kununua hata bites kama korosho na take away juice umkaribishe bidada, mazungumzo yote yanaanzia hapo..ukishindwa basi mbususu tuachie sie![]()
Siwezi thubutu kumfundisha samaki kuogelea..!!Wajuzi wa mambo **** loose ball moja pembeni yangu hapa inaelekwa dodoma inasema yeye mgeni huko. Nipeni mbinu za kumaloza mchezo. Tupo chalinze hapa so nataka moaka tunafika kibaigwa mambo yawe yameeleweka
Alafu toto lina mipaja hilo...ngoja nithaminishe kama tako nalo lipoSiwezi thubutu kumfundisha samaki kuogelea..!!
Bata mchafu?Ngoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...
Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"
Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...
Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)
Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...
Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...
(Anonymous...)
Lazima uwe flexible...vibonge wasijaribu kabisa
Hii style ni noma sijui inaitwajeLazima uwe flexible...vibonge wasijaribu kabisa
Tumuulize aliyoiweka hadharaniHii style ni noma sijui inaitwaje
Ni bata hasa?? Sijaelewa kaka .. ni bata ki vp???Ngoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...
Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"
Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...
Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)
Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...
Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...
(Anonymous...)
Na hao mabinti under age of 18 wanaoolewa inakuwaje. Hapo nimekuelewa kabisa . Ila vijijni mabinti wengine huolewa b4 the age of 18Unaelewa maana ya statutory rape? Pale unapofanya mapenzi na mtoto chini ya miaka 18, ambayo ndo age of majority, tayari inakuwa considered kama rape.. haijalishi huyo binti ni mwanafunzi au sio mwanafunzi
Kama yupo chini ya miaka 18, tayari umebaka!
mbona haraka mno mkuu? leta story ilikuajee? kwann bata?Ngoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...
Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"
Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...
Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)
Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...
Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...
(Anonymous...)
Maana yake ni kwamba huyo mwanamke anapenda kufirimbwa.Chief we ndo umeleta story.. sasa hapo mwisho nimeshindwa elewa