Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Katika Hali ya kawaida sisi wanawake huwa tunakua na hisia kuna muda unajikuta tu umegawa penzi kwa mshkaji bila sababu yeyote..

Binafsi kuna siku nilikua nimevurugwa sana na maisha huku mapenzi nateswa sasa kuna mkaka mmoja Nilikutana nae kwenye bajaji zile za Kuchangja nauli Katika purukushani za bajaji kudunda dunda nikajikuta nimeshika bahati mbaya..uume wake.

Basi mawazo tofauti yakaniingia kwasababu nilikua nimevurugwa..nikacheka yule kaka nahisi alifeel Na inaonekana alikua amesimamisha basi tukapotezeana kwenye kutenbea tukashuka mwisho wa bajaji akaniuliza mbn unacheka tu nikamwambia nimekupenda tu..yule kaka akaniambia niachie namba yako bila hiyani nikampa jioni akanitafta kunijulia Hali nikamjibu vizuri basi akaniambia nipo sehemu flan Njoo nikaenda nikamwmabia kwnn tusiende kwako tu..kwa wale wa mazingira ya chuo mnaelewa

Basi yule kaka akanipeleka hadi kwake kufika Tunaweza tumekaaa.nikajidai nafungua kfiungo cha Suruali sababu imebana akasema leta nikusaiide nashangaa nikajikuta nimefanya nae mapenzi bila kutegemea basi nikarudi nyumbani basi nikablok kila kitu chake na siwahi kutana na tena paka leo


Ebu tupe Experience yako Binti?
Unapo kuwa muongo bas jaribu usiwe msahaulifu

£[` tutajie wee Ni jinsi gani mnk Kuna uzi wako umeleta ukisem wee Ni mwanaume ,au

Janaume
 
Unaelewa maana ya statutory rape? Pale unapofanya mapenzi na mtoto chini ya miaka 18, ambayo ndo age of majority, tayari inakuwa considered kama rape.. haijalishi huyo binti ni mwanafunzi au sio mwanafunzi
Kama yupo chini ya miaka 18, tayari umebaka!
 
Unaelewa maana ya statutory rape? Pale unapofanya mapenzi na mtoto chini ya miaka 18, ambayo ndo age of majority, tayari inakuwa considered kama rape.. haijalishi huyo binti ni mwanafunzi au sio mwanafunzi
Akiwa chini ya miaka 18, tayari kisheria umeshabaka
 
Wajuzi wa mambo **** loose ball moja pembeni yangu hapa inaelekwa dodoma inasema yeye mgeni huko. Nipeni mbinu za kumaloza mchezo. Tupo chalinze hapa so nataka moaka tunafika kibaigwa mambo yawe yameeleweka
 
Wajuzi wa mambo **** loose ball moja pembeni yangu hapa inaelekwa dodoma inasema yeye mgeni huko. Nipeni mbinu za kumaloza mchezo. Tupo chalinze hapa so nataka moaka tunafika kibaigwa mambo yawe yameeleweka
Hao wanaojifanya wageni sehemu wanazoenda ni gear ya kukuseti wewe udhani umepata kumbe umepatwa!

Hawana tofauti na wale ambao huwa wanajifanya ni wanachuo.
 
Wajuzi wa mambo **** loose ball moja pembeni yangu hapa inaelekwa dodoma inasema yeye mgeni huko. Nipeni mbinu za kumaloza mchezo. Tupo chalinze hapa so nataka moaka tunafika kibaigwa mambo yawe yameeleweka
Mzee wewe ndio wa kupewa mbinu kweli? Hem fanya kununua hata bites kama korosho na take away juice umkaribishe bidada, mazungumzo yote yanaanzia hapo..ukishindwa basi mbususu tuachie sie[emoji16][emoji16]
 
Mzee wewe ndio wa kupewa mbinu kweli? Hem fanya kununua hata bites kama korosho na take away juice umkaribishe bidada, mazungumzo yote yanaanzia hapo..ukishindwa basi mbususu tuachie sie[emoji16][emoji16]
Mie sijawahi kula kimasikhara....ebu ngoja niende na hiyo ice breaker yako
 
Ngoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...

Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"

Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...

Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)

Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...

Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...

(Anonymous...)
Bata mchafu?

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Makao makuu ya chai
JamiiForums1458918885_360x419.jpg
 
Ngoja na mimi leo nichangamshe genge..
Last week niko zangu ndani ya Ratco express natoka Tanga kwenda dsm,kushoto kwangu kuna binti kavaa vikuku miguu yote miwili na baibui lenye nakshi za kituruki na miwani ya kichokozi,mikono imejaa piko kama mwali wa kidigo...

Safari ikaendelea,kwa kawaida huwa sinaga shobo safarini,yaani ni wale mikausho mikali..sasa kufika msata chombo inakunja kuitafuta bagamoyo binti akaongea...
"Kaka samahani simu yangu imeishiwa na salio naomba kama una salio nimpigie mwenyeji wangu"

Nikamuuliza kichokozi "Ni mwanamke au mwanaume?" Akatabasamu kisha akajibu.."Ni dada yangu bana" nikampa simu...
Basi ikabidi nichomekee kwani unashukia wapi? Akajibu bagamoyo..na ndio maana akawa anamtafuta mwenyeji wake kwani anakaribia kushuka...

Kweli bana gari baada ya kutoka mizani bagamoyo tunakunja keep left ya bagamoyo akashuka..akaniaga then akashuka...(mkumbuke sijaomba namba)

Zikapita kama siku mbili simu yangu ikaita.kupokea nasikia sauti ya inayotokea puani.."Hallow asalaam aleikum.." Mmmh nikaguna kabla sijajibu..baadae nikaitikia nikauliza "Nani mwenzangu"...

Kumbe ni yule binti...alichukua namba yangu kwa dada yake..kufupisha story..si mnakumbuka niliwaambia binti alivaa vikuku? Basi hakuvaa tu urembo..ni bata hasa...

(Anonymous...)
Ni bata hasa?? Sijaelewa kaka .. ni bata ki vp???
 
Back
Top Bottom