Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,779
- 21,048
HehehTena matumizi mabaya ya pesa hayo..
HehehTena matumizi mabaya ya pesa hayo..
Mimi sitajenga mkuu.... najua dunia tunapita kwa baba juu teari kuna makaz yangu ya kudumuHeheh
Ila wanaume wa humu wapo fasta hahahHehehe sku hizi ntapunguza story zangu za kichakatwa maana pm zinamiminika kama zote.
Sitaki majaribu mimi.
Na kwa story hizi sidhani kama ntaoa aiseeIla wanaume wa humu wapo fasta hahah
Hahaha mkuu nimependa falsafa yako...ila kuiiga mmhhMimi sitajenga mkuu.... najua dunia tunapita kwa baba juu teari kuna makaz yangu ya kudumu
We acha tuuIla wanaume wa humu wapo fasta hahah
Kwa nini? Oa bwana.Na kwa story hizi sidhani kama ntaoa aisee
Duuh...! Dunia imeenda mbali sana. Huko kote anatafuta stim,au nini?usiingilie starehe za watu mkuu,![]()
Kwa nyie wanawake msubiri tu kuna wanaume wanaojenga.Hahaha mkuu nimependa falsafa yako...ila kuiiga mmhh
Nioe halafu mabaharia wenzangu wanichapie.. nakumbuka tu back days be mkubwa alitoka njia kuu lile pira la mzee bomani lilikua kwereKwa nini? Oa bwana.
M
Nioe halafu mabaharia wenzangu wanichapie.. nakumbuka tu back days be mkubwa alitoka njia kuu lile pira la mzee bomani lilikua kwere


ila wanaume huwa mnafurahisha, nyie kupiga nje fresh ila mkipigiwa nyie roho zinawaumaaUnataka bikra uoe au wa kupiga tu?Bikra mkuu. Huku juu bikra hakuna. Hata dada zao wa vyuoni bikra hakuna.
wa dar es salaam hawataki kuolewa mapema, ila wanapenda mchezo mapema. kwa hiyo kuoa ni mpaka mtu akiwa tayari.Unataka bikra uoe au wa kupiga tu?
Nan atawaoa hao bikra baada ya kuondolewa na akina nyie??wa dar es salaam hawataki kuolewa mapema, ila wanapenda mchezo mapema. kwa hiyo kuoa ni mpaka mtu akiwa tayari.
sisi wenyewe. yaani ni mchezo wa kusubiriana. bikra inatolewa fom two kuolewa miaka 10 baadae akishamaliza chuo na kupata kazi. wazazi wa dar hawataki kuozesha mabinti zao kwa amani kama hawajamaliza chuo labda umtie mimba akishamaliza sekondari.Nan atawaoa hao bikra baada ya kuondolewa na akina nyie??
Bikra mkuu. Huku juu bikra hakuna. Hata dada zao wa vyuoni bikra hakuna.
siku utakapohitaji bikra ya dar utaelewa naongea nini.Sawa ndugu ila binafsi sijapendezwa na tabia yako.
Khaa! Hatarisisi wenyewe. yaani ni mchezo wa kusubiriana. bikra inatolewa fom two kuolewa miaka 10 baadae akishamaliza chuo na kupata kazi. wazazi wa dar hawataki kuozesha mabinti zao kwa amani kama hawajamaliza chuo labda umtie mimba akishamaliza sekondari.