Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,999
- 35,457
Kwa nini? Oa bwana.Na kwa story hizi sidhani kama ntaoa aisee
Kwa nini? Oa bwana.Na kwa story hizi sidhani kama ntaoa aisee
Duuh...! Dunia imeenda mbali sana. Huko kote anatafuta stim,au nini?usiingilie starehe za watu mkuu,[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nyie wanawake msubiri tu kuna wanaume wanaojenga.Hahaha mkuu nimependa falsafa yako...ila kuiiga mmhh
Nioe halafu mabaharia wenzangu wanichapie.. nakumbuka tu back days be mkubwa alitoka njia kuu lile pira la mzee bomani lilikua kwereKwa nini? Oa bwana.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume huwa mnafurahisha, nyie kupiga nje fresh ila mkipigiwa nyie roho zinawaumaaM
Nioe halafu mabaharia wenzangu wanichapie.. nakumbuka tu back days be mkubwa alitoka njia kuu lile pira la mzee bomani lilikua kwere
Unataka bikra uoe au wa kupiga tu?Bikra mkuu. Huku juu bikra hakuna. Hata dada zao wa vyuoni bikra hakuna.
wa dar es salaam hawataki kuolewa mapema, ila wanapenda mchezo mapema. kwa hiyo kuoa ni mpaka mtu akiwa tayari.Unataka bikra uoe au wa kupiga tu?
Nan atawaoa hao bikra baada ya kuondolewa na akina nyie??wa dar es salaam hawataki kuolewa mapema, ila wanapenda mchezo mapema. kwa hiyo kuoa ni mpaka mtu akiwa tayari.
sisi wenyewe. yaani ni mchezo wa kusubiriana. bikra inatolewa fom two kuolewa miaka 10 baadae akishamaliza chuo na kupata kazi. wazazi wa dar hawataki kuozesha mabinti zao kwa amani kama hawajamaliza chuo labda umtie mimba akishamaliza sekondari.Nan atawaoa hao bikra baada ya kuondolewa na akina nyie??
Bikra mkuu. Huku juu bikra hakuna. Hata dada zao wa vyuoni bikra hakuna.
siku utakapohitaji bikra ya dar utaelewa naongea nini.Sawa ndugu ila binafsi sijapendezwa na tabia yako.
Khaa! Hatarisisi wenyewe. yaani ni mchezo wa kusubiriana. bikra inatolewa fom two kuolewa miaka 10 baadae akishamaliza chuo na kupata kazi. wazazi wa dar hawataki kuozesha mabinti zao kwa amani kama hawajamaliza chuo labda umtie mimba akishamaliza sekondari.
Endelea Kutoa kisa usitubanie utamu wa story au tukuchangie pesa kdgo.Siku mkinifurahisha nitawapatia kisa changu cha mtwara mtimbwilimbwi huko na ka kijana flan huvi amazing. Ilikuwa mwaka 2017 kama sijakosea.
Change ni kwanza...Endelea Kutoa kisa usitubanie utamu wa story au tukuchangie pesa kdgo.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Na uko hapa!!!!Mimi sitajenga mkuu.... najua dunia tunapita kwa baba juu teari kuna makaz yangu ya kudumu