Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Dah umeliwa kimasihara jamaa, hiyo simu alokupigia kutoa maelezo ya huduna ni mtego wake uingie kingi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Huenda mkuu,
Ila nilifanya due diligence baadae na sikkukuta link yoyote ile ya kuwa alikusudia. Ni yule nzi wa kufia kwenye kidonda, huenda pia niliangalia kwa jicho la tamaa sikuona hili 😂🤣
 
Nko kwenye gari na hii foleni ngoja niandike nnachokumbuka... Nmesoma za watu sasa ni kulipa kwa kile nlichokipitia.
 
Kula kimasihara kumenigharimu

Hapa kitaa Kuna Dem mmoja mkalii Sana amekamilika kila idara anadeti na mtoto wa kigogo ni waziri wa wizara x Sasa uyu Dem ni mshikaji wangu kitambo Sana anajua mahusiano yangu namimi nayajua yake

Huyu jamaa ake ambaye ni mtoto wa kigogo anaonekana ana wivu Sana kwa bibie hivyo wamekua wakugombana kila Mara na jamaa hatakagi demu awasiliane au awe na urafiki na mwanaume yeyote yule ilifikia steji mpaka jamaa akaanza kumpiga mrembo sababu tu ya wivu akikuta Dem kawasiliana na mwanaume anamshushia kipigo kikali demu anampenda kweli jamaa ila iyo Hali ikawa inamuumiza Sana demu kaja kwangu akawa ananielezea nikawa ni mtu wa kumfariji na kumtia moyo Sana kipindi anapokua amekosana na jamaa ake

Nakumbuka ilikua Christmas ya mwaka Jana nipo zangu kwangu mida ya saa nne asubuhi mlango ukagongwa kutoka nje nakutana na mrembo sikuwahi kuwaza Kama Kuna siku angekuja magetoni maana mazingira tuliyokua nayo ni ya kuwasiliana au wakati mwingine kupishana njiani na kupeana hi tuu Basi nikamkaribisha akaingia ndani Ile kuketi tuu mrembo akaanza Julia ikabidi nimsogelee nikamuuliza ku namimi Tena mrembo akaniambia ametoka kuonana na mshikaji wake wamegombana Sana kwani kupitia simu ya mshikaji aligundua jamaa alimsaliti usiku wa kuamkia iyo Christmas kwani alivofatilia meseji kwenye simu yake Kuna mwanamke alikua anamshukuru kwa kumpiga shoo nzuri

Kama kawaida yangu Mimi ndio nilikua mfariji wake mkuu nikaanza kumfariji pale bembeleza Sana ili asiendelee kulia kweli nikafanikiwa kumweka sawa baada ya muda demu akaniuliza vipi sikukuu nikamwambia imenikuta vibaya Niko apeche alolo ila Nina kamwaliko nimekapata kwa ndugu hivyo mchana nitahudhuria

Dem akaniambia nimekua mtu wa muhimu Sana kwake Mara nyingi anapopitia changamoto nimekua nae bega kwa bega kumshauri hivyo anataman iyo siku anipikie chakula kizuri na asherehekee namimi pale kwangu nikamwambia Basi sawa Haina tatizo kwa kua nilikua Sina ratiba ya kupika ikabidi niende kwa mtaa kutafuta mazaga ya kupika pika picha linaanza wakati narudi nakuta geto linapigwa mng,ao nakuta mrembo kaingia chumbani kabadilisha nguo kavaa t-shirt yangu na kajifunga taulo langu juu ya suruali aliyokua kaivaa mmh nikajiuliza kimoyo moyo Kuna usalama kweli hapa Leo nikajisemea acha muda utaniambia

Baada ya usafi wa kutosha mrembo kapika kamaliza kabla ya kula mrembo kaomba akaoge nikamruhusu mmh wakati anatoka bafuni alitoka kavaa lile taulo langu tuu mmh nikasema niache ubwege pamoja na kuheshimiana sijui nini acha niruhusu akili za kichwa Cha juu zihamie kichwa chini wakati wa kula nashangaa nalishwa Mara kugusana gusana tukajikuta tupo sita kwa sita ilipigwa show moja kabambe ya kuanzia Christmas mpaka kuamkia boxing day ni mwendo wa kuchakatana aisee yule mrembo alikua mtamu Sana katika Maisha yangu sikuwahi kudate na pisi Kali Kama Ile

Baada ya hapo Sasa mapenzi yakahama kutoka kwa jamaa kuja kwangu Dem akatokea kunipenda sana Yani mpaka inafikia steji ananiambia alikua yupo jela ya mapenzi sasa yupo huru wakati huo ameshamchana mtoto wa waziri wa break up lakini mtoto wa waziri Sasa hivi ndio Kama ameanza kuona umuhimu wa mrembo hivyo anahangaikaa amrudishe ameenda kupekenyua huko mtandaoni kudadisi saivi anadate na nani nikakutwa ni kapuku Mimi akachukua mawasiliano yangu akanipigia akanichimba mkwara mzito Sana niachane na mrembo mi nikamkubalia hata sitakagi bato ambazo naona siziwezi mtihani unakuja mrembo hataki kunielewa kabisa kuhusu kuachana ameniambia ni Bora afe ila sio kuachana namimi nikamwambia tukiendelea kudate uwezekano wa Mimi kupotezwa na wasiojulikna ni mkubwa hanielewi nipo nawaza mpaka muda huu wadau sijui nijipeleke polisi nikaripoti maana nahisi tu kufanyiwa tukio na huyu mwamba maana imefikia mpaka nimemwambia ukweli mi nipo tayari kuachana na binti ila yeye ndo hataki jamaa haelewi ananiambia Mimi ndio nampa kiburi jamaa ananitumia meseji nyingi za vitisho Yan mpaka nimeanza kujuta kulala na yule mrembo wakuu
Mshikaji wangu we mpole sana na hakika unamstahili binti usijione kapuku usijishushe sana wanawake wanapendaga mwanaume anaejiamini, wanawake hawatakagi makelele mengii wanataka amani muda wote, usiogope mwambie mshikaji umemuelewa manzi na hubanduki ndiyo umefika
 
Asubuh nimedamka kuelekea katikati ya jiji kuendelea na mishemishe za kujenga taifa mfukon nina pesa ya kitanzania tsh 10000/= nimepanda dalala ambayo ilijaa sana watu asubuh ile wapo na haraka na michakato yao ya kila siku

Basi nikafika ninaposhuka nikatoa ile pesa kwa asubuh ile kondacta alilaumu sana kwann nampa 10k akasema hana chench akaomba kwa abiria bila mafanikio na kituo nilichoshuka hakukua na duka ambalo angeomba chench basi nilishuka na binti mmoja alietupia ushungi yeye alitoa buku hivyo konda alimuomba akate ya watu wawil then sisi tutamalizana bint kakubali ikawa hivyo

Nimebaki na bint pale kituon akaniambia yeye hana pesa nyingine hivyo tutafute chench ili apate 400 yake nikasema sawa hao tukatoka kwenda ng'ambo ya pili ya barabara tunakuta kibanda cha wakala alikuwa anafungua muda ule nikaomba kuweka 2k kwenye simu aliponipa chench nikampa yule dada buku mbili akashukuru tukaanza safari ya kuvuka tena barabara hapo tulipiga story kidogo tukafahamiana akaondoka zake na mm nikaondoka zangu

Wakala ananipigia...
Imepita kama dk 20 tokea tuachane naona wakala amenichek kuniambia nimeacha funguo namba zangu aliziona nadhan kwny msg za pesa
_ yule dada alisahau funguo za nyuban kwake pale kwa wakala basi mida mida katika mishemishe nikajikuta nipo karibu na wakala nikaenda story mbili tatu akanipafunguo kwa vile bint aliniambia anapofanyia kaz nikaona nimpitishie ... kutokea pale mambo yakawa mengi nikasahau kupitisha funguo za watu kidogo jion hii hapa

Niliona namba ngeni imepiga kupokea akanipa utambulisho na kuniambia amepoteza funguo na amepita sehem zote alizopita asubuh hadi kwa wakala na kumuambia nimezichukua na namba alipewa na wakala. Niliomba msamaha kwa kutompitishia tukakubaliana tukutane sehem nimpe funguo yake

Huo ndo ulikuwa mwanzo ya mawasiliano yetu tulizoeana kidogo ikawa kila asubuh ananichek ili nimpitie tuondoke wote .... itaendelea
Shida sana na hizi swaga za itaendelea
 
Asubuh nimedamka kuelekea katikati ya jiji kuendelea na mishemishe za kujenga taifa mfukon nina pesa ya kitanzania tsh 10000/= nimepanda dalala ambayo ilijaa sana watu asubuh ile wapo na haraka na michakato yao ya kila siku

Basi nikafika ninaposhuka nikatoa ile pesa kwa asubuh ile kondacta alilaumu sana kwann nampa 10k akasema hana chench akaomba kwa abiria bila mafanikio na kituo nilichoshuka hakukua na duka ambalo angeomba chench basi nilishuka na binti mmoja alietupia ushungi yeye alitoa buku hivyo konda alimuomba akate ya watu wawil then sisi tutamalizana bint kakubali ikawa hivyo

Nimebaki na bint pale kituon akaniambia yeye hana pesa nyingine hivyo tutafute chench ili apate 400 yake nikasema sawa hao tukatoka kwenda ng'ambo ya pili ya barabara tunakuta kibanda cha wakala alikuwa anafungua muda ule nikaomba kuweka 2k kwenye simu aliponipa chench nikampa yule dada buku mbili akashukuru tukaanza safari ya kuvuka tena barabara hapo tulipiga story kidogo tukafahamiana akaondoka zake na mm nikaondoka zangu

Wakala ananipigia...
Imepita kama dk 20 tokea tuachane naona wakala amenichek kuniambia nimeacha funguo namba zangu aliziona nadhan kwny msg za pesa
_ yule dada alisahau funguo za nyuban kwake pale kwa wakala basi mida mida katika mishemishe nikajikuta nipo karibu na wakala nikaenda story mbili tatu akanipafunguo kwa vile bint aliniambia anapofanyia kaz nikaona nimpitishie ... kutokea pale mambo yakawa mengi nikasahau kupitisha funguo za watu kidogo jion hii hapa

Niliona namba ngeni imepiga kupokea akanipa utambulisho na kuniambia amepoteza funguo na amepita sehem zote alizopita asubuh hadi kwa wakala na kumuambia nimezichukua na namba alipewa na wakala. Niliomba msamaha kwa kutompitishia tukakubaliana tukutane sehem nimpe funguo yake

Huo ndo ulikuwa mwanzo ya mawasiliano yetu tulizoeana kidogo ikawa kila asubuh ananichek ili nimpitie tuondoke wote .... itaendelea
Yoooooo majukumu yalisababisha nisimalize kisa changu


Basi bwana nilishazoea asubuh saa kumi na mbili kasoro kupigiwa simu nikashangaa hii siku no call no text nikakausha nikajiandaa nikasepa zangu nimefika mzigoni nikaona nimchek bibie akaniambia anaumwa basi baada ya kaz nikaona nimchukulie maembe dodo nimpitishie mgonjwa nyumban kwake nimefika nagonga anafungua alikuwa anajiandaa kwenda kuoga nikakaribia stori mbili tatu akaingia kuoga nimejilaza kweny kochi akatoka ananimbia nisiondoke mpaka anipikie heee nikaona hili zali maana geto sikuwa na mpango wa kutoa diko

Amepika akamaliza kaleta kitu cha wali ndondo la nazi basi nikamchokoza kuwa nataka kumlisha mgonjwa anachekacheka basi katika harakati za kumlisha mgonjwa tulianza touch ndogo ndogo ambazo zilimfanya awe kama anazubaaa hiv na mm niliendelea na viuchokoz vidogo vidogo ambavyo vilimpoteza kabisa nikaona huyu tayar ameshaliwa nilimsogelea nakuanza kumlisha na kumchokoza kwa ukaribu akaingia kingi aliniomba nikaoge kwanza then nikirud tutaanzia tulipo ishia


Nilikimbia bafuni kama nimebanwa na uharo nilioga dk 0 nakurud chap ilinimuwah mzuka usije ukasepa nilimkuta kapanda kitandan kajifunika shuka gubigubi yaan kafunika mpaka uso nilijifuta na kanga yake nikazima taa sikaingia bedi sikutaka kukaribishwa kitandan niliingia nimevaa boxa yangu ile kumgusa nikagundua amevaa kichupi tu basi tuliendelea tulipo ishia nilimchakata mgonjwa staili zote mpaka asubuh nilioga nikaenda kubadilisha nguo geto kisha nilimpitia tukaenda mishe mishe .
 
No 8,

2019, Dar es salaam Tanzania.

Niko barabara ya Maliki nkitokea ofisini, nakutana na mtoto mmoja mweupe na mkali. Niko na jamaa mmoja wa ofisini, kutoka ofisini hadi nnapokaa barabara ya Kalenga ni walking distance. Yule binti alikua akiongea kwenye simu.

Tulivompita, nkachombeza "mwambie akate simu tukusalimie". Binti hakuitika, akawa yuko busy na ile simu yake, tunafika home tunaona anapitiliza anaingia blocks za jirani.

Siku chache baadaye, nkamuona tena. Nkamsalimia, nkampa namba zangu bila kuongea chochote. Zikapita kama siku 3 hivi, akanicheck na kujitambulisha. Nilipomjua, nkaitika kisha nkaacha kuchat nae, na sikua nikipokea simu wala kujibu msg tena.

Ijumaa moja natoka masjid, kanzu inanukia uturi, na kiremba cheupe kimeka kichwani. Ile nivuke UN road binti huyu hap kwenye sare za kazi.

Lile vazi lilimkaa vema, niliweza ona kila kiungo kwa mapana yake. Nkatabasamu, moyoni nkiwaza toba nlotok ifanya. Binti alikua kanuna haswaa, anauliza kwanini sipokei simu au mke anikataza. Nkamwambia la, ninaumwa na simu situmii sana. Nkamuomba tukakae home kiasi nimsimulie maana si mbali.

Kama kuumwa basi ilikua ni ile hamu ya kumla, nkachukua kuku sekela kwenye grill house kabla sijaingia nae ndani. Kufika nkamkaribisha ukumbini, nkaandaa kuku tukala, hakuna aliekua akiongea huo muda wote. Tulivomaliza, nkamkaribisha chumbani ajimwagie maji. Alitaka kusita, nkamwambia nna khanga ya akiba na taulo jipya. Akakubali kishingo upande.

Anatoka bafuni anakuta nmekaa kitandani namsubiri, nkampa tshirt na kumwita nimkaushe maji. Nkawa namfuta maji, huku nkisimulia ugonjwa hata ambao sina, akaingia huruma akawa aniangalia nami namuangalia kwa huba. Nkamuinua nkamkiss kwenye paji la uso kumwambia ahsante kwa kunifariji.

Pale tulipokaa akataka ainuke sasa ili akae vizuri, ile khanga nkaizuia kimtindo ikamtoka. Na chupi alikua kaiacha bafuni, anajaribu kujificha nkawa namwambia mgonjwa nshakuona. Nkamkumbatia na kumshika kwa utaratibu, pumzi zikaanza kumzidi. Nkamkalisha kwenye kisofa.

Nkamshika miguu, nkaipandisha usawa wa mabegani kwangu nipate wasaa wa kupiga deki... Siku ild usafi nliufanya aisee. Binti akavunja dafu safi kabisa. Hakua fundi kwenye mchezo ila ni mtamu haswaaa.

Nlihakikisha namla hadi asahau kama ana kwao, ilipofika jioni nkafanya order ya chakula cha usiku ndani hatukutoka. Kazini alikua aniangia Jumamosi jioni, hivyo mchana wake nkampeleka kwake akabadili nguo na kurudi kuingia kazini. Kuanzia hapo akawa kama mke wangu sasa, akahamishia vitu vyake pale. Tulikuja kukosana nlipokuja gundua kwao ashawekewa mchumba na karibu wanaoana na hakuwahi niambia, japo hakua akimpenda yule mtu.

NB: kuna wakati zina fail, nkimaliza few attempts zilizofanikiwa ntaleta na mbili tatu zilizoshindwa
 
Huenda mkuu,
Ila nilifanya due diligence baadae na sikkukuta link yoyote ile ya kuwa alikusudia. Ni yule nzi wa kufia kwenye kidonda, huenda pia niliangalia kwa jicho la tamaa sikuona hili
elewa umeliwa wewe, akoseaje namba kijinga hivyo akwambie anaunganisha huduma fulani. Hiyo namba yako aliiwinda kitambo sana na hiyo ni gia. Tatizo hawawezi kutongoza hawa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
No 8,

2019, Dar es salaam Tanzania.

Niko barabara ya Maliki nkitokea ofisini, nakutana na mtoto mmoja mweupe na mkali. Niko na jamaa mmoja wa ofisini, kutoka ofisini hadi nnapokaa barabara ya Kalenga ni walking distance. Yule binti alikua akiongea kwenye simu.

Tulivompita, nkachombeza "mwambie akate simu tukusalimie". Binti hakuitika, akawa yuko busy na ile simu yake, tunafika home tunaona anapitiliza anaingia blocks za jirani.

Siku chache baadaye, nkamuona tena. Nkamsalimia, nkampa namba zangu bila kuongea chochote. Zikapita kama siku 3 hivi, akanicheck na kujitambulisha. Nilipomjua, nkaitika kisha nkaacha kuchat nae, na sikua nikipokea simu wala kujibu msg tena.

Ijumaa moja natoka masjid, kanzu inanukia uturi, na kiremba cheupe kimeka kichwani. Ile nivuke UN road binti huyu hap kwenye sare za kazi.

Lile vazi lilimkaa vema, niliweza ona kila kiungo kwa mapana yake. Nkatabasamu, moyoni nkiwaza toba nlotok ifanya. Binti alikua kanuna haswaa, anauliza kwanini sipokei simu au mke anikataza. Nkamwambia la, ninaumwa na simu situmii sana. Nkamuomba tukakae home kiasi nimsimulie maana si mbali.

Kama kuumwa basi ilikua ni ile hamu ya kumla, nkachukua kuku sekela kwenye grill house kabla sijaingia nae ndani. Kufika nkamkaribisha ukumbini, nkaandaa kuku tukala, hakuna aliekua akiongea huo muda wote. Tulivomaliza, nkamkaribisha chumbani ajimwagie maji. Alitaka kusita, nkamwambia nna khanga ya akiba na taulo jipya. Akakubali kishingo upande.

Anatoka bafuni anakuta nmekaa kitandani namsubiri, nkampa tshirt na kumwita nimkaushe maji. Nkawa namfuta maji, huku nkisimulia ugonjwa hata ambao sina, akaingia huruma akawa aniangalia nami namuangalia kwa huba. Nkamuinua nkamkiss kwenye paji la uso kumwambia ahsante kwa kunifariji.

Pale tulipokaa akataka ainuke sasa ili akae vizuri, ile khanga nkaizuia kimtindo ikamtoka. Na chupi alikua kaiacha bafuni, anajaribu kujificha nkawa namwambia mgonjwa nshakuona. Nkamkumbatia na kumshika kwa utaratibu, pumzi zikaanza kumzidi. Nkamkalisha kwenye kisofa.

Nkamshika miguu, nkaipandisha usawa wa mabegani kwangu nipate wasaa wa kupiga deki... Siku ild usafi nliufanya aisee. Binti akavunja dafu safi kabisa. Hakua fundi kwenye mchezo ila ni mtamu haswaaa.

Nlihakikisha namla hadi asahau kama ana kwao, ilipofika jioni nkafanya order ya chakula cha usiku ndani hatukutoka. Kazini alikua aniangia Jumamosi jioni, hivyo mchana wake nkampeleka kwake akabadili nguo na kurudi kuingia kazini. Kuanzia hapo akawa kama mke wangu sasa, akahamishia vitu vyake pale. Tulikuja kukosana nlipokuja gundua kwao ashawekewa mchumba na karibu wanaoana na hakuwahi niambia, japo hakua akimpenda yule mtu.

NB: kuna wakati zina fail, nkimaliza few attempts zilizofanikiwa ntaleta na mbili tatu zilizoshindwa
 
Back
Top Bottom