Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Asubuh nimedamka kuelekea katikati ya jiji kuendelea na mishemishe za kujenga taifa mfukon nina pesa ya kitanzania tsh 10000/= nimepanda dalala ambayo ilijaa sana watu asubuh ile wapo na haraka na michakato yao ya kila siku

Basi nikafika ninaposhuka nikatoa ile pesa kwa asubuh ile kondacta alilaumu sana kwann nampa 10k akasema hana chench akaomba kwa abiria bila mafanikio na kituo nilichoshuka hakukua na duka ambalo angeomba chench basi nilishuka na binti mmoja alietupia ushungi yeye alitoa buku hivyo konda alimuomba akate ya watu wawil then sisi tutamalizana bint kakubali ikawa hivyo

Nimebaki na bint pale kituon akaniambia yeye hana pesa nyingine hivyo tutafute chench ili apate 400 yake nikasema sawa hao tukatoka kwenda ng'ambo ya pili ya barabara tunakuta kibanda cha wakala alikuwa anafungua muda ule nikaomba kuweka 2k kwenye simu aliponipa chench nikampa yule dada buku mbili akashukuru tukaanza safari ya kuvuka tena barabara hapo tulipiga story kidogo tukafahamiana akaondoka zake na mm nikaondoka zangu

Wakala ananipigia...
Imepita kama dk 20 tokea tuachane naona wakala amenichek kuniambia nimeacha funguo namba zangu aliziona nadhan kwny msg za pesa
_ yule dada alisahau funguo za nyuban kwake pale kwa wakala basi mida mida katika mishemishe nikajikuta nipo karibu na wakala nikaenda story mbili tatu akanipafunguo kwa vile bint aliniambia anapofanyia kaz nikaona nimpitishie ... kutokea pale mambo yakawa mengi nikasahau kupitisha funguo za watu kidogo jion hii hapa

Niliona namba ngeni imepiga kupokea akanipa utambulisho na kuniambia amepoteza funguo na amepita sehem zote alizopita asubuh hadi kwa wakala na kumuambia nimezichukua na namba alipewa na wakala. Niliomba msamaha kwa kutompitishia tukakubaliana tukutane sehem nimpe funguo yake

Huo ndo ulikuwa mwanzo ya mawasiliano yetu tulizoeana kidogo ikawa kila asubuh ananichek ili nimpitie tuondoke wote .... itaendelea
endelea
 
Kula kimasihara kumenigharimu

Hapa kitaa Kuna Dem mmoja mkalii Sana amekamilika kila idara anadeti na mtoto wa kigogo ni waziri wa wizara x Sasa uyu Dem ni mshikaji wangu kitambo Sana anajua mahusiano yangu namimi nayajua yake

Huyu jamaa ake ambaye ni mtoto wa kigogo anaonekana ana wivu Sana kwa bibie hivyo wamekua wakugombana kila Mara na jamaa hatakagi demu awasiliane au awe na urafiki na mwanaume yeyote yule ilifikia steji mpaka jamaa akaanza kumpiga mrembo sababu tu ya wivu akikuta Dem kawasiliana na mwanaume anamshushia kipigo kikali demu anampenda kweli jamaa ila iyo Hali ikawa inamuumiza Sana demu kaja kwangu akawa ananielezea nikawa ni mtu wa kumfariji na kumtia moyo Sana kipindi anapokua amekosana na jamaa ake

Nakumbuka ilikua Christmas ya mwaka Jana nipo zangu kwangu mida ya saa nne asubuhi mlango ukagongwa kutoka nje nakutana na mrembo sikuwahi kuwaza Kama Kuna siku angekuja magetoni maana mazingira tuliyokua nayo ni ya kuwasiliana au wakati mwingine kupishana njiani na kupeana hi tuu Basi nikamkaribisha akaingia ndani Ile kuketi tuu mrembo akaanza Julia ikabidi nimsogelee nikamuuliza ku namimi Tena mrembo akaniambia ametoka kuonana na mshikaji wake wamegombana Sana kwani kupitia simu ya mshikaji aligundua jamaa alimsaliti usiku wa kuamkia iyo Christmas kwani alivofatilia meseji kwenye simu yake Kuna mwanamke alikua anamshukuru kwa kumpiga shoo nzuri

Kama kawaida yangu Mimi ndio nilikua mfariji wake mkuu nikaanza kumfariji pale bembeleza Sana ili asiendelee kulia kweli nikafanikiwa kumweka sawa baada ya muda demu akaniuliza vipi sikukuu nikamwambia imenikuta vibaya Niko apeche alolo ila Nina kamwaliko nimekapata kwa ndugu hivyo mchana nitahudhuria

Dem akaniambia nimekua mtu wa muhimu Sana kwake Mara nyingi anapopitia changamoto nimekua nae bega kwa bega kumshauri hivyo anataman iyo siku anipikie chakula kizuri na asherehekee namimi pale kwangu nikamwambia Basi sawa Haina tatizo kwa kua nilikua Sina ratiba ya kupika ikabidi niende kwa mtaa kutafuta mazaga ya kupika pika picha linaanza wakati narudi nakuta geto linapigwa mng,ao nakuta mrembo kaingia chumbani kabadilisha nguo kavaa t-shirt yangu na kajifunga taulo langu juu ya suruali aliyokua kaivaa mmh nikajiuliza kimoyo moyo Kuna usalama kweli hapa Leo nikajisemea acha muda utaniambia

Baada ya usafi wa kutosha mrembo kapika kamaliza kabla ya kula mrembo kaomba akaoge nikamruhusu mmh wakati anatoka bafuni alitoka kavaa lile taulo langu tuu mmh nikasema niache ubwege pamoja na kuheshimiana sijui nini acha niruhusu akili za kichwa Cha juu zihamie kichwa chini wakati wa kula nashangaa nalishwa Mara kugusana gusana tukajikuta tupo sita kwa sita ilipigwa show moja kabambe ya kuanzia Christmas mpaka kuamkia boxing day ni mwendo wa kuchakatana aisee yule mrembo alikua mtamu Sana katika Maisha yangu sikuwahi kudate na pisi Kali Kama Ile

Baada ya hapo Sasa mapenzi yakahama kutoka kwa jamaa kuja kwangu Dem akatokea kunipenda sana Yani mpaka inafikia steji ananiambia alikua yupo jela ya mapenzi sasa yupo huru wakati huo ameshamchana mtoto wa waziri wa break up lakini mtoto wa waziri Sasa hivi ndio Kama ameanza kuona umuhimu wa mrembo hivyo anahangaikaa amrudishe ameenda kupekenyua huko mtandaoni kudadisi saivi anadate na nani nikakutwa ni kapuku Mimi akachukua mawasiliano yangu akanipigia akanichimba mkwara mzito Sana niachane na mrembo mi nikamkubalia hata sitakagi bato ambazo naona siziwezi mtihani unakuja mrembo hataki kunielewa kabisa kuhusu kuachana ameniambia ni Bora afe ila sio kuachana namimi nikamwambia tukiendelea kudate uwezekano wa Mimi kupotezwa na wasiojulikna ni mkubwa hanielewi nipo nawaza mpaka muda huu wadau sijui nijipeleke polisi nikaripoti maana nahisi tu kufanyiwa tukio na huyu mwamba maana imefikia mpaka nimemwambia ukweli mi nipo tayari kuachana na binti ila yeye ndo hataki jamaa haelewi ananiambia Mimi ndio nampa kiburi jamaa ananitumia meseji nyingi za vitisho Yan mpaka nimeanza kujuta kulala na yule mrembo wakuu
Asante kwa story nzuri sana
Nitakushauri cha kufanya
Swali langu kwako je wewe binafsi unampenda huyu dada na usingetaka kumwachia?
Naamini unampenda lakini si kwa kumganda kivilee...! Tena haswa ukijua kwamba umefanywa substitute badala la mtoto wa kigogo
Kama ni hivyo basi chakukushauri ni hiki
Mwambie dada awe na msimamo kwa huyo bwege wake(kigogo mtoto) yaani arejeshe mahusiano kwa sharti moja tu kwamba amwoe. Tofauti na hivyo asimpe uchi. Fanya mapenzi na rafiki yako kwa siri sana na ijulikane kwa jamaa kwamba ushatemana nae. Hii itapandisha hadhi ya demu kwa mtoto wa kigogo
Msaidie binti kwa kuongea nae ili aelewe nia yako ni kumfanikisha aolewe pazuri (maisha pesa au sio) na wewe huna mzuka nae kivileee licha ya mautamu anayokupa.
Narudia tena msaidie binti aolewe kwenye familia bora
UTAKUJA NISHUKURU BAADAE
 
Asante kwa story nzuri sana
Nitakushauri cha kufanya
Swali langu kwako je wewe binafsi unampenda huyu dada na usingetaka kumwachia?
Naamini unampenda lakini si kwa kumganda kivilee...! Tena haswa ukijua kwamba umefanywa substitute badala la mtoto wa kigogo
Kama ni hivyo basi chakukushauri ni hiki
Mwambie dada awe na msimamo kwa huyo bwege wake(kigogo mtoto) yaani arejeshe mahusiano kwa sharti moja tu kwamba amwoe. Tofauti na hivyo asimpe uchi. Fanya mapenzi na rafiki yako kwa siri sana na ijulikane kwa jamaa kwamba ushatemana nae. Hii itapandisha hadhi ya demu kwa mtoto wa kigogo
Msaidie binti kwa kuongea nae ili aelewe nia yako ni kumfanikisha aolewe pazuri (maisha pesa au sio) na wewe huna mzuka nae kivileee licha ya mautamu anayokupa.
Narudia tena msaidie binti aolewe kwenye familia bora
UTAKUJA NISHUKURU BAADAE
Asante Sana mkuu kwa ushauri mzuri Mimi pia hua najitahidi kumshauri mrembo ajitulize kwa mwamba kwani atafurahia vingi mwanzoni alikua ananielewa Sana ndio maana kila walipokua wanagombana akija kuniambia namshaauri wanarudiana Tena tatizo limekuja toka nimemchakata haambiliki chochote zaidi ya kudai anataka afanye Maisha namimi hamtaki Tena mwamba anadai alikua mfungwa wa kimapenzi sasaivi anajihisi yupo huru kwangu ila ntajitahidi kufanya ulivyonishauri mkuu
 
Huyo mpaka leo hajaweka yeye ni kushadadia tuu wanawake wenzie kuliwa kimasikhara🤣🤣🤣🤣
 
Asante kwa story nzuri sana
Nitakushauri cha kufanya
Swali langu kwako je wewe binafsi unampenda huyu dada na usingetaka kumwachia?
Naamini unampenda lakini si kwa kumganda kivilee...! Tena haswa ukijua kwamba umefanywa substitute badala la mtoto wa kigogo
Kama ni hivyo basi chakukushauri ni hiki
Mwambie dada awe na msimamo kwa huyo bwege wake(kigogo mtoto) yaani arejeshe mahusiano kwa sharti moja tu kwamba amwoe. Tofauti na hivyo asimpe uchi. Fanya mapenzi na rafiki yako kwa siri sana na ijulikane kwa jamaa kwamba ushatemana nae. Hii itapandisha hadhi ya demu kwa mtoto wa kigogo
Msaidie binti kwa kuongea nae ili aelewe nia yako ni kumfanikisha aolewe pazuri (maisha pesa
emoji1787.png
au sio) na wewe huna mzuka nae kivileee licha ya mautamu anayokupa.
Narudia tena msaidie binti aolewe kwenye familia bora
UTAKUJA NISHUKURU BAADAE
Asante Sana mkuu kwa ushauri mzuri Mimi pia hua najitahidi kumshauri mrembo ajitulize kwa mwamba kwani atafurahia vingi mwanzoni alikua ananielewa Sana ndio maana kila walipokua wanagombana akija kuniambia namshaauri wanarudiana Tena tatizo limekuja toka nimemchakata haambiliki chochote zaidi ya kudai anataka afanye Maisha namimi hamtaki Tena mwamba anadai alikua mfungwa wa kimapenzi sasaivi anajihisi yupo huru kwangu ila ntajitahidi kufanya ulivyonishauri mkuu
 
Asante kwa story nzuri sana
Nitakushauri cha kufanya
Swali langu kwako je wewe binafsi unampenda huyu dada na usingetaka kumwachia?
Naamini unampenda lakini si kwa kumganda kivilee...! Tena haswa ukijua kwamba umefanywa substitute badala la mtoto wa kigogo
Kama ni hivyo basi chakukushauri ni hiki
Mwambie dada awe na msimamo kwa huyo bwege wake(kigogo mtoto) yaani arejeshe mahusiano kwa sharti moja tu kwamba amwoe. Tofauti na hivyo asimpe uchi. Fanya mapenzi na rafiki yako kwa siri sana na ijulikane kwa jamaa kwamba ushatemana nae. Hii itapandisha hadhi ya demu kwa mtoto wa kigogo
Msaidie binti kwa kuongea nae ili aelewe nia yako ni kumfanikisha aolewe pazuri (maisha pesa au sio) na wewe huna mzuka nae kivileee licha ya mautamu anayokupa.
Narudia tena msaidie binti aolewe kwenye familia bora
UTAKUJA NISHUKURU BAADAE
Hahahah this made my day ushauri mzur sanaa huuuu jamaa asiupuuze
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu

 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Saiz nipo branch ya Kenya, nitakutumia email
 
Carlos wewe ni katika wachache wanaoelewa...wengi Ni very judgemental,na kwa hiyo hapo Ni mwendo wa kuplay decent na kuficha kucha zetu barabara.
Aaahhh matumizi mabaya ya bando ... Kitu ambayo haina makombwe, ikitumika haiachi alama kwamba imetumika, Utelezi wake uko pale pale ...

Yann uwe nayo gubu???



Wewe ukiletewa, acha kusema Demu mwenyewe aliliwa na Fulani, fulan Fulani Fulani..

Umeletewa , Ishughulikie tu, Kondomu zipo, vaaa pigaaaa kojoa zako za kutosha , iruhusu irudi nyumban.


MTU anakuelewa, atakuelewa tu.


Siku ziendee.... Usiwe serious sana.!!!
 
Eehe Christmass hiyo nimeenda kula likizoo yani nimefika leo kesho yake nikaenda kwa mshkaji wangu huwa ana Kimpesa chake sasa nikamuona demu flani sio mkali sana ila ana kitako nikasema Shemeji naona umekuja kumsalimia kaka Broa akadakia shemeji yako wapi wew sema umeelewa mzigoo huu... Aaha nikasema naogopa laana ya kaka tukaishia hapo...!! Kwa mbali hivi kuna mama alikuwa anapika Vibama ni kama vichapati flani manzi akasema natamani ninywe na soda me sasa wallet imetuna confidence ipo ya kumwagaaaa nikaropoka kunywa hata Kreti shem wew tu.

Kesho yake huyo kaja tena nikamuita shem darling mambo kakajibu poa beib... Hapo hapo kakaomba vocha yani balaa nikasema nipe namba nikurushie faster! Siku mbili mbele nikamuita jae geto akazingua na mimi hapo nina siku mbili kusepaa Kichekesho kesho yake jioni nikamtxt mpenzi tutoke bhasi hata twende tukatembee kidogo akamute.. Kufika saa 2 akasema nimpitie pale kwao nikaenda hapo kumbe hata hajaanza kuvaa nikamwambia me siwezi kuendelea kusubiri hapa nje akasema pita ndani yeee nikasema hapa ameishaaa huyuuu.

Kufika kamevaa khanga alafu kamejilazaa na mimi nikaenda nikajaza pembeni etii kanaanza kusema wee huogopi kukutwa humu??? Nikutwe tu maana nishapawa anza kushika shika hagomii nikitaka kuweka anasema huwezi Nitom..bea kwangu dharau hizi nikasema ooho subiri utalegea tu yani yule manzi utelezi umejaa ila anabana mapajaaa aisee kufika saa saba akaachiaa eehe Mngoni yuleee niliwekaaaa mpaka akasema unanikomoa au... Kuna ile demu kalala ubavu alafu kabinua kiunoo hivi eehe balaa tupu alafu yeye akifika unasikia tu anakaza misuli alafu anatoa ute mzitoo balaa ambao unaongeza mzuka na utelezi wa kutoshaa ikafika point nkaamua nimuache alalee.... Ubaya wake hakujua nakaribia kuondoka yani kesho yake nachat nae nipo kwenye gari.. Nikawa namdanganya nimeenda kufatilia mpunga wa biashara ntarudi ila ndo ikawa nitolee.
Mkuu wewe ni Mwaisa nini ?
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Et hili garagara langu
 
Hapo 2020 nilipokuta notification 48 kulikuwa na visa 42 na wajinga 06 waliojibizana ujinga. Mwaka huu nakuta notification 48, visa 04 matahira 41 yamegeuza eneo la kuchat na wafanyakazi waliokosa ajira wa angaza 03 wanaulizia kuhusu kutumika kwa kondom.
 
Kwenye Maisha yako Ogopa sana Mwanamke unaemchukulia kama Mtoto mdogo kwako hasa age kuanzia 18 Nyie nyiee eehe hatari utashangazwa siku ukikaweka Angle 90
Mweny uzi wake katoa caution, msipuuzie mabaharia
 
No 6
"Habari, tunapiga simu kutoka @#£& bima, @#£& bima ni....." alipomaliza nkamwambia nshawahi jiunga (ilikua fix) lakini follow up yao ni hafifu na sikuridhika, akahangaika pale kujaribu kuniridhisha, nkamwambia kujiunga tena ni hadi niwe na mtu ambaye nkisumbuliwa naeza mpigia moja kwa moja sio kusubiri kwenye line. Akashawishika kunipa dials zake, akijua ni potential client kumbe ni potential fisi.
Nkasave ile no, nkawa naangalia status hata sitii neno. Siku moja jpili asubuhi, kapost ameshika andiko fulani, nkachombeza "the way am down, one verse is enough to heal me" akajaa na maneno mengi. Nkamuuliza kama yuko kwake, swali lilichukua masaa kujibiwa.
Mida ya jioni, nshasahau km nliuliza mtu jambo, anajibu ndo nafika nyumbani, nilikua na mizunguko mingi. Nkamwandikia, nitumie location nije, hakikisha iko accurate sana nisipotee, eka na maji yaanze pata joto nkukande miguu in exchange ya neno ulilonipa limenisaidia. A minute later, location hii hapa, nkaita uber inisogeze.
Nmefika kweli kaandaa maji, nkaomba mafuta na kumwambia let's do this fast niondoke, asije nijuta mmeo ukaachwa. Akanipa assurance kua hana mtu, na hapo kahamia hata wiki haijaisha na mm ndo mgeni wa mwanzo.
Nkachukua mafuta, nkampaka miguu, hadi magotini, nkachukua handkerchief nlokuja nayo nkailoweka. Nkawa namkanda taratibu mguu mmoja baada ya mwingine, hadi magotini, nkawa namuona anahangaika ila sijali, nasubiri aloe kabisaa. Nkamwambia kavue nguo, uje na khanga, nikande hadi juu ya magoti, aliinuka pasi na kusubiri maelekezo ya ziada.
Alitoa nguo hadi chupi kaja na khanga, nkafanya kazi kazi hadi mapajani, macho yake yakielekeza nipandishe juu, ila mdomo wake hauwezi. Nkamwambia haya lala, kisha geuka. Nkamwambia natoa nguo nisijipake nafuta, mtu anatikisa kichwa tu.
Nkamtia mafuta juu ya khanga, kisha nkaanza peleka mikono taratibu, naona khanga inatupwa huko, mikono ikawa inatembea vema.
Nkahama toka mapajani hadi kifuani, na tumboni, mtoto wa watu acha ajinyonge hapo. Nkamgeuza nyuma, nkamtia mafuta mgongoni, na mengine nkatia kati ya milima.
Wakati nakanda mgongo, mwili umekaa juu ya milima, na ukuni umesimama wamgusa gusa. Alilowesha godoro kabla hajaguswa, namwambia nimemaliza hataki niinuke, muda huo ukuni nmeugusisha kwa bibi makusudi.
Nkamuuliza nikutiee, anaitika kwa kichwa... Nkampelekea moto mdogo mdogo huku akiendelea haribu godoro lake maana alikua anamwaga sio kidogo. Ilibidi nilale pale siku ile, japo akili haipo kabisa, nahesabu kila miguu inayopita huko nje ya geti. Asubuhi nkawahi kuamka, nkapasha moja la nguvu, nkamwacha amalizie usingizi.
Kaamka anakuta nmemuandalia chai, na mikate nlopaka yai, akanywa huko anacheka. Anauliza ulinitiaje hivi? Nkawa nacheka tu, namwambia si uliomba, toka siku hiyo akihitaji alikua anasema naandaa maji njoo. Ila tuliachana for good, mimi nkaenda nje kuzurura and she is "happily married"
 
Back
Top Bottom