Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Badilisha tu jina la Mbeya ONE weka jina lako halisi maana sasa unajulikana tu.

Hata kaka yake akipita humu atajuwa, sijui atalichukuliaje,

Wazazi wake pia wanaweza kupita humu!

Hata binti mwenyewe utakuwa hujamtendea haki.

Gentlemen does it and they do NOT tell.

Codes zifunguliwe za miaka 30 iliyopita haina shida sana, lakini current issues, weka stori, no real names even places ikibidi ilimradi iwe ya 'kimasihara'

___

Ona sasa utakavyo athirika kwa post zako zilizopita kama zipo ama zitakazo kuja ukiendelea kutumia akaunti hii.

1. Nakushauri ufungue account mpya hii achana nayo kabisa.

2. Edit stori ianzie pale alipokuambia anataka kuja kukusalimia akitokea UDOM.
Legendary, habari za siku nyingi Mkuu?

Nimefurahi kukuona tena hapa, lile ombi langu la kuoa kwako nitalileta rasmi akipatikana mshenga hivi karibuni😀

Msalimie Bibi yetu Hamida
 
MARA YA PILI SASA.

Hii ilikuwa mwaka 2019, baada ya kuhama Dar, nilipata kazi serikalini mkoani Dodoma. Shirika moja la mfuko wa kijamii nilipata kazi hapo.

Nakumbuka wakati tunasoma Sangu Secondary School nilikuwa na mshikaji wangu wa damu Kabisa, huyo mshikaji wangu familia yao ilikuwa inakaa karibu na shuleni kwetu sehemu moja inaitwa Forest ya zamani hapo Mbeya. Basi kutokana na nilivyokuwa serious na shule na hesabu nilikuwa nazichapa kweli..yani pale Sangu class of 2009 EGM hesabu nilikuwa najitahidi kwa kweli.

basi huyu mshikaji wangu akaniomba niwe nakaa kwao tuwe tunasoma wote, na kweli nikahamia kwako, sikuweza kukataa kwasababu kwao na shuleni ni mwendo wa dakika kumi tu kwa miguu kwahiyo hata gharama za nauli zitapungua. ( home kwetu ni mbali kidogo na shule). kwahiyo kuhamia kwao kungenipa unafuu. NIKAHAMIA KWAO.

Basi Bwana, nilivyohamia kwao sikupata tabu yoyote yule jamaa familia yao ilikuwa poa sana, Baba na Mama yake walinipenda mno kutokana na perfomance yangu ya Darasani na pia kutokana na jamaa yangu kiwango chake cha ufaulu kikaanza kupanda tangu alivyoanzisha urafiki na mimi na mimi kuhamia kwao.. Hata matokeo ya mwisho ya Form Six cha ajabu ni kwamba yeye alipata Div I point 8 mimi nilipata Div II point 10 ila haikuwa mbaya.. wazazi wake wakazidi kunipenda yeye akaenda kusoma UDSM mimi nikaenda Mzumbe University .

TURUDI 2009...sasa kipindi hicho nakaa nyumbani kwao huyu jamaa yangu alikuwa na mdogo wake wa kike japo alikuwa mdogo lakini mtoto alikuwa mashallah na japo kuwa alikuwa mdogo lakini ilikuwa inaonesha kabisa huko mbele akikua atakuwa moto wa kuotea mbali. kipindi hicho tuko form Six yeye alikuwa darasa la nne mwaka 2009 huo. Nikiwa na muda siku nyingine nikiwa pale home kwasasabu nilikuwa naishi kama mwanafamilia nilikuwa nina uwezo wa kwenda pale home hata kama jamaa hayupo.. Kwahiyo nilikuwa nikienda nakakuta haka katoto kanafanya home work zake basi nikawa nakasaidia nakafundisha fundisha hesabu na masomo mengine.

Tulipomaliza form Six tu, baada ya kuondoka pale nimewahi kurudi mara mbili kama sio mara tatu kwenda kusalimia lakini huyu mdogo wa rafiki yangu sikuwahi kumkuta home. lakini mawasiliano yangu na urafiki na jamaa yangu ukaendelea na hata nilipopata kazi kwenye bank mmoja hivi mama yake mzazi ndiye aliyenisaidia kupata kazi hapo. Jamaa yangu yeye yupo anafanya kazi kwenye shirika moja la serikali.

MWAKA 2019.... wakati nipo Dodoma, yule mdogo wa rafiki yangu alikuwa ameshamaliza form six na anakuja UDOM kuanza masomo yake ya chuo. nikapata taarifa na jamaa yangu akampa namba mdogo wake kuwa akiwa na shida yoyote anicheki, kwavile tuliishi kama familia kipndi nipo Mbeya hata wazazi wake waliniambia kuwa mdogo wa rafiki yangu anakuja Dodoma kusoma kwahiyo niwe namlinda na kumtunza...

mwanzani kweli nilikuwa sina hata wazo la mapenzi na huyu mtoto.. nikawa nachati nae kwa nadra sana... kumbuka hata kumuona tena ilikuwa bado... Siku moja alinipigia simu kuwa anataka kunisalimia nikamuelekeza ninapokaa, hatimaye akaniambia anakuja...Alipofika tukakubaliana niende kumchukua stand ili apajue nyumbani... basi Bwana nikamfuata kumuona tu aiseee japo namfahamu lakini sikutegemea kuwa atakuwa uzuri umezidi kiasi kile jamani...

basi tukaingia mpaka ndani sebuleni, tukaanza story za miaka kumi iliyopita nikamkumbusha jinsi nilivyokuwa namfundisha hesabu na yeye akaanza kunisimulia jinsi ambavyo wazazi wake walikuwa wananisifia nilivyokuwa ''siriaz na shule''.

basi na mimi nikaanza kumsifia kuwa amekuwa mtu mzima, amekuwa mzuri saana, yani nilimpa sifa kedekede.... alikuja mida ya tano hivi, mchana nikapika mwenyewe akala msosi.. tukaanza kuangalia AZAM TV... Alikuwa amekaa kwenye sofa ya mtu mmoja mimi nilikuwa nimekaa kwenye sofa la watu wawili basi nikachukua simu yangu nikaanza kuangalia picha za zamani, nikamwita nae aje kuangalia picha zetu za enzi zile... akaja hadi kwenye sofa mahali nilipokaa...cha ajabu alipokuja alikuwa kukaa jirani kabisa hakuweka hata zero distance, alikuja karibu sana..tukaanza kuangalia picha kwenye simu yangu...mimi wadudu huku ikulu walikuwa tayari wamepanda... hata picha nikawa sioni vizuri, basi nikajifanya nainuka kwa kumshika paja lakini hata sikupata upinzani...nikatoka nikazuga humo ndani nikarudi kukaa pale kwenye sofa... wakati nakaa tena mkono nikauweka kwenye mapaja makubwa nikawa nayaminya minya lakini pia hapo siku pata upinzani ( inaonekana alilifurahia hilo zoezi)... uzalendo ukamshinda akawa nae ananipapasa mgongoni....

aiseee baada ya hapo tulichapa mechi moja balaa na ninachojivunia hadi leo yeye ni binti pekee niliyebahatika kumtoa bikr*
Hii thread edit..km vipi futa kbsaaaa...yn km ni ndg yngy nakutambua vzr
 
Umechelewa

Wameolewa wote
Kweli Wahenga hawakukosea waliposema "Chelewa Chelewa Utakuta mwana si wako" na "Mchagua Jembe Si Mkulima"

Nimesikitika sana Kumkosa Binti yako yule Shombe Shombe🙆‍♂️

Karibu Krismasi Mkuu 🎅
 
Acha uongo wee mtu, peramiho sio wilaya mpya, ila ni makao makuu ya wilaya ya songea vijijini, ambapo mwanzo yalikuepo ndani ya songea mjini.

Na makao hayo yapo ktk kata ya lundusi, mbele ya kata ya maposeni.
Hakuna wilaya inaitwa Songea vijijini, Wilaya ni Songea labda hiyo Premiho ni Halmashauri wilaya ya Songea
 
sio huyo tyuuh wapo wengi mno, songea hatujawahi ku fail ktk kukamatia fursa, tunachukua nzima nzima

Hata wee kajichanganye uone, utaleta mrejesho.
Kuna mwingine wa TRA nae kamfungulia mpaka biashara bidada kamuelewa vibaya
 
Home boy umetisha sana ingawa umetupiga ma time travel na multipulation, vurugu tupu kwa wenye vichwa KB 10. Pia umefungua sana code mkuu ushatambulika hapo kama wahusika wapo humu na joka jeusi anashauri uoe hapoo. ..?
Homeboy ngoja nifute manake nimeanza kuogopa
 
Kuna demu nilimuona mahala hapa Dar es Salaam, anyway nikamuomba namba akanipa, nikamtext jion hakujib, nikauchuna mwwz mzima, baada ya mwez kuna siku nikawa na zile njaa za kei kuna wakat inafikaga ukiwa hujala kei muda mrefu unakuwa nayo hamu sana, basi kupitia pitia msg zangu nikakutana na hiyo yake delivered but unreplied, nikamtext tena kwamba aache pozi mwanamke mzima inakuaje atextiwe asijibu, nikaona anapiga eti sorry simu yangu msg natuma hazitoki.

Nikasema nilikumiss karib kwangu gheto, bila hiyana akasema kuna mahali nipo nikitoka jion nitakustua unifuate,

Baharia nikasema ewaa leo napunguza hungry,

Saa moja anapiga njoo unifuate mahali x.

Nikamfuata njian tunapiga story mingi saafi, tumefika gheto sasa lile dubuwashwa si likaanza pozi had maji au soda kila kitu asante, huwa sipend demu mwenye pozi anyway nikasema ngoja nivunge kama sijaona pozi zake nimle asepe.


Akaanza kaa hapa tuongee kwanza, mama yangu zikaanza story hizo za wanaume wakuadi wanavyosumbua na ambavyo hapend kusumbuliwa na wanaume, ikaanza shule ya namna ya kumheshimu msichana na kutokumchukulia poaw kama wanaume wengi wanavyowachukulia wasichana, ikapigwa shulee had nikahisi usingizi, yan sipew kuda wa kusema ni yeye anashusha nondo, nikaona mbinu za kimasihara zote tayari blocked.


Kibaya zaidi lilivyomaliza likasema naomba sasa nisindikize niondoke muda umeenda sana

Nikalibembeleza lilale likasema wewe acha utani naanzaje kuja kwako na kulala, kwanza nitakuta geti limefumgwa hebu niwahishe basi.

Duuuh nikasema nimekoma kuunguza mafuta ya gari langu leo,
Basi likasimama, nikaenda kulihug niliage hata nililenga akirespond huwa nahug strongly, akilegeza naomba deep kiss, akilegeza nashika tako, akilegeza hatua ya mwisho napemyeza mkono chini ya pichu kupima oil, aisee likakubali hug ila ile ya partialy yan haraka haraka na kuachia,

Nikasema ***** nahangaikia kei, kei zimejaa kila mahali kisha naletewa pozi hapa, nikamaindi kidogo niache kumtoa kurudi kwao ila nikasema anyway ngoja nimpeleke.

Nikampeleka nikashusha nikasepa, naulizwa mbona kama umekasirika mm najibu umeona wapi, relax.
Nikashusha nikasepa, naambiwa usik mwema nikasema haya.


Sikumtafuta wala kumtext, siku tatu akanitafuta whatsapp salaam mm kimia, siku ya tano salaam mm kimia.

Baada ya week akapiga simu akauliza nn shida nikasema najuta kupoteza muda na attention zangu kwa watu wasio faa.

Hahaa wanawake bwana akasema leo nakuja, nikasema ukija upande boda siji huko mm, akapanda akaja, siku hiyo sikusikia naondoka giza limeingia, nikaona mtu anaulizia bafu taulo, akamaliza kuoga bed...

Akalala hapo had moning ila mm ukinitune off first time ndo nakuwa off mazima.

Asbh akaondoka nikakaa kimia kama alivyokuwa amekaa awali, analaumu eti mabaharia wenzangu nisaidieni
Tisha Sana...Ila Mimi ningejitahidi hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom