Kuna demu nilimuona mahala hapa Dar es Salaam, anyway nikamuomba namba akanipa, nikamtext jion hakujib, nikauchuna mwwz mzima, baada ya mwez kuna siku nikawa na zile njaa za kei kuna wakat inafikaga ukiwa hujala kei muda mrefu unakuwa nayo hamu sana, basi kupitia pitia msg zangu nikakutana na hiyo yake delivered but unreplied, nikamtext tena kwamba aache pozi mwanamke mzima inakuaje atextiwe asijibu, nikaona anapiga eti sorry simu yangu msg natuma hazitoki.
Nikasema nilikumiss karib kwangu gheto, bila hiyana akasema kuna mahali nipo nikitoka jion nitakustua unifuate,
Baharia nikasema ewaa leo napunguza hungry,
Saa moja anapiga njoo unifuate mahali x.
Nikamfuata njian tunapiga story mingi saafi, tumefika gheto sasa lile dubuwashwa si likaanza pozi had maji au soda kila kitu asante, huwa sipend demu mwenye pozi anyway nikasema ngoja nivunge kama sijaona pozi zake nimle asepe.
Akaanza kaa hapa tuongee kwanza, mama yangu zikaanza story hizo za wanaume wakuadi wanavyosumbua na ambavyo hapend kusumbuliwa na wanaume, ikaanza shule ya namna ya kumheshimu msichana na kutokumchukulia poaw kama wanaume wengi wanavyowachukulia wasichana, ikapigwa shulee had nikahisi usingizi, yan sipew kuda wa kusema ni yeye anashusha nondo, nikaona mbinu za kimasihara zote tayari blocked.
Kibaya zaidi lilivyomaliza likasema naomba sasa nisindikize niondoke muda umeenda sana


Nikalibembeleza lilale likasema wewe acha utani naanzaje kuja kwako na kulala, kwanza nitakuta geti limefumgwa hebu niwahishe basi.
Duuuh nikasema nimekoma kuunguza mafuta ya gari langu leo,
Basi likasimama, nikaenda kulihug niliage hata nililenga akirespond huwa nahug strongly, akilegeza naomba deep kiss, akilegeza nashika tako, akilegeza hatua ya mwisho napemyeza mkono chini ya pichu kupima oil, aisee likakubali hug ila ile ya partialy yan haraka haraka na kuachia,
Nikasema ***** nahangaikia kei, kei zimejaa kila mahali kisha naletewa pozi hapa, nikamaindi kidogo niache kumtoa kurudi kwao ila nikasema anyway ngoja nimpeleke.
Nikampeleka nikashusha nikasepa, naulizwa mbona kama umekasirika mm najibu umeona wapi, relax.
Nikashusha nikasepa, naambiwa usik mwema nikasema haya.
Sikumtafuta wala kumtext, siku tatu akanitafuta whatsapp salaam mm kimia, siku ya tano salaam mm kimia.
Baada ya week akapiga simu akauliza nn shida nikasema najuta kupoteza muda na attention zangu kwa watu wasio faa.
Hahaa wanawake bwana akasema leo nakuja, nikasema ukija upande boda siji huko mm, akapanda akaja, siku hiyo sikusikia naondoka giza limeingia, nikaona mtu anaulizia bafu taulo, akamaliza kuoga bed...
Akalala hapo had moning ila mm ukinitune off first time ndo nakuwa off mazima.
Asbh akaondoka nikakaa kimia kama alivyokuwa amekaa awali, analaumu eti mabaharia wenzangu nisaidieni

