Nko nko nko nko nko,
Mm. Nani wewe
Room service.kuna mgeni wwko mapokezi
Nikamwambia mwambie aingie
Dada akaruhusiwa akaja akazama room ile anaingia nikawa namshangaa na yy ananishangaa, the dada wa watu akasema nimekosea room samahani
Nikamwambia unamtafuta nani samahani. Namtafuta flani kaniambia yupo hapa room namba 105. Nampigia simu hapatikani. Nikagundua dada hajakosea ila amekosea majengo hizi hest zipo namba moja hadi nne. Yeye kaja nliyoko mimi.
Nikawaza haraka haraka nikamwambia hebu kaa hapa kwanza labda ametoka tumsubiri aje. Na kweli dada wa watu akaenda kukaa kwenye sofa. Nikamwashia tv akaendelea kuburudika huku mm nna bukta tu na vest.
Amekaa ilikuwa saa moja hadi nne bila bila. Nikamwqmbia jamaa yako kakudanganya labda ana mwqnamke mwingine ameamua kuzima simu na blablaa nyingi. Mpaka dema akaamini maneno yangu. Nikamwambia na saiz usiku huu saa nne na madakika kibao huezienda popote kama hutojali njoo tulale utaenda kesho, mimi naye ni mwanaume kama yeye tu. Dada wa watua akskuti kama dakika hivi namwona anaamka nakuja kujilaza kitandani
Nikaona mwanaume nimeshinda gem. Nikampa taulo nikamwambia km unaoga kaoge uje tulale akaenda kujiswafi tu kunako naniliu akaja nikala mzigo mpaka asubuhi. Nikamtoa msimbazi wawili wa ubber akaondoka zake mida ya saa mbili asubuhi