Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,275
- 2,975
Aya Sasa baada ya kuwasilisha, wasilisha na connection..Namtumbo sio peramiho, Namtumbo ni walaya inayojitegemea ipo njia ya kwenda Tunduru, Peramiho kwa sasa imekua wilaya mpya zamani ilikua ktk wilaya ya Songea vijijini yenyewe ipo njia ya kwenda Mbinga kuna sehem inaitwa Likuyufusi kuna sheli unachepuka upande wa kulia ndio unaelekea Peramiho sasa.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app