Ubavu
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 2,790
- 3,276
Kama nilikuwa bado sijabalehe unaweza kadiria nilikuwa na miaka mingapi.Ulkuwa na umri gan mkuu wa kumkojoza beki tatu had maji yavuje kwenye godoro.
Majibu tafadhali,
Kama nilikuwa bado sijabalehe unaweza kadiria nilikuwa na miaka mingapi.Ulkuwa na umri gan mkuu wa kumkojoza beki tatu had maji yavuje kwenye godoro.
Majibu tafadhali,
Mjomba wewe ulisema Large Mahine Gun LMGHujui kitu bora uulize..unadhani neno Light linamaanisha uwezo mdogo? Soma historia kuhusu transformation toka Heavy Machine Guns hadi Light MGs alafu angalia performancy, reliability na efficiency...usikariri neno Light na Heavy..watanzania mnajifanya mnajua kjmbe mbunyenye tu
Nielekeze iyo nyumba nami niende nikapangekuna mke wa mtu(mpangaji mwenzetu),sikuwah kuwa na mazoea nae,siku hio jumamos akaniuliza "unakulaga birian"?nkamwambia ndio...bas bi mama akaniletea ki hotpot nkapiga menyu,baada ya mda akaja kuchukua vymbo kiutan nkamualika ndan kwel akazama akakuta series ya kikorea,akaduwaa anachek,muda si muda nkaona anajifunua funua nikajarib imo nkala mzigo.....baadae ananmbia amekaa miez 3 na mumewe hamgusi kila siku jamaa anasema kachoka![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mm nasubiri jina LA hiyo sprayMkuu hakuna mwanaume ambae hapendi kuweka heshima kwenye suala la mgegedo, tupe maujanja ya hiyo spray inaitwaje ili heshima zetu zizidi kuongezeka juu ya hawa viumbe,
Napoteza muda kubishana na mtu ambaye labda hajawai hata kuona risasi ya pistol..ujuaji mwingi mwisho kiza kineneMjomba wewe ulisema Large Mahine Gun LMG
Ilhali LMG ni Light Machine Gun.
We understood the context. You really can't bullshit your way out of this.
Madhara yake yapoje huko mbeleniHizi spray zinakuwa na Lignocaine ambapo hii dawa kazi yake ni kusababisha ganzi huwa inatumika hasa wakati wa Operation ndogo ndogo kuzuia mtu asisikie maumivu maana inazuia nerve zisifanye kazi kwa muda so Ukipulizia kwenye dyudyu utakuwa unapiga shughuli balaaaa ila hata ile raha ya sensitivity kama unagonga hutaisikia kivilee na utachelewa sana kukojoaaa.. Ile ganzi ikiisha hapo ndo unaweza kulimwagaaaaa sasaaa[emoji23][emoji23][emoji23] Lakini haisimamishi dyudyu isiyosimama bali inazuia dyudyu isilale mapemaaa...
Cheki hapo View attachment 1273441
I don't need prior weapons experience to point out the error in your story and how the wrong acronym screws up the entire thing.Napoteza muda kubishana na mtu ambaye labda hajawai hata kuona risasi ya pistol..ujuaji mwingi mwisho kiza kinene
Nielekeze iyo nyumba nami niende nikapange
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hii nyingine nilivyokula tunda kimasihara
Wakati naingia form four,,kuna form one wapya walianza kama kawaida enzi zile wakawa busy sana kutafuta kaka wa shule na dada wa shule
basi kuna binti akawa ananizoea nikawa kaka yake wa shule,,baada ya kumaliza four nikamuacha shule but baada ya kumaliza six nikiwa najiandaa kwenda chuo nikarudi shule yangu ya o level kufata cheti,,,nikamkuta yule binti amekua kua baada ya story tukabadilishana namba maisha yakaemdelea na chats kama kawaida but ananiita kaka tu kama siku zote
alivyomaliza form four akarudi kwao dodoma kuanzia hapo sikuwahi kumuona tena mda niko chuo dsm demu akaenda chuo cha mipango akaanza certificate then diploma kuna siku nikaamuona social media kawa bonge la pisii tamaa zikanijaa nikatafuta namba yake nikawa nachati nae but namzingua mbona umekuwa mkali tukikutana lazima nimle mdogo wangu yy anacheka tu
baada ya kumaliza chuo nikapata kazi mwezi ule ule nikapata semina ya kikaz dodoma baada ya kulipwa tu na wale wazungu per diem zetu nikamtafuta binti walikuwa bado wako chuo amepanga karibu na mipango akanielekeza nikachukua daladala mpaka nikafika akanifata kituoni safari ya kwenda kupaona ghetto lake ikaanza
njian nawaza huyu leo ntamtafunaje wakat tunatembea nikaona duka la dawa nikamzuga nahisi kichwa kinaniuma ngoja nikanunue panadol kuzama nikaagiza fasta condom then nikanunua panado condom nimeweka mfukoni nachukua tu panado dem nae akaingia pharmacy uzuri hakuona kama nimenunua condom nimampa muuzaji hela kamili(sikutaka ajue kama nna mawazo ya kumla siku hio) basi kuffika ndan story chache kumshika shika akawa analalamika unajua ww ni kama kaka yangu mm hapo mizuka imeshapanda hata simuelew analalamika lakn hanizuii dk chache nikawa nimeshamvua nguo nikavaa ndomu fasta dem alikuwa wet tyr nilipiga mashine siku ile rough rider bao tatu zikakata ikabd niuze mechi nikaanza kupiga kavu cha mwisho baadae nikamwambia tukatafute msosi tukarudi tukalala nikamuamsha tena usiku nikapiga kimoko kavu asubuhi nikapiga tena then nikaenda kumalizia semina usiku nilikuwa na washikaji wa semina tukaemda kupiga vyombo kuagana so sikupata mda wa kukutana nae tena kesho yake nikasepa kila siku ananiuliza utakuja lini tena dodoma so bad sijapata tena semina ya pande zile but nikienda tu nahisi ntakula mzigo hata kama kaolewa maana ananiuliziaga sana tu na ni katamu sana **** ilikuwa inabana mno labda saa hv kawe kamegawa sana imetepeta
I don't need prior weapons experience to point out the error in your story and how the wrong acronym screws up the entire thing.
It simply doesn't add up. Sorry mkuu, you've been made.
Now go shoot something in anger 🤣🤣
Vyumba vipo lakini kwenye iyo nyumbaKimara mwisho,unakuwa kama unaenda njia ile ya matangini,uliza bodaboda akupeleke kwa salema,ndo hapo hapo!!
Vyumba vipo lakini kwenye iyo nyumba
Mith u too Sumbai
Hii itakuwa dili sana hapa mjiniCheki hapo View attachment 1273441
Hiyo Miss TZ atakuwa na initials hizi SB. Samahani lakini.Vipi mliendelea na mazoea au ndo story ziliishia hapo
dah nikiwa chuo nilikuwa looser balaaa ila sa hivi nimekuwa hatari...sema nawaza za kichuo chu sijui nkasome mastersNimesoma sana za watu. Na mimi niandike zangu kidogo.
Kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza, nna kama mwezi tu chuoni, mwanangu mmoja sharobaro sana alikua amezoena na watoto wa mwaka wa 4. Wapo wa 4 wanakaa room moja. Siku hyo jamaa kaniambia niende na pc madem wanataka movie. Kufika wapo wawili tu, tumepiga story mpaka saa 6. Nkaaga nataka kuondoka wakakataa, wakasema ntalala kwenye kitanda kimoja kilichokua wazi. Nkaona poa tu.
Mwanangu kumbe ana mla mmoja wao, kaenda kitandani kwake wakawa wanapena romance. Yule demu mwingine kasema analala. Nkaona mtoto kanynayuka kaenda kwenye kioo kaanza kuvua nguo, kabaki na chupi tu, akavaa night dress, kaingia kitandani kwake.
Nimekaa kwenye kiti hapo naangalia tu, nkaambiwa nizime taa. Baada ya kuzima nkawa najiuliza nifanyaje, nimfate yule demu kitandani kwake au nilale kitanda kisicho na mtu.
Nikajitoa ufahamu nkamfata, dem mkubwa kanipita kama 3 au 4 years. Nimefika nikaingia kitandani af nikamkumbatia kwa nyuma. Natetemeka tu hapo. Demu kaanza kucheka, kule kwa mwanangu show ishaanza tunaskia demu anatoa milioa tu.
Nkaanza kumchezea chuchu yule demu, katulia anahema tu, nkashusha mkono chini demu kageukia juu kapanua miguu. Tukapiga show tukalala. Asubuhi tukapiga tena kimoja af tukasepa. Halafu kipindi hicho team ya chuo inajiandaa na mashindano, basketball tulikua tuna mazoezi asubuhi saa 12 na uwanja upo mbele ya ma block ya mademu. Ile tunatoka tunakutana na team ndo inaelekea uwanjani. Jamaa wameshangaa kichizi. Dogo first year tu hata mwezi hana ashaanza kulala kwa mademu.
Lile goma nimeendelea nalo mpaka kipindi wanakaribia kumaliza chuo, nimeenda na yule mwanangu na wana wengine wawili kwenye ile room. Tukawakuta wapo wa 3, huyo demu hayupo. Nkamuulizia, wenzie wanakaanza kucheka.
Kumbe yupo kwenye kitanda kingine ambacho wamekificha na makabati kwa mbele, anagongwa. Baadae tukaanza kusikia sauti zao za utamu. Mwana kamaliza kavaa kasepa. Demu nae kavaa kanga ndo katoka kwa mbele. Katusalimia kama hakuna ishu yoyote. Wanangu wakaanza kunicheka. Nilipigwa majungu siku ile. Lile demu nkaanza kulikwepa hadi lilivomaliza chuo.
Nyingine. Nipo zangu room mwanangu kancheki kuna manzi kampa namba yangu anilietee pc yake niiiweka sawa. Nkamwambia fresh. Kweli manzi kaja kaicha pc af kawahi kwenye kipindi. Baada ya kama siku 2 nkamuambia aje aichukue.
Alivofika kakuta room wana tunapiga ligi ya fifa. Tupo kama 10, viti vya kukalia hamna. Nkamuambia tupande kitandani tukae huko. Mtoto kakubali tukapanda. Muda huo kama saa 12 hivi jioni. Chini kuna kelele kichizi wana wanapiga fifa.
Zikaanza story za kizushi, nkaanza kumshika demu mabega katulia t. Kalalia mgongo hapo. Nkashuka mgongoni kimya, kiunoni kimya. Nkamgeuza nkaanza kuchezea chuchu. Yupo kmya tu. Mida ya saa 1 wana wakasema wanaenda kula. Nkawaambia watangulie.
Walivotoka tu nkamliamba kimoja cha fasta.
Tulivomaliza akaniuliza wenzio wanarudi saa ngapi. Nkamuambia soon tu wanarudi. Akaniambia twende kwake, wapo wawili tu room kwao na mwenzie ni mwaka wa 3 afu kasepa. So tukaenda kula af tukaenda room kwake. Kufika tukakuta huyo mwenzie yupo kalala. Demu kasema hataki huyo mwenzie ajue kama demu kaja na mshikaji room coz ni kama dada yake. Ikabidi tupige show za kmya kimya. Nimeamshwa saa 11 asubuhi demu anataka nisepe kabla mwenzie hajaamka.
Demu nimemla yule mpaka tukazinguanaga. Baada ya kama mwaka nkamcheki ana mimba