Hahahah tramadol? Kwamba itamchelewesha Bahari kumwaga wazungu[emoji1][emoji1][emoji848]? Huu uzi utasababisha ziadimike madukani,, .
 
Asante mkuu....kwahiyo nikienda famasi nisiwe na aibu ya kuiulizia...hehehehee
 
Duu balaa
 
Duh kweli vyuoni sio kuzurii
 
Haikutengenezwa kwa ajili hiyo. Imetengenezwa maalum kwa tiba hasa ya kinywa. Unapulizia mdomoni unapata ganzi, wajuvi wanafanya yao.

Ila ktk madawa hasa ya BinAdam kuna kitu kinaitwa "Off-Label Use". Hiyo ikimaanisha matumizi ya dawa yasiyokusudiwa na mtengenezaji. Mfano tramadol ni dawa ya kutuliza maumivu ya wastani na makali. Mabaharia wameibadilishia matumizi; waitumia kama tiba ya PE. Wanainywa saa 2 kabla ya mchezo, hivyo wanasugua papuchi hadi iwake moto kabla ya mzee kucheua maziwa yake.

Spray inatumia kama "OFF-LABEL USE" tu mkuu Baba

Bazazi
[/QUOTE]
Mbona ina picha za kimahaba au mi ndo sijui kusoma lugha ya picha?
 
Hicho chuo ni UDOM... Wewe inaonekana ulikuwa CIVE na huyo dame alikuwa Education
 
Hahahaha jamaa katupa chai sio?

Military officer gani hajui LMG ni Light Machine gun?

Au jamaavalitoa show nyepesi akaitwa light machine gun [/QUOTE]
 
Hahahaha jamaa katupa chai sio?

Military officer gani hajui LMG ni Light Machine gun?

Au jamaavalitoa show nyepesi akaitwa light machine gun
[/QUOTE]Hujui kitu bora uulize..unadhani neno Light linamaanisha uwezo mdogo? Soma historia kuhusu transformation toka Heavy Machine Guns hadi Light MGs alafu angalia performancy, reliability na efficiency...usikariri neno Light na Heavy..elewa underlying meaning kwanza...watanzania mnajifanya mnajua kjmbe mbunyenye tu...ebo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…