Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Masister na mashemej wana nafas yao pepon kuna shem wangu mmoja alizaa na bro wangu ila hawakuoana kuna kipindi alikuwa anaish Tabora nami km zali nkahamishiwa Tabora kwa kaz km ya miaka miwili aisee huyu shemeji alinilengeshea mashost zake km wanne hivi wote nkabandua. Ilikuwa nkimpa offer ya kumtoa out au kumpelela mnadan kula nyama choma bas lazima aje na rafiki yake then baada ya muda ananitext BABA WATOTO HUYU VIPI??? nkimpa go ahead tu imeisha nakula mzigo
Huo ndo ubinadamu maisha kusaidiaa
 
dah tangu 2014 nahitajika sana kutoa ushuhuda jamani

Iko hv kuna usiku mida ya saa tano hv nipo na mshkaji wangu tunatoka misele si unajua tena
mara paap kituoni anashuka mtoto wa mwenye nyumba
mi sina mazoea nae ana mazoea na huyo rafiki yangu

Huku kwetu mi najulikana kama kijana mpole tu nikipita salamu imeisha hiyo sina mazoea na majirani kabisa

Sasa tukaongozana yule rafiki yangu akafika kwake akaingia ndani akaenda kulala tukabaki mi na yule binti tukaongozana mie buyu kali sio type za kutoka na watoto wa mama mwenye nyumba wala mtaa mmoja wataniharibia wakija wengine

Akafika kwao sasa gonga geti dk 10 hawamfungulii mi nikamsubiri nilivyoona hawafungui nikamkimbia niende kwangu nikalale mara nafungua geti huyu hapa ananiambia nalala kwako moyoni nikapiga makofi ila usoni nikamgomea bwana mi silalagi na mtu kitanda changu kidogo
Nafungua mlango huyo kazama ndani akapitiliza hadi chooni kabisa na viatu vyake kaingiza ndani nikajua hapa nimekamatika

Alipotoka kuoga mi nikampokea nikaenda kuoga kurudi namkuta kashavaa nguo zake katulia tu ananiangalia nikamwabia haya lala ila shuka ninalo moja tu tena najifunika mwenyewe

Nikamuona anajifunika khanga nikamwambia zima taa tulale mi silali taa ikiwaka nitakesha bure humu
akanigomea nizime mimi
mie kuinuka najionea tabu askari kashajiandaa na vita nikainuka kwa kujibana pale nikazima taa narudi kulala

Kimbembe sasa naanza kuchezea simu
najiongelesha kumbe akili haipo huko kabisa imegoma

nikamwambia bana wee mi usingizi hauji fanya unisaidie na mimi nipate usingizi
khee si akaanza kuniambia jitahidi ulale
nikamjibu nimejitahidi nimeshindwa huku namfunika na lile shuka moja hivyo tukawa tushagusana

Mara huyo akavua bra yake kavua nguo mambo hayo
baadae si akapanda juu sasa huko akaanza maswali mara tuwe wampenzi nikamgomea mara hiki nikamgomea

akaona huyu ni jeuri akasusa akashuka mi nikageukia ukutani saa 11 nikamtimua nikamwambia nenda kwenu washaamka usiniletee nzi

ilikuwa kila akiniona hana na mimi
 
dah tangu 2014 nahitajika sana kutoa ushuhuda jamani

Iko hv kuna usiku mida ya saa tano hv nipo na mshkaji wangu tunatoka misele si unajua tena
mara paap kituoni anashuka mtoto wa mwenye nyumba
mi sina mazoea nae ana mazoea na huyo rafiki yangu

Huku kwetu mi najulikana kama kijana mpole tu nikipita salamu imeisha hiyo sina mazoea na majirani kabisa

Sasa tukaongozana yule rafiki yangu akafika kwake akaingia ndani akaenda kulala tukabaki mi na yule binti tukaongozana mie buyu kali sio type za kutoka na watoto wa mama mwenye nyumba wala mtaa mmoja wataniharibia wakija wengine

Akafika kwao sasa gonga geti dk 10 hawamfungulii mi nikamsubiri nilivyoona hawafungui nikamkimbia niende kwangu nikalale mara nafungua geti huyu hapa ananiambia nalala kwako moyoni nikapiga makofi ila usoni nikamgomea bwana mi silalagi na mtu kitanda changu kidogo
Nafungua mlango huyo kazama ndani akapitiliza hadi chooni kabisa na viatu vyake kaingiza ndani nikajua hapa nimekamatika

Alipotoka kuoga mi nikampokea nikaenda kuoga kurudi namkuta kashavaa nguo zake katulia tu ananiangalia nikamwabia haya lala ila shuka ninalo moja tu tena najifunika mwenyewe

Nikamuona anajifunika khanga nikamwambia zima taa tulale mi silali taa ikiwaka nitakesha bure humu
akanigomea nizime mimi
mie kuinuka najionea tabu askari kashajiandaa na vita nikainuka kwa kujibana pale nikazima taa narudi kulala

Kimbembe sasa naanza kuchezea simu
najiongelesha kumbe akili haipo huko kabisa imegoma

nikamwambia bana wee mi usingizi hauji fanya unisaidie na mimi nipate usingizi
khee si akaanza kuniambia jitahidi ulale
nikamjibu nimejitahidi nimeshindwa huku namfunika na lile shuka moja hivyo tukawa tushagusana

Mara huyo akavua bra yake kavua nguo mambo hayo
baadae si akapanda juu sasa huko akaanza maswali mara tuwe wampenzi nikamgomea mara hiki nikamgomea

akaona huyu ni jeuri akasusa akashuka mi nikageukia ukutani saa 11 nikamtimua nikamwambia nenda kwenu washaamka usiniletee nzi

ilikuwa kila akiniona hana na mimi
TATEPA... nguo za kulalia alizipata wapi kwako sasa.....
 
Back
Top Bottom