Niliwahi kusafiri kuelekea mwanza

Kwa mbele ya Siti niliyokaa walikaa mdada na mkaka.
Nilikuwa nimetulia Sina Mambo mengi zaidi ya kuangalia mandhari dirishani, hata jirani niliyekaa nae sikumbuki alikuwa na jinsia gani! Ule mwaka Ulikuwa 2014.
Hawa jamaa yaani dada na kaka pale mbele yangu stori zilikuwa nyingi Sana, na Kama ilivyodesturi ya mabraza kujishobokesha saana kwa wadada, nilianza kuona huyu brazamani anavyojibidisha kumcare yule binti, kwa huduma ndogondogo mule njiani

Giza likaanza kuingia, nikaanza kuona brazamani mdogomdogo anaanza ukorofi wa mapenzi
Akaanza kuweka mkono kwenye bega la binti, Mara anachezea nywele za binti, Ila binti akiona Hali inazidi nae anazuia mashambulizi kwa kuzuia Ule mkono wa yule bishoo! Mara kwa Mara alikuwa anamwambia "sitaki bwana!"

Mie nimetulia tu naangalia hii picha kwa makini

Duuh, braza akavuka mipaka akapeleka mkono wake kwenye kifua Cha yule dada,aisee, binti akausukuma Ule mkono wa bro kwa hasira na akaondoka kwenye Ile Siti

Naona bro alifadhaika kidogo na katika kupunguza Soo akageuka kutuangalia huku akisema"yaani wanawake wajinga Sana, Sasa anakasirika Nini?

Tangu hapo wagomvi Hawa hawakuongea Tena, na tulipofika Mwanza nikaona kila mmoja ameshika hamsini zake

Hao ndio wanaume
Kukaa na wadada bila kuwatamani haiwezekani
Halafu wanatuambia eti UNEXPECTED SEX!

Mabraza mutuandikie na Yale MATAMANIO YENU YALIYOFELI na kuwapa AIBU tucheke pia
Unaharibu uzi wetu we boya
 
Niliwahi kusafiri kuelekea mwanza

Kwa mbele ya Siti niliyokaa walikaa mdada na mkaka.
Nilikuwa nimetulia Sina Mambo mengi zaidi ya kuangalia mandhari dirishani, hata jirani niliyekaa nae sikumbuki alikuwa na jinsia gani! Ule mwaka Ulikuwa 2014.
Hawa jamaa yaani dada na kaka pale mbele yangu stori zilikuwa nyingi Sana, na Kama ilivyodesturi ya mabraza kujishobokesha saana kwa wadada, nilianza kuona huyu brazamani anavyojibidisha kumcare yule binti, kwa huduma ndogondogo mule njiani

Giza likaanza kuingia, nikaanza kuona brazamani mdogomdogo anaanza ukorofi wa mapenzi
Akaanza kuweka mkono kwenye bega la binti, Mara anachezea nywele za binti, Ila binti akiona Hali inazidi nae anazuia mashambulizi kwa kuzuia Ule mkono wa yule bishoo! Mara kwa Mara alikuwa anamwambia "sitaki bwana!"

Mie nimetulia tu naangalia hii picha kwa makini

Duuh, braza akavuka mipaka akapeleka mkono wake kwenye kifua Cha yule dada,aisee, binti akausukuma Ule mkono wa bro kwa hasira na akaondoka kwenye Ile Siti

Naona bro alifadhaika kidogo na katika kupunguza Soo akageuka kutuangalia huku akisema"yaani wanawake wajinga Sana, Sasa anakasirika Nini?

Tangu hapo wagomvi Hawa hawakuongea Tena, na tulipofika Mwanza nikaona kila mmoja ameshika hamsini zake

Hao ndio wanaume
Kukaa na wadada bila kuwatamani haiwezekani
Halafu wanatuambia eti UNEXPECTED SEX!

Mabraza mutuandikie na Yale MATAMANIO YENU YALIYOFELI na kuwapa AIBU tucheke pia
Fungua thread yako, kima wewe
 
Niliwahi kusafiri kuelekea mwanza

Kwa mbele ya Siti niliyokaa walikaa mdada na mkaka.
Nilikuwa nimetulia Sina Mambo mengi zaidi ya kuangalia mandhari dirishani, hata jirani niliyekaa nae sikumbuki alikuwa na jinsia gani! Ule mwaka Ulikuwa 2014.
Hawa jamaa yaani dada na kaka pale mbele yangu stori zilikuwa nyingi Sana, na Kama ilivyodesturi ya mabraza kujishobokesha saana kwa wadada, nilianza kuona huyu brazamani anavyojibidisha kumcare yule binti, kwa huduma ndogondogo mule njiani

Giza likaanza kuingia, nikaanza kuona brazamani mdogomdogo anaanza ukorofi wa mapenzi
Akaanza kuweka mkono kwenye bega la binti, Mara anachezea nywele za binti, Ila binti akiona Hali inazidi nae anazuia mashambulizi kwa kuzuia Ule mkono wa yule bishoo! Mara kwa Mara alikuwa anamwambia "sitaki bwana!"

Mie nimetulia tu naangalia hii picha kwa makini

Duuh, braza akavuka mipaka akapeleka mkono wake kwenye kifua Cha yule dada,aisee, binti akausukuma Ule mkono wa bro kwa hasira na akaondoka kwenye Ile Siti

Naona bro alifadhaika kidogo na katika kupunguza Soo akageuka kutuangalia huku akisema"yaani wanawake wajinga Sana, Sasa anakasirika Nini?

Tangu hapo wagomvi Hawa hawakuongea Tena, na tulipofika Mwanza nikaona kila mmoja ameshika hamsini zake

Hao ndio wanaume
Kukaa na wadada bila kuwatamani haiwezekani
Halafu wanatuambia eti UNEXPECTED SEX!

Mabraza mutuandikie na Yale MATAMANIO YENU YALIYOFELI na kuwapa AIBU tucheke pia
frog.jpg
 
Niliwahi kusafiri kuelekea mwanza

Kwa mbele ya Siti niliyokaa walikaa mdada na mkaka.
Nilikuwa nimetulia Sina Mambo mengi zaidi ya kuangalia mandhari dirishani, hata jirani niliyekaa nae sikumbuki alikuwa na jinsia gani! Ule mwaka Ulikuwa 2014.
Hawa jamaa yaani dada na kaka pale mbele yangu stori zilikuwa nyingi Sana, na Kama ilivyodesturi ya mabraza kujishobokesha saana kwa wadada, nilianza kuona huyu brazamani anavyojibidisha kumcare yule binti, kwa huduma ndogondogo mule njiani

Giza likaanza kuingia, nikaanza kuona brazamani mdogomdogo anaanza ukorofi wa mapenzi
Akaanza kuweka mkono kwenye bega la binti, Mara anachezea nywele za binti, Ila binti akiona Hali inazidi nae anazuia mashambulizi kwa kuzuia Ule mkono wa yule bishoo! Mara kwa Mara alikuwa anamwambia "sitaki bwana!"

Mie nimetulia tu naangalia hii picha kwa makini

Duuh, braza akavuka mipaka akapeleka mkono wake kwenye kifua Cha yule dada,aisee, binti akausukuma Ule mkono wa bro kwa hasira na akaondoka kwenye Ile Siti

Naona bro alifadhaika kidogo na katika kupunguza Soo akageuka kutuangalia huku akisema"yaani wanawake wajinga Sana, Sasa anakasirika Nini?

Tangu hapo wagomvi Hawa hawakuongea Tena, na tulipofika Mwanza nikaona kila mmoja ameshika hamsini zake

Hao ndio wanaume
Kukaa na wadada bila kuwatamani haiwezekani
Halafu wanatuambia eti UNEXPECTED SEX!

Mabraza mutuandikie na Yale MATAMANIO YENU YALIYOFELI na kuwapa AIBU tucheke pia
Wewe Dume au Jike?
 
Wakuu kumekuwa na visa vingi Sana vya jinsi watu walivyokula kimasiara Sana kule kwenye Uzi wa rikiboy Sasa hapa tumegeukia Upande wa pili wa shilingi tushare jinsi mission ya kula kimasiara ilivyofeli na kupata fedheha

Changu Mimi , Alikuwa beki tatu mmoja hivi mtanga anaitwa jazila baada ya kusoma Uzi wa Riki boy kushuhudia jinsi wahuni walivyokula kimasiara na kunifanya nione kumbe kula mbushsu ni easy and cheap nikajipiga kifua na kusema it's was time aseeee

Picha linaanza first time kuonana nae nikawa na confidence kupitiliza juu yake kumbuka hapo previously nilikuwaga bonge la fisi lkn nilipania na kujikaza baada ya kupata motivation kutoka kwa Uzi wa Riki.Nikamwomba tuonane fresh akakubali kwa shart anaharaka sana nikasena fresh nikajikoki pale how to attack nikaenda na mechanisms yangu ni kuforce mashambulizi From Beginning . Mtoto akafika fresh kumbuka hapo ndo first meeting alafu muuni najitoa ufaham kaja guests pale hapo kapo macho juuu kana presha .Mm nikaanza pale mara hug kiss binti ananishangaa mara nimestop nafanya tafakari niwapi nimetoka Boko mbona sioni reaction kama walizokuwa wanasema wahuni kwenye Uzi wa Riki
Demu ananishangaa we Kaka vp mbona sikuelewi umesema tuonane tuongee lakini naona kilichotuleta lkn naona sio


Ebwana eehh nilipewa maneno ya shombo kejeli fedheha mno nilijiona fala Sana nikajishusha Thamani mno .Nikawalaumu San Wana JF wote waliokwenye Uzi wa kula tunda kimasiara .Share na ww jinsi kisa cha kula kimasiara kilivyofeli
 
Miaka kadhaa iliyopita nilifahamiana na binti mmoja hivi ambae nilimuelewa sana. Baada ya kumfuatilia niligundua huyu ananifaa kuwa mke. Baasi nikaenda na nia ya kumuoa. Alikataa kwa 100% na akaniambia ana mtu tayari. Sikuwahi hata kuomba mbususu kabisa. Kweli baada ya miezi kadhaa aliolewa na tulipotezana jumla. Wiki kadhaa zilizopita nikaona napigiwa simu kuuliza nani akaniambia fulani, upo wapi sehemu fulani ambayo kimsingi palikuwa karibu sana. Nikaomba tuonane akakubali. Ndani ya saa moja tukawa tumeonana na hapo ilikuwa kwenye hotel moja hivi Kinondoni. Nikamwambia hapa sipo comfortable sana naomba nichukue room tukapige story ndani. Alikataa but nikafanya kumforce baadae akasema sawa ila kwa masharti nikakubali. Baasi tukaenda room tukaagiza vyakula na mastory kibao tukapiga baadaye story ziliisha nikaanza touch za hapa na pale mwishowe akalegea. Kiulweli nilipiga show ya kibabe sana kwakuwa nilijiandaa nikijua huyu leo si muachi. Nikasema huyu hakufaa kuwa mke kwakuwa tayari amesaliti leo. Alikolea halafu nikaachana naye na hakuna mawasiliano tena. Kiukweli amepoteza mvuto fulani comparing na kipindi alivyokuwa awali. Sasa sijui hayo ni masihara au la?
bora hukumuoa ungengongewa sana..hata miez m3 hikapita
 
Msione kimyaaa , nilikua nafanya matukio


Matukio MAPYA so far ninayo 19 .


Ukiwa na Sura nzuri ya kuvutia, Ukawa na Kazi yako yakipato halali, ukawa na Mwonekano nadhifu wa Mavazi na kuongea na Kichwani, ukaongezea vionjo vingineeee kma ucheshi. Kujiamin n.k.......


HILI NI LA JANA YAAN JANA USIKU WA KUAMKIA LEO.



Basi nikiwa kijiweni kwangu nikapigiwa simu na Bidada mmoja, akijitambulisha anaitwa H... yupo kituo fulan cha Afya na mgonjwa, wanaomba msaada maana hiko kituo wamewapa gharama kubwaa.


Nikamuuliza Namba yangu umepata wapi?? Akadai amepewa na mwenyeweji wake.

Basi nikawauliza vipimo nitumie wasap... Akanitumia aaaahhh nakuta magonjwa ya kawaidaa..( nikajua kituo hiko binafsi walitaka kuwapiga hela, yaan dawa wameandikiwa jumla laki na ishirini)


Nikamwandikia Dawa chapchap ambapo jumla ziligharimu elfu 13.


H akanishukuru sanaaaa ,basi nikaanza kuchat naye.....


Wee ndio huk hapo kwa DP?

Akajibu ndiooo...

Nikamwambia mmmhhh anayekutia anafaidi sana


Likasema..Wee mtoto acha maneno yako ujue


Nikakomaa hapo hapo.. Yaan nataman siku moja namimi unifanyie wema tu .


Liksema...Nitakuchapa weeee...

Basi likaniomba picha zangu, nikalitumia picha mara ,ohoooo uko HB kijana , ila mmmhhhh mie sio mwanamke wa ivo, unijue leoleo, leoleo nikupe tamu.



Nikakomaa komaaa


Basi usiku wa sambili, nikamtext, aiseee nmeshindwa hata kula, kila mara nakufikiriaa tu.


Akajibu...wewe huna njaaaa.


Nikakomaaa, njoo angalau nile

Likajibu, unajua mimi nmekuja huki kwenye msiba, nasasa tumetoka mara moja na dada zangi tunakunywa Pombe kidogo.


Nikamwambia njooo nitawah kukurudisha mapema..maana najua msiban kulala nje nikawaida .


Akazuga zuga ,mwisho akasema wacha ninalizie vinywaj ndo nitakujibu.



Baadae nikamwambia, Nmechakua chumba

Akajibu...ivi wee unann ,yaan hadi na chumba ..je nisipokuja..

Nkmwambia Onea huruma pesa nlotumia


Basi banaa kama utani saa tano akaniambia amechukua boda anakuja


Mara mtu huyo hapoooooo



Unajua ni li dada limepanda hewan, tako tako, paja paja, titi titi, mweupee , yaaan kiukweli ni li mtu balaaaaa



Nashukuru tu Nilipewa Mbooo kubwa, huyu demu kwajinsi alivyo pande la mtu. Bila kua na mbooo ya maana, ningekua namtekenya.


Lkn sasa, shoooo nliompelekea ,nmempiga mshinee balaa, amekojoaaa mara nne, piga saaana.


Mida saa 12 , akaondoka zake , mie ndo natoka Lodge saizi naandika nko hapa kitandani kwang




wanamalizia kikao cha familia ..aondoke arudi kwa Mumewe.View attachment 1951914
Khah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom