ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
dah jana ndo nimeamini kula kimasihara is real!
finally jana nimekula tunda kimasihara,
kuna binti wakati nimehamia usharika ninaosali sa hivi alinipokea kwenye umoja wa vijana tukabadilishana no hatukua na mawasiliano ya karibu sababu hata kanisani sio muhudhuriaji mzuri na sikuwahi kumuweka katika kumtamani sababu nilimuona mkubwa na alikua akiniita mdogo wake.
jana nimetulia gheto nachezea simu nikaiona no yake nikamkumbuka nikamshtua kwa sms hadi tukakubaliana alikuja gheto nikala vya kutosha na leo anarudi tena .
amenambia alikua ana mda mrefu hajafanya bwanake anamzingua
Mkuu hiyo siyo kula tunda kimasiara. Tayari umevunja sheria ya kula tunda kimasiara ibara ya 5 kifungu kidogo cha sheria inayosema: ukituma au kumtongoza binti au demu kupitia ujumbe mfupi kupitia sim tayari hiyo inakuwa siyo masiara tena. Bali ni makubaliano mliyowekeana atimaye kupeana utamu. Kwahiyo wewe unatakiwa kushatakiwa kutumia neno kula tunda kimasiara wakati mmekubaliana🤪🤪🤪
