Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Acha wivu mkuu, unataka nikuPM nn

Aliyepewa kapewa...

Nilipewa mwonekano mzuri wa kumvutia ( binafsi hata vijana wenzangu mkiwa vijiweni utasikia " Hivi G ulishwahi kataliwa na mwanamke??).


Pia Nina Elimu (Doctor of Medicine) niwambie, Wanawake wanatupenda sana sanaaa zaidi ya saaana sisi Madaktari.


Tatu, nina vijisenti vyangu

Nne, ninajiamin, ni mcheshi, nina lugha nzuri ya kutongoza, na ninajua namna gan yakufanya mwanamke nayemtaka regardless ya "status" yake nimpataje.


Unajua eeh, ninao uwezo wa kukufanya unizoee ghafla, ujihisi umenijua miaka kumi ilopita, kumbe ndo kwanza hata nusu saa haijaisha




Siunaona pamoja nakwamba, umesoma matukio yangu hapa?? Ila siku nikiamua kukuPM, kwa lengo la kukutongoza, UTANIKUBALIA.

sahizi unaweza jivunga.
Sasa carlos ehh,ungetuambia maujanja unayotumia kupata totoz.
 
Acha wivu mkuu, unataka nikuPM nn

Aliyepewa kapewa...

Nilipewa mwonekano mzuri wa kumvutia ( binafsi hata vijana wenzangu mkiwa vijiweni utasikia " Hivi G ulishwahi kataliwa na mwanamke??).


Pia Nina Elimu (Doctor of Medicine) niwambie, Wanawake wanatupenda sana sanaaa zaidi ya saaana sisi Madaktari.


Tatu, nina vijisenti vyangu

Nne, ninajiamin, ni mcheshi, nina lugha nzuri ya kutongoza, na ninajua namna gan yakufanya mwanamke nayemtaka regardless ya "status" yake nimpataje.


Unajua eeh, ninao uwezo wa kukufanya unizoee ghafla, ujihisi umenijua miaka kumi ilopita, kumbe ndo kwanza hata nusu saa haijaisha




Siunaona pamoja nakwamba, umesoma matukio yangu hapa?? Ila siku nikiamua kukuPM, kwa lengo la kukutongoza, UTANIKUBALIA.

sahizi unaweza jivunga.
Very sad,kama taifa tuna safari ndefu saana.
 
Nmepitia nyuzi wako.


Kama uliwah tafuta bwana mtandao


HUNA HATA KIGEZO KIMOJA CHAMM KUKUTONGOZA.

HATAAAAAA KIMOJA, HATAAAAAAA ROBO HATAAAAAAAAAA MDOGO WAKE NA ROBO ..HATAAAAAAA MJUKU WAKE NA ROBO...HATAAAAAAAAA KITUKUUUU WAKE NA ROBO..HATAAAAAAAA KILEMBWE WAKE NA ROBO..HATAAAAAA KINYANYA WAKE ROBO.


most ya Galz wanaoanzisha manyuziii ya kutafuta bwana mitandao ni Wabaya wa mionekano na Sura.


Na sikumbuki ni Lini nmewah tongoza mwanamke wa aina hiyo.

Bye
Acheni ayo Mambo tunataka visa
 
Sasa hii ndo kula kimasihara and unajua kuandika vizuri.Siyo wengine hawajui kuandika vizuri kazi kuleta porojo na kujimwambafai.
We Dada tuondolee uchuro kwenye uzi wetu ......Kama huna kisa Cha kutuletea just shut your mouth sit down en keep on reading. Wewe sio hakimu Hadi utupangie Nini Cha kuandika na kushare .

Kama unatafuta tension ya madanga huu uzi sio sahihi ..

Na nyie wanaume mnao mpa kichwa huyu Dada kwa kulike vicomment vyake acheni uboya .
 
Nina account zaidi ya moja humu.Hii ni ya kuwajibu watu kama nyinyi msiojielewa .Hizo ni threads tu za kujiburudisha and that does not define me.

Only boys like you can take every thing serious kwenye mitandao...Eti nina sura mbaya as if ulishawahi kuniona.

You are so childish and pathetic.
Kwaheri
Hizo account ndio zinakufanya ujione umemaliza maisha mwenyewe embu toa ushamba wako humu.....sio kila mwanaume atapenda ushamba wako zaidi ya Hawa wazee wa loose balls
 
We Dada tuondolee uchuro kwenye uzi wetu ......Kama huna kisa Cha kutuletea just shut your mouth sit down en keep on reading. Wewe sio hakimu Hadi utupangie Nini Cha kuandika na kushare .

Kama unatafuta tension ya madanga huu uzi sio sahihi ..

Na nyie wanaume mnao mpa kichwa huyu Dada kwa kulike vicomment vyake acheni uboya .


Another imbecile
 
Hizo account ndio zinakufanya ujione umemaliza maisha mwenyewe embu toa ushamba wako humu.....sio kila mwanaume atapenda ushamba wako zaidi ya Hawa wazee wa loose balls
Mbona unaandika kwa uchungu sana..Vipi nikusindikize labour?
 
Mpuuzi mwenyewe...Watu mna makasiriko za kipuuzi halafu utakuta eti baba wa familia.

Kabisa mnakaa mna catch feelings kwa thread za jf

Mxiiieeeweew
Pisi za ushuani na za kisasa zinakuaga na uchovu kwenye kubishana. Sasa wewe sijui pisi ya wapi kwanza kwa mwandiko wako tu hata kuliwa kimasihara haufai
 
Back
Top Bottom