Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,546
- 10,285
Unajua mwanagu kufumaniwa ukapaniki inatokea pale unapoingia ndani huku huna awareness kuwa lolote laweza kutokea, ndo pale inapotokea ukagongewa mlango unapaniki ghafla.Haya maswala ya kufumania sasa hivi ni magumu sana kwa sababu yanaangukia kwenye jinai moja kwa moja , vijana bado wanakariri either kwa kudanganyana au kutokukujua. Unless hiyo mission ifanywe na mtu mmoja which is extremely dangerous .
Sasa Mimi nikiingia na mwanamke, bila kujali Ni mke wa mtu au demu, iwe geto au guest nakuwa najua kabisa kuwa "NIMEINGIA NA MWANAMKE , NAWEZA KUTOKA SALAMA, NAWEZA KUTOKA NIMEULIWA, NAWEZA KUTOKA NIMEJERUHIWA AU NAWEZA KUTOKA NIMEUA AU NIMEJERUHI"
nakuwa Niko aware kabisa na Niko prepared!!

za kimasikhara, wasomaji tupo.
