K VANT ILIVYOFANYA NIKAMLA DEMU WA RAFIKI YANGU,,
Mm nina rafiki yangu ambaye tulifahamiana kupitia unywaji,,
Siku moja niko na mpenzi wangu katika bar moja ambayo ndio huwa napotezea muda baada ya shughuli zangu,
Tukiwa tunamalizia kupata chakula mm na mpenzi wangu,gafla rafiki yangu nae akawasili tukawa watatu,
Baada ya nusu saa hivi niliagiza maji na K vant kubwa tukaanza kushare na story za hapa na pale,rafiki yangu akawa anajitahidi sana kumshawishi mpenzi wangu nae anywe k vant maana yeye alikuwa anakunywa serengeti lite,
Kweli baada ya kuwa amechangamka kidogo pia alianza kunywa k vant huku akichanganya na maji mengi,
Tukiwa tunaendelea ikaagizwa k vant nyingine na rafiki yangu akamuita pia demu wake baada kama dk 10 akawa amefika na bodaboda ,akajiunga mambo yakawa bambam,
Tukawa tunakunywa ilipofika majira ya saa mbili usiku nikatoka nikaenda kuchukua chumba kabisa ili kukamilisha burudani,
Sasa ile narudi tu nikakaa kwenye kiti change shemeji yangu demu wa rafiki yangu akaniuliza kwa nini C (basha wake) wanakumbatiana ?
Wakati huo jamaa yake alienda chooni nikamuuliza mpenzi wangu kutaka kujua walikuwa wanaongea nini na shemeji yake?
Akadai hawajaongea kitu,sasa ajabu baada ya kumuuliza rafiki yangu akamaind na kuondoka bila kumuaga demu wake, nikajua kuna kitu nyuma ya pazia,gafla demu wangu nae kamaind kaondoka nikabaki na shemeji pale,
Nikamwambia jamaa yako atakuwa ameenda mgonga demu wangu ,sasa nisindikize nikadai pesa yangu ya chumba hata nusu kisha tusepe,akakubali haooo mpaka lodge nikafungua yeye akapita moja kwa moja mpaka chooni,alivyotoka huko analia jamaa yake amemuonaje nikamtuliza akajilaza nikazima taa nami nikajilaza,dakika tano nikamuamsha akaoge kisha nami nikaoga na ule ulevi wa k vant mnara umekakamaa kama ubao,baada ya kuoga tu nilianza kumpelekea moto ni nje ndani tu,wazungu hawatoki to.....mba sana mpaka akaomba nimsamehe kachoka ,nilipiga mashine mpaka mle ndani nikawa nahisi harufu ya **** tu mpaka nikashusha mzigo,tukalala saa 11 alfajili nikamuamsha yeye kalala tu ananiambia wewe nenda tu ,nikamuachia buku 5nikasepa,
Saa sita hivi mchana naona simu yake napokea ananilaumu tu kuwa nimemkomoa na ndio anaamka mwili hauna nguvu na guest wamemwambia atoke muda umeisha,
Ikawa imeisha hiyo demu wangu nikampiga chini toka siku hiyo na rafiki yangu pia akanipigia kuniomba msamaha kuwa tusameheane lakini hakuwa na nia mbaya,,ikawa imeisha hivyo