Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wadada / wanawake wakielezea namna waliliwa kimasihara baadhi yetu tunawashambulia kwa maneno makali nadhani hii ndio sababu miongoni mwao wana simulizi lakini wakiona namna wenzao waliopost wanavyoshambuliwa wanaamua kupotezea simulizi zao.
Kwanini mwanaume akila kimasihara ni sawa lakin mwanamke anaonekana sio? Hii sio sawa
 
Nimeenda kikazi Loliondo, nimefika kilodge nacho lala pale kuda dada mmoja wa kimasai/kimbulu, kanihundumia fresh, nikapata rum nikaseto, jion nikatoka kwenda kukaa sehemu na mwenyeji wangu wa kule tupige stori nijue kazi nafanyaje ili keshokutwa niondoke, wakati natoka lodge tukabadilishana namba za simu na yule sister ili kama kuna lolote anijulishe sababu pale lodge niliacha my valuables na nilikuwa sipaamini kivile. Kesho yake kazi ikaenda fresh keshokutwa natakiwa niondoke, siku niliomaliza kazi nikarud pale lodge mida ya mchana, nikamkuta tukaongea kawaida tu nikamwacha nikaingia rum, jion sasa nikatoka tena niende sehemu nikale , nikamwaga fresh nikarud mida ya saa nne usiku nikakuta yeye anataka kusepa na hela yake ya siku hiyo sijamlipa, akasema nlikuwa nakusubir wewe then me niondoke makake kesho yake naamsha asubuh sababu magari ya kule kwenda arusha yanatoka saa kumi na moja.

Nimekula maji kidogo namwangalia namwona mzuri japokuwa sio mbaya kivile ila mweupe sana , nikamchomekea me naogopa kualala mwenyewe yan kitutani tu nkamwambia njoo tulale wote akasema ngoja kwanza niende nikawaangalie watoto nyumbani, akaenda, nimelala saa tano napiga simu kinapokea kitoto chake daah, alafu kinachoongea sikielew, huyu mwanamke akapotezea mazima nkaamua kulala, mida ya saa kumi ivi nashtuka, kidogo simu inaita, kupokea yule mwanamke, ananiambia nlisahau kukupa sijui sabuni ngoja nije, nadhani hakai mbali na pale, kaja kanipa sabuni akasema nna usingizi naomba nipumzike kidogo, kaingia ndani, nikafunga mlango nikala vyangu nikaoga nikampa hela kidogo nlimwonea huruma nikaamsha sijui jina lake, sijui nini..sijawah kwenda loliondo tenaa. KIMASIHARA...
 
K VANT ILIVYOFANYA NIKAMLA DEMU WA RAFIKI YANGU,,

Mm nina rafiki yangu ambaye tulifahamiana kupitia unywaji,,
Siku moja niko na mpenzi wangu katika bar moja ambayo ndio huwa napotezea muda baada ya shughuli zangu,
Tukiwa tunamalizia kupata chakula mm na mpenzi wangu,gafla rafiki yangu nae akawasili tukawa watatu,
Baada ya nusu saa hivi niliagiza maji na K vant kubwa tukaanza kushare na story za hapa na pale,rafiki yangu akawa anajitahidi sana kumshawishi mpenzi wangu nae anywe k vant maana yeye alikuwa anakunywa serengeti lite,
Kweli baada ya kuwa amechangamka kidogo pia alianza kunywa k vant huku akichanganya na maji mengi,
Tukiwa tunaendelea ikaagizwa k vant nyingine na rafiki yangu akamuita pia demu wake baada kama dk 10 akawa amefika na bodaboda ,akajiunga mambo yakawa bambam,
Tukawa tunakunywa ilipofika majira ya saa mbili usiku nikatoka nikaenda kuchukua chumba kabisa ili kukamilisha burudani,
Sasa ile narudi tu nikakaa kwenye kiti change shemeji yangu demu wa rafiki yangu akaniuliza kwa nini C (basha wake) wanakumbatiana ?
Wakati huo jamaa yake alienda chooni nikamuuliza mpenzi wangu kutaka kujua walikuwa wanaongea nini na shemeji yake?
Akadai hawajaongea kitu,sasa ajabu baada ya kumuuliza rafiki yangu akamaind na kuondoka bila kumuaga demu wake, nikajua kuna kitu nyuma ya pazia,gafla demu wangu nae kamaind kaondoka nikabaki na shemeji pale,
Nikamwambia jamaa yako atakuwa ameenda mgonga demu wangu ,sasa nisindikize nikadai pesa yangu ya chumba hata nusu kisha tusepe,akakubali haooo mpaka lodge nikafungua yeye akapita moja kwa moja mpaka chooni,alivyotoka huko analia jamaa yake amemuonaje nikamtuliza akajilaza nikazima taa nami nikajilaza,dakika tano nikamuamsha akaoge kisha nami nikaoga na ule ulevi wa k vant mnara umekakamaa kama ubao,baada ya kuoga tu nilianza kumpelekea moto ni nje ndani tu,wazungu hawatoki to.....mba sana mpaka akaomba nimsamehe kachoka ,nilipiga mashine mpaka mle ndani nikawa nahisi harufu ya **** tu mpaka nikashusha mzigo,tukalala saa 11 alfajili nikamuamsha yeye kalala tu ananiambia wewe nenda tu ,nikamuachia buku 5nikasepa,
Saa sita hivi mchana naona simu yake napokea ananilaumu tu kuwa nimemkomoa na ndio anaamka mwili hauna nguvu na guest wamemwambia atoke muda umeisha,
Ikawa imeisha hiyo demu wangu nikampiga chini toka siku hiyo na rafiki yangu pia akanipigia kuniomba msamaha kuwa tusameheane lakini hakuwa na nia mbaya,,ikawa imeisha hivyo
 
Nimeenda kikazi Loliondo, nimefika kilodge nacho lala pale kuda dada mmoja wa kimasai/kimbulu, kanihundumia fresh, nikapata rum nikaseto, jion nikatoka kwenda kukaa sehemu na mwenyeji wangu wa kule tupige stori nijue kazi nafanyaje ili keshokutwa niondoke, wakati natoka lodge tukabadilishana namba za simu na yule sister ili kama kuna lolote anijulishe sababu pale lodge niliacha my valuables na nilikuwa sipaamini kivile. Kesho yake kazi ikaenda fresh keshokutwa natakiwa niondoke, siku niliomaliza kazi nikarud pale lodge mida ya mchana, nikamkuta tukaongea kawaida tu nikamwacha nikaingia rum, jion sasa nikatoka tena niende sehemu nikale , nikamwaga fresh nikarud mida ya saa nne usiku nikakuta yeye anataka kusepa na hela yake ya siku hiyo sijamlipa, akasema nlikuwa nakusubir wewe then me niondoke makake kesho yake naamsha asubuh sababu magari ya kule kwenda arusha yanatoka saa kumi na moja.

Nimekula maji kidogo namwangalia namwona mzuri japokuwa sio mbaya kivile ila mweupe sana , nikamchomekea me naogopa kualala mwenyewe yan kitutani tu nkamwambia njoo tulale wote akasema ngoja kwanza niende nikawaangalie watoto nyumbani, akaenda, nimelala saa tano napiga simu kinapokea kitoto chake daah, alafu kinachoongea sikielew, huyu mwanamke akapotezea mazima nkaamua kulala, mida ya saa kumi ivi nashtuka, kidogo simu inaita, kupokea yule mwanamke, ananiambia nlisahau kukupa sijui sabuni ngoja nije, nadhani hakai mbali na pale, kaja kanipa sabuni akasema nna usingizi naomba nipumzike kidogo, kaingia ndani, nikafunga mlango nikala vyangu nikaoga nikampa hela kidogo nlimwonea huruma nikaamsha sijui jina lake, sijui nini..sijawah kwenda loliondo tenaa. KIMASIHARA...

Kula tano man
 
Miaka ya 2000 wakati nipo Chuo Mlimani wakati naishi Mabibo Hostel lile Block la Matozi kwa mliopita pale mnalifahamu kulikuwa kuna Pisi kali sana zilkuwa zinakaa pale. Bahati mbaya au nzuri tulikuwa tunakaa vyumba vinavyo fuatana na Miss Tz kipindi hicho. Tulikuwa hatuna mazoea zaidi ya salaam tu na kipindi hicho Mapedeshee wa mjini walikuwa wanapishana sana kufuata Pisi kali pale hostel. Roomate wangu alikuwa msabato weekend huwa anarudi kwao kwa ajili ya sala na maombi.
Nakumbuka siku hiyo ilikuwa Jumamosi kuamkia Jumapili na kulikuwa na Show ya Fiesta sitaji mwaka maana wapembuzi watajua jina la hilo Goma(Pisi) Miss Tz. Nimerudi Hostel mida ya saa tisa usiku niko tungi mbaayaa nimeingia room baada ya sekunde chache nataka kulala nasikia mlango unagongwa mara mlango ukafunguliwa maana sikuwa nimeufunga mara natahamaki ni Miss TZ wa kipindi hicho yupo Tungi sasa sijui alikuwa anajifanyisha mi sijui, nikajua tu atakuwa amekosea room maana room za Mabibo zinachanganya sana na zilikuwa zinafuatana , moja kwa moja karukia kitandani, nakamuuliza kwema? Aka jibu kwema kilevilevi, maana alikuwa amepiga kanguo flani kifupi sana na alikuwa ana weupe fulani hivi ule wa Kinyantuzu, alijitupa kitandani kila kitu kikawa wazi. Nikasema leo ndio leo fisi kafia kwa muuza supu.

Vitanda vya Hostel vidogo sana aisee nataka nimmnyanyue mara kanivuta kwa nguvu mara mabusu nikajisemea moyoni nisiwe fala kilichofuata ni hatari nilipiga shooo siku iyo sitasahau na ndio mara ya kwanza kumgegeda Super star.....

 
K VANT ILIVYOFANYA NIKAMLA DEMU WA RAFIKI YANGU,,

Mm nina rafiki yangu ambaye tulifahamiana kupitia unywaji,,
Siku moja niko na mpenzi wangu katika bar moja ambayo ndio huwa napotezea muda baada ya shughuli zangu,
Tukiwa tunamalizia kupata chakula mm na mpenzi wangu,gafla rafiki yangu nae akawasili tukawa watatu,
Baada ya nusu saa hivi niliagiza maji na K vant kubwa tukaanza kushare na story za hapa na pale,rafiki yangu akawa anajitahidi sana kumshawishi mpenzi wangu nae anywe k vant maana yeye alikuwa anakunywa serengeti lite,
Kweli baada ya kuwa amechangamka kidogo pia alianza kunywa k vant huku akichanganya na maji mengi,
Tukiwa tunaendelea ikaagizwa k vant nyingine na rafiki yangu akamuita pia demu wake baada kama dk 10 akawa amefika na bodaboda ,akajiunga mambo yakawa bambam,
Tukawa tunakunywa ilipofika majira ya saa mbili usiku nikatoka nikaenda kuchukua chumba kabisa ili kukamilisha burudani,
Sasa ile narudi tu nikakaa kwenye kiti change shemeji yangu demu wa rafiki yangu akaniuliza kwa nini C (basha wake) wanakumbatiana ?
Wakati huo jamaa yake alienda chooni nikamuuliza mpenzi wangu kutaka kujua walikuwa wanaongea nini na shemeji yake?
Akadai hawajaongea kitu,sasa ajabu baada ya kumuuliza rafiki yangu akamaind na kuondoka bila kumuaga demu wake, nikajua kuna kitu nyuma ya pazia,gafla demu wangu nae kamaind kaondoka nikabaki na shemeji pale,
Nikamwambia jamaa yako atakuwa ameenda mgonga demu wangu ,sasa nisindikize nikadai pesa yangu ya chumba hata nusu kisha tusepe,akakubali haooo mpaka lodge nikafungua yeye akapita moja kwa moja mpaka chooni,alivyotoka huko analia jamaa yake amemuonaje nikamtuliza akajilaza nikazima taa nami nikajilaza,dakika tano nikamuamsha akaoge kisha nami nikaoga na ule ulevi wa k vant mnara umekakamaa kama ubao,baada ya kuoga tu nilianza kumpelekea moto ni nje ndani tu,wazungu hawatoki to.....mba sana mpaka akaomba nimsamehe kachoka ,nilipiga mashine mpaka mle ndani nikawa nahisi harufu ya **** tu mpaka nikashusha mzigo,tukalala saa 11 alfajili nikamuamsha yeye kalala tu ananiambia wewe nenda tu ,nikamuachia buku 5nikasepa,
Saa sita hivi mchana naona simu yake napokea ananilaumu tu kuwa nimemkomoa na ndio anaamka mwili hauna nguvu na guest wamemwambia atoke muda umeisha,
Ikawa imeisha hiyo demu wangu nikampiga chini toka siku hiyo na rafiki yangu pia akanipigia kuniomba msamaha kuwa tusameheane lakini hakuwa na nia mbaya,,ikawa imeisha hivyo
Aminia kabisaa
 
Back
Top Bottom