Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,895
Kimasihara ukakosa tundaKIMASIHARA GOES WRONG[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Enzi hizo naishi kwa bro wangu morogoro yani Aisee acha tuu kiukweli ni noma sana ukichukulia kila mazingira unaweza kulaa tunda yani kuna Point unaweza haribu kazi yani mpaka ukajuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kiukweli wadada wa kazi ni changamoto sana yani hawakai kabisa unampata leo kesho anaondoka na kiukweli huwaga sina tabia ya kuwa na mazoea na wadada wa kazi kabisa wakiondoka ni kwa sababu zao tu sio kwamba Nimewatongoza hapana. Lakini kuna kipindi kwa bro alikuja beki tatu jamani hapanaa Ilibidi tu nimuulize bro imekuwaje kapata Beki tatu shombeshombe au ni Mchepuko wake??? Bro akasema hapana bhana huyu shida tu za maisha zimemleta hapa maana hata kumpata nilimpata Mtandaoni... Yule dada ni mnyamwezi ila ana asili ya ushombeshombe ni mweupe hasa na unywele wa kiarabu hivi sasa bhna kumbe kaja kufanya kazi za ndani bhasi tuu sababu ashahangaika sana na maisha ila sio kwamba anapenda.
Picha linaanza anaomba namba yangu mimi nikajua hapa tayari tukawa tunachat sijui vip nikuachie chakula mara leo unakuja kula mchana??? Mmmh nikasema huyu nishamlaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Siku hiyo bro na shem walitoka pamoja na mtoto wao mimi nimerudi namkuta beki tatu mwenyewe aisee si nkasema hii ndo nafasi. Nikamfata alipokuwa anapika nikamshika kwa nyuma aisee alishtuka me nkamwmabia usiogope ni mimi akasema why unanishika??? Nkasema nlikumiss eehe nkashangaa anasema pumbavu sitaki mazoea ya kijinga[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] Duu nkasema leo vimeumana dada wa kazi ana confidence kiasi hichi sikuamini wakuu ikabidi nimuombe msamaha. Lakini nikashangaa ameingia chumbani ghafla nikajua labda nimfate nimbembeleze wee nmafata nakuta amebeba begi lake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ooho yupo serious anataka kusepa yani. Kiukweli nikajua huyu demu hii kazi aliichoka sema mimi ndo chambo nkamwambia bhasi subiri kaka aje umuage akasema Alidhani anakuja kufanya kazi za ndani kwa amani kumbe hamna tofauti na kujiuza kiukweli nilijisikia vibaya. Nikatoa hela nimpe akarusisha.. Ikabdi nimpishe apite akasepa zake bro na shem wamerudi wanashangaa mtu hayupo wakimpigia wamuulize nini shida akawaambia waniulize mimi mamaeee... Shem alimind sana yani maana anahangaika kupata wadada wa kazi kumbe mimi ndo chanzo wanasepa lakini sio kweli yule fala ndo aliniharibia[emoji3][emoji3][emoji3] Bro alionekana amemind sana ila baadae baada ya shem kusepa alicheka sanaaa yanii akasema nilijua tu demu mwenyewe sio level za beki tatu hasa kwa familia zetu za kibongo hizi so sio Kesi.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hamna uongo hapo kila kitu kina faida na hasara mm faida niliyoipata ni kula kimasihara Askar wa Iddy Amin huku kashika bastolaAcha uongo kijana
[emoji477]NILIVYOMLA KIMASIHARA ASKARI WA KIKE WA IDDY AMIN KATIKA VITA NA UGANDA ...
Mm sio muhadithiaj mzur lakin nitaeleza tukio livyokuwa kidgo stay narudi.....
Bora msisimulie mnafanga selective of storiesWatu kama nyie ndo mnafanya wanawake humu wasisimlie visa vyao.
Nice story, u can meet anyone anywhere.... Watu huwa tunacomplicate tu unnecessary... Hongeren.Huu uzi shikamoo
Watu wanajilipua tu
Ngoja na mm nilete yangu nilivyoliwa kimasihara
Mama bahati kaa mbali na comment yangu[emoji23][emoji1430] Au bado anatumikia ban
Mwaka jana mwezi wa 7 tar9 nimemaliza zangu chuo nipo tu nyumbani idol idol, basi tukapanga na rafiki zangu wawili tuliomaliza chuo wote tutoke (jumla watatu) tukaenda TIPS
Kufika tukala tukanywa pale kuchangamsha akili bwana bwana kucheki getini namuona mkaka mmoja mdhuriii kiasi chake mrefu mweupe kiasi nikasema yes[emoji23][emoji23] bahati nzuri tulipokaa pembeni yetu kulikua na mkaka mmoja kumbe ndio aliemfata
Basi tukawa tumekaa wote jirani mara wakaomba tukae nao Mungu sio athumani na yule wangu akakaa na mm story pale zikanoga
Tukahama tukaenda bascar lavida kufika mida ya saa8 tukawa tunaondoka ikabidi watupeleke home wale wenzangu wawili wanakaa mtaa mmoja na mm mbali nao kiasi
Mm nikaondoka na huyu wangu
Basi tukiwa njiani plus vile vinywaji makiss matachi kma yote tukajikuta tupo lodgeπ€ kwanza tulianzia kwenye parking za bascar pale uwanjani kigiza kile tulikifaidi
Aisee nilienjoy balaa hata sikuwaza kma naliwa kimasihara ila tulitumia kinga
Basi from there tukawa wapenzi na leo tumefikisha miezi6
ila tulivyoanza a serious relationship nikawekewa conditions za kutokutoka na kuwacrop wale marafiki zangu
Nikitoka tupo wote, sijui ndio anaogopa nisiliwe kimahisara
Nampenda ananipenda hopeful tutatimiza malengo yetu japokua tulikutana na kulana kimasihara sana
Happy 6months to us
Du mhaya Tena!!Akishakuwa MHAYA sio bahati mbaya
Week mbili sijuii... ufalaa tuu ananishobokea alafu anajikuta mkali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikaa kwa mda gani hapo
Jinga tu lilee...Alikushtukia unataka kumla kimasihara wakati yy amekuja kufanya kazi
Sasa amekuwah wewe aibu imekuwa kwako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanajikutaga matawii saa nyingine hawa kenge... hasa ukute bro nae alitupia kamba hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]iliwah kunikuta siku moja beki 3 wa broo kanitukana mbele ya mafundi home aisee nlijuta
Huu uzi hautaki judgements, kama wewe ni mtaalamu wa kujaji tafadhali tuachie sisi tufurahie. Unajua inahitaji courage kiasi gani kwa mtu kutoa ya sirini?Bora msisimulie mnafanga selective of stories
Yani unaweza jiuliza maswali kibao...ubaya na kuondoka juuKiukweli binafsi nikiona beki 3 kanikataa naanza kuamini ni nilirogwa aisee[emoji16]
ππππ Hata Mimi nashangaa! Au alitaka afanye safari ya mbinguni akiwa ameshiba, akifika huko asiwasumbue wenyeji wake na njaa...Lengo la kunywa chai wakati unaenda kujiua muda huo huo lilikua nini mkuu? Au ndio hukutaka kuondoka ulimwenguni ukiwa na njaa[emoji28][emoji28][emoji23]
Kwanini mwanaume akila kimasihara ni sawa lakin mwanamke anaonekana sio? Hii sio sawaWadada / wanawake wakielezea namna waliliwa kimasihara baadhi yetu tunawashambulia kwa maneno makali nadhani hii ndio sababu miongoni mwao wana simulizi lakini wakiona namna wenzao waliopost wanavyoshambuliwa wanaamua kupotezea simulizi zao.
[emoji28][emoji28]tutamtoa chamani huyu mkuuUsirudie tena kuhonga 30k. Ikizzid saana iwe elf 7 tuu mkuu
Siku ya khyiyama LA na RA itabidi uzitilolee maelezo mkuu