Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mimi nadhani tujifunze kutofautisha majukwaa, jukwaa la mapenzi mtu anataka akute ujasiriamali na siasa. Ukienda siasani mtu analeta dini, ilmradi tu akosoe.

Mungu hakuwa mjinga kuumba ulimwengu na vilivyomo ikiwemo ngono. Kuna watu hujiona wao ni wema sana mbele za watu lakini wayafanyayo sirini ni makubwa na maovu kuliko kula kimasihara. Udumu uzi wa kula kimasikhara maana hata mods huwa wanasoma kimyakimya.
 
kulikuwa na umhimu gani kaka angu kwenda kumpokea mkewe aende na rafiki yake? pia kulikuwa na umhimu gani kwenda na mgeni ikiwa anaenda anarudi ?

Wazo la kukutwa halikuwepo coz kutoka bunju kwenda ubungo ni mbali so muda ulikuwepo wa kutosha

Pia amini unacho kijua...story yangu mimi haimforce mtu kuamini nilicho kiandika

Nahisi uzi ulitutaka tushare namn ya kula tunda kimasihara maan yake kula bila ( makusudio )

[emoji3][emoji135]
Achana nae, anaona wivu sababu hakuwa yeye. Nasubiri muemdelezo

Darlin
 
kulikuwa na umhimu gani kaka angu kwenda kumpokea mkewe aende na rafiki yake? pia kulikuwa na umhimu gani kwenda na mgeni ikiwa anaenda anarudi ?

Wazo la kukutwa halikuwepo coz kutoka bunju kwenda ubungo ni mbali so muda ulikuwepo wa kutosha

Pia amini unacho kijua...story yangu mimi haimforce mtu kuamini nilicho kiandika

Nahisi uzi ulitutaka tushare namn ya kula tunda kimasihara maan yake kula bila ( makusudio )

[emoji3][emoji135]
Over
 
Naomba twende ndani tukaangalie TV hapa nje nimechoka
FB_IMG_16120800817496824.jpg
 
Back
Top Bottom