Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Haiwekan mgen ahanze tu kukunyanyua kukupelea chumbani bila kufikilia usalam wa kukutwa ukizingatia huyo ulosema bro wko anaweza Rudi mpema,

Ulosema bro wako asingemuach mgeni wakat alikuwa na uwez wa kuondoka naye ukizingatia alikuwa na gari, (hi ni chai dhahiri kabisa)


Huu Uzi mwanzo ulikuwa na Visa vingi ambavyo uwezi dought kabsa mtu Kam kigakoyo,Nzi Chuma JBourne59 walikuwa na Visa logic kabsa
Hadi kuzarisha story Kam""" how I met my wife"" au uhusiano wangu na hamida"",

Lakini saizi wat wanaleta chai unayoiona kabsa ,imekuwa Kam wanataka tu sifa flani, Kama huna kiza cha kweli kbasi jaribu kutunga vizuri,

Mnaharibu tu uzi
Tatizo la kutumia akili nyingi kufikiria kitu cha kawaida, mwishowe unajikuta unahitimisha na ujinga. Si Kwasababu imeitwa Home of great thinker, ndiyo uoneshe uchambuzi wako. Acheni kuishi kwa kukariri
 
Aisee!

Kichwa cha chini kikumbuke huyu alitokea chumba fulani.

Kajaribu ku-edit hapo tu. Weka hata uliwekwa moto pale pale ila si kuwanywesha chai kavu hivi mkuu.
Kbla ya kukujibu nimesoma tena jina lako Kichwa Kichafu

Anyway soma vzuri uzi uuelewe

Maan kuna sehem nimeandika ili kufika bafuni lazima nipite sebren

Sasa kwan mgen yeye nikipofu haoni hyu katoea wapi

Alafu mbona mimi uwa nawahi kuelewa sana kwan wenzangu nyie wa nch gan mpk kitu mtu akirudie rudie...
 
Aisee!

Kichwa cha chini kikumbuke huyu alitokea chumba fulani.

Kajaribu ku-edit hapo tu. Weka hata uliwekwa moto pale pale ila si kuwanywesha chai kavu hivi mkuu.
Dah" uewelewa wako ni mdgo sana mkuu..

acha atake taka kuniamin ataniamini, na atakaye taka kukuamini atakuamin maan naona watoa ID tumekuwa wawili

Kama ni limeisha ila kama una mengine unaweza sema usaidike
 
Kbla ya kukujibu nimesoma tena jina lako Kichwa Kichafu

Anyway soma vzuri uzi uuelewe

Maan kuna sehem nimeandika ili kufika bafuni lazima nipite sebren

Sasa kwan mgen yeye nikipofu haoni hyu katoea wapi

Alafu mbona mimi uwa nawahi kuelewa sana kwan wenzangu nyie wa nch gan mpk kitu mtu akirudie rudie...

Sio sebren ni sebuleni,
Pili Hii ni Chai
Tatu wewe ni dume
Nne Kaka yako hawezifanya huo ujinga Ova
 
kulikuwa na umhimu gani kaka angu kwenda kumpokea mkewe aende na rafiki yake? pia kulikuwa na umhimu gani kwenda na mgeni ikiwa anaenda anarudi ?

Wazo la kukutwa halikuwepo coz kutoka bunju kwenda ubungo ni mbali so muda ulikuwepo wa kutosha

Pia amini unacho kijua...story yangu mimi haimforce mtu kuamini nilicho kiandika

Nahisi uzi ulitutaka tushare namn ya kula tunda kimasihara maan yake kula bila ( makusudio )

Akuache queen wetu. Sisi tumeelewa na tunasubiri episode inayofuata.
 
Back
Top Bottom